Ryan The King
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 2,788
- 2,690
- Thread starter
-
- #41
Basi kwa vile umemtaja atakuja huku atoe japo neno mojaMleta uzi umemsahau kum tag Gangi Chomba,aje aongeze nyama.
Mkuu upo sahihi sana.gaucho alikuwa hatari sana!! control ya mpira hadi kwenye nywele
hakuna kama gaucho kiukwel!
mwanafunz anaweza kuwa bora kuliko mwalimuMtoto wa juz kwel ww na nilicho gundua huwa unaangalia mech kubwa tuu. Hv kwel wewe unamjua Jay Jay Okocha, Gaucho mwenyewe kwa kinywa chake anakili kujifunza mambo kwa Okocha
Nashukuru Mkuu kwa kuweka na video kabisa maana nilikuwa nashindwa huku.Mkuu kama kuna wacheza wastaafu ambao kama kungekuwa na uwezo wa kuwapa uwezo hawa wa kurudi enzi zao za kusakata tena soka basi mimi ningemchagua huyu wa kwanza kurudi katika wachezaji wote duniani waliostaafu. Jamaa alikuwa hana mfano katika uwezo wake wa kuburuza kandanda kwa namna ambayo yeye aliitaka.
Hahahaaahaaaa!!!!wote mliowataja hawamfikii hata kidogo Lunyamila,Edibily
We unaelewa mpira mkuu.Ronaldinho Gaucho remains to be a century footballer !
Hajui kuwa ili uzidi kuwa bora wapaswa kubuni vyako, kuiga na kuboresha.mwanafunz anaweza kuwa bora kuliko mwalimu
Sawa lkn hamfikii gauchobado sijaona mchezaji kama zidane
mtazamo wangu naomba uheshimiwe
Labda kwa sbb Mweusi mwenzetu lkn huwezi muweka size za Zidane ndio owe na gauchoJJ okocha never seen
Jamaa mpira anaujua mkuuGaucho madoido tuu ndio yuko vzur
Labda kwa sbb Mweusi mwenzetu lkn huwezi muweka size za Zidane ndio owe na gauchoJJ okocha never seen
Mkuu hiyo ni level yakina Zidane, C. Ronaldo, Messi n.k. ambao kwenye kufunga magoli wapo vizuri.Kama ilivyo kwangu bado sijaona namba 9 duniani kama Ronaldo de Lima..!
Mwambie mkuu.Sawa lkn hamfikii gaucho
J J Okocha alikuwa mzuri kibongo bongo lakini sio level ya Kina Gaucho.Labda kwa sbb Mweusi mwenzetu lkn huwezi muweka size za Zidane ndio owe na gaucho