Mpaka sasa sijaona mchezaji Kama Ronaldinho (GAUCHO)

Mpaka sasa sijaona mchezaji Kama Ronaldinho (GAUCHO)

Mkuu kama kuna wacheza wastaafu ambao kama kungekuwa na uwezo wa kuwapa uwezo hawa wa kurudi enzi zao za kusakata tena soka basi mimi ningemchagua huyu wa kwanza kurudi katika wachezaji wote duniani waliostaafu. Jamaa alikuwa hana mfano katika uwezo wake wa kuburuza kandanda kwa namna ambayo yeye aliitaka.








Nashukuru Mkuu kwa kuweka na video kabisa maana nilikuwa nashindwa huku.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Labda kwa sbb Mweusi mwenzetu lkn huwezi muweka size za Zidane ndio owe na gaucho
J J Okocha alikuwa mzuri kibongo bongo lakini sio level ya Kina Gaucho.

Wakina Messi, C. Ronaