Mpaka sasa Royal Tour haijaleta manufaa yoyote nchini

Mpaka sasa Royal Tour haijaleta manufaa yoyote nchini

Tusidanganyike kirahisi wakuu, Kuna watu maarufu sana duniani kama David Beckham na mke wake walisha wahi kuja kula good time hapa nchini na wakazungukia vivutio vyetu miaka ya nyuma.

Pia kuna ma Rais wastaafu wa nchi kubwa kama US wamewahi kuja kula good time na kusepa, wasanii pia wamekuja wengi tu kabla ya Royal Tour.

Pia Kuna watalii toka nchi mbalimbali wamewahi kuja kwa makundi kupitia ndege na wengine toka Israel walikuja kupitia treni ya TAZARA wakianzia South Africa, Zambia na wakaja hapa zaidi ya 300 kwa mara 1.

Kwahiyo hii nchi na vivutio vyake vinajulikana kuliko hata hiyo filamu ya Royal Tour, kwa maoni yangu utalii wetu huchochewa sana na majarida kama Forbes, The Guinness World Records nk.

Ni bora zile pesa wangepewa wamiliki wa majarida hayo yanayo aminiwa na mamilioni ya wanadamu ili waweke vijitangazo katika kurasa zao za mitandaoni hata kwa dakika 15 tu.

Binafsi royal tour naona ni upigaji na namwelekeza CAG afanye special auditing na alete ripoti maramoja kuhusu chanzo cha zile fedha, matumizi yake, hao waliotoa walizipata wapi na wanategemea nini toka kwa steringi wa movie ile.
Kutojipenda na kujithamini mwenyewe ni sehemu ya ugonjwa wa sonona. Badilika.
 
Hakika pia kwakuwa COVID 19 ilihafifisha sekta hii, huenda watu wamesahau kuwa kabla ya COVID 19 tulipokea wageni wengi sana kwenye high peak!
Alichokisema mtoa mada ni kweeli maana royal tour ni ya juzi tuu ila vivutio vya utalii vimekuwepo miaka na miaka ivyo iyo movie sio maarufu kuliko vivutio vyetu wala iyo movie sio kongwe kuliko vivutio vyetu
Kwa tunaojua sekta ya utalii kwa sasa tupo kwenye high peak ambacho uwa ipo miaka yote kabla hata ya movie, na kwenye high peak wageni uwa ni wengi alafu baadae low season so ayo makelelee ya movie ni mbwembwee na chumvi nyingi ndani yake.
 
Tusidanganyike kirahisi wakuu, Kuna watu maarufu sana duniani kama David Beckham na mke wake walisha wahi kuja kula good time hapa nchini na wakazungukia vivutio vyetu miaka ya nyuma.

Pia kuna ma Rais wastaafu wa nchi kubwa kama US wamewahi kuja kula good time na kusepa, wasanii pia wamekuja wengi tu kabla ya Royal Tour.

Pia Kuna watalii toka nchi mbalimbali wamewahi kuja kwa makundi kupitia ndege na wengine toka Israel walikuja kupitia treni ya TAZARA wakianzia South Africa, Zambia na wakaja hapa zaidi ya 300 kwa mara 1.

Kwahiyo hii nchi na vivutio vyake vinajulikana kuliko hata hiyo filamu ya Royal Tour, kwa maoni yangu utalii wetu huchochewa sana na majarida kama Forbes, The Guinness World Records nk.

Ni bora zile pesa wangepewa wamiliki wa majarida hayo yanayo aminiwa na mamilioni ya wanadamu ili waweke vijitangazo katika kurasa zao za mitandaoni hata kwa dakika 15 tu.

Binafsi royal tour naona ni upigaji na namwelekeza CAG afanye special auditing na alete ripoti maramoja kuhusu chanzo cha zile fedha, matumizi yake, hao waliotoa walizipata wapi na wanategemea nini toka kwa steringi wa movie ile.
Unafikiri watalii watakuja nyumbani kwako ndio uone haya mafanikio?
 
Tusidanganyike kirahisi wakuu, Kuna watu maarufu sana duniani kama David Beckham na mke wake walisha wahi kuja kula good time hapa nchini na wakazungukia vivutio vyetu miaka ya nyuma.

Pia kuna ma Rais wastaafu wa nchi kubwa kama US wamewahi kuja kula good time na kusepa, wasanii pia wamekuja wengi tu kabla ya Royal Tour.

Pia Kuna watalii toka nchi mbalimbali wamewahi kuja kwa makundi kupitia ndege na wengine toka Israel walikuja kupitia treni ya TAZARA wakianzia South Africa, Zambia na wakaja hapa zaidi ya 300 kwa mara 1.

Kwahiyo hii nchi na vivutio vyake vinajulikana kuliko hata hiyo filamu ya Royal Tour, kwa maoni yangu utalii wetu huchochewa sana na majarida kama Forbes, The Guinness World Records nk.

Ni bora zile pesa wangepewa wamiliki wa majarida hayo yanayo aminiwa na mamilioni ya wanadamu ili waweke vijitangazo katika kurasa zao za mitandaoni hata kwa dakika 15 tu.

Binafsi royal tour naona ni upigaji na namwelekeza CAG afanye special auditing na alete ripoti maramoja kuhusu chanzo cha zile fedha, matumizi yake, hao waliotoa walizipata wapi na wanategemea nini toka kwa steringi wa movie ile.
Una uhakika? Hotel zilishajaa hadi desemba hakuna vyumba tena kiasi kwamba inaonyesha hatukufanya maandakizi ya accomodations ya influx ya watu..

Baadhi ya matunda ya Royal tour ni kuongezeka kwa safari za ndege Kwa idadi ya miruko na new destinations 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220712-132710.png
    Screenshot_20220712-132710.png
    62.6 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220712-182456.png
    Screenshot_20220712-182456.png
    140.3 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220707-075256.png
    Screenshot_20220707-075256.png
    136.6 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220701-162839.png
    Screenshot_20220701-162839.png
    99 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220701-162213.png
    Screenshot_20220701-162213.png
    113.5 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220628-090518.png
    Screenshot_20220628-090518.png
    174.2 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220628-090709.png
    Screenshot_20220628-090709.png
    239.5 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220624-152254.png
    Screenshot_20220624-152254.png
    237.7 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220623-145008.png
    Screenshot_20220623-145008.png
    86.4 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220623-144927.png
    Screenshot_20220623-144927.png
    71.5 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220622-214711.png
    Screenshot_20220622-214711.png
    184 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220622-214002.png
    Screenshot_20220622-214002.png
    112.4 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220622-212937.png
    Screenshot_20220622-212937.png
    111.8 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220622-141204.png
    Screenshot_20220622-141204.png
    80.2 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220622-141225.png
    Screenshot_20220622-141225.png
    96.6 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220621-115619.png
    Screenshot_20220621-115619.png
    38.6 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220621-115601.png
    Screenshot_20220621-115601.png
    171.3 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220618-221142.png
    Screenshot_20220618-221142.png
    187.9 KB · Views: 3
Ungetuletea takwimu za mapato ya fedha za utalii angalau kwa miezi 6 iliyopita alafu uringanishe na miaka iliyopita kwa miezi sita sita ya mwanzoni mwa mwaka ungeonekana ni miongoni mwa Great thinkers.

Bila takwimu utaipa vipi nguvu hoja yako?

Kwavile wewe ndo mleta mada, tuletee na takwimu, Wanaume wa nguvu sisi usituletee maneno matupu.
Zipo Sana tuu ila kwa kuwa mko busy na porno na mipira hauwezi kuzijua.
 
Tusidanganyike kirahisi wakuu, Kuna watu maarufu sana duniani kama David Beckham na mke wake walisha wahi kuja kula good time hapa nchini na wakazungukia vivutio vyetu miaka ya nyuma.

Pia kuna ma Rais wastaafu wa nchi kubwa kama US wamewahi kuja kula good time na kusepa, wasanii pia wamekuja wengi tu kabla ya Royal Tour.

Pia Kuna watalii toka nchi mbalimbali wamewahi kuja kwa makundi kupitia ndege na wengine toka Israel walikuja kupitia treni ya TAZARA wakianzia South Africa, Zambia na wakaja hapa zaidi ya 300 kwa mara 1.

Kwahiyo hii nchi na vivutio vyake vinajulikana kuliko hata hiyo filamu ya Royal Tour, kwa maoni yangu utalii wetu huchochewa sana na majarida kama Forbes, The Guinness World Records nk.

Ni bora zile pesa wangepewa wamiliki wa majarida hayo yanayo aminiwa na mamilioni ya wanadamu ili waweke vijitangazo katika kurasa zao za mitandaoni hata kwa dakika 15 tu.

Binafsi royal tour naona ni upigaji na namwelekeza CAG afanye special auditing na alete ripoti maramoja kuhusu chanzo cha zile fedha, matumizi yake, hao waliotoa walizipata wapi na wanategemea nini toka kwa steringi wa movie ile.


Topic yako ya kitoto . CAG alipwe na serikali kuchunguza pesa ambazo si za serikali!!! ? Pili tourism imeongezeka kila mtu mwenye akili zake anajua hilo😂
 
Serengeti inajulikana kuliko Tanzania. Sijui kwanini walifanya royal tuwa au sisi tulidandia show tuu
 
Aiseee. Tatizo ukibisha utaambiwa huna akili au akili zako ndogo!
Mama ana mabakuli ya kila aina. Madogo ya kati na madogo. Akisafiri ana nadi maliasili na rasilimali. Huko huko anarudi mabakuli yamejaa mapesa!😅😂🤣
Sasa mnabisha nini?! Ashasema hatuna akili au akili zetu ndogo kwa kutokujuwa hili!
 
Mindset za kimaskini hizi wakati wewe ukijinadi na kubeza jitihada za kuboost utalii, wenzako wanawalipa Arsenal huko "Visit Rwanda" na bado na wao walishafanya Royal tour yao kabla yetu, ni mapesa mengi sana kuliko hiyo ya Royal tour na usidanganyike kuwa eti Tanzania inajulikana sana sio kweli, mfuatilie Bongo zozo kuna nchi alienda ndo kwanza akaanza kuwaelezea location ilipo Tanzania.
 
Hakukuwa na haja ya Royoal tour , na hatujawahi kukosa watalii maana utalii wetu unajitangaza,Kilimanjaro ,Serengeti ,Zanzibar vinajulikana.
Maldives wanajitangaza kweli kweli, siku hizi habari sio Ibiza tena, watu wanaruka na ma private jets kituo ni Maldives bila advertisements hakuna biashara ya maana labda kama unataka kuwa "average"
 
Cocacola na Pepsi si unazijua?Nike na Adidas je? Unajua bajeti yao ya kujitangaza? Hii ni biashara kazima pawe na matangazo constant.
 
Hakukuwa na haja ya Royoal tour , na hatujawahi kukosa watalii maana utalii wetu unajitangaza,Kilimanjaro ,Serengeti ,Zanzibar vinajulikana.
Business doesnt work that way. Issue si kukosa watalii issue ni volumeya watalii. unaweza kuwa na vivutio halaf ukazidiwa na nchi yenye kivutio kimoja au viwili
 

Attachments

  • Screenshot_20220614-110828.png
    Screenshot_20220614-110828.png
    191.5 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220614-111144.png
    Screenshot_20220614-111144.png
    70.1 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220614-111129.png
    Screenshot_20220614-111129.png
    112.8 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220614-110900.png
    Screenshot_20220614-110900.png
    101.1 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220603-132113.png
    Screenshot_20220603-132113.png
    138.4 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220605-144549.png
    Screenshot_20220605-144549.png
    85 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220606-184120.png
    Screenshot_20220606-184120.png
    67.1 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220611-071446.png
    Screenshot_20220611-071446.png
    93.9 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220612-163931.png
    Screenshot_20220612-163931.png
    126.4 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220613-113438.png
    Screenshot_20220613-113438.png
    90.1 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220612-164000.png
    Screenshot_20220612-164000.png
    134.5 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220612-163951.png
    Screenshot_20220612-163951.png
    131.6 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220621-115619.png
    Screenshot_20220621-115619.png
    38.6 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220621-115601.png
    Screenshot_20220621-115601.png
    171.3 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220622-215015.png
    Screenshot_20220622-215015.png
    131 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220622-220053.png
    Screenshot_20220622-220053.png
    74.5 KB · Views: 2
Maldives wanajitangaza kweli kweli, siku hizi habari sio Ibiza tena, watu wanaruka na ma private jets kituo ni Maldives bila advertisements hakuna biashara ya maana labda kama unataka kuwa "average"
kwahiyo njia ya kutangaza ni yeye kuingia front na kujishout video isiyo na details za maana halafu gharama kubwa,haifiki hata nusu kwa ubora na details za sinema zetu
 
Back
Top Bottom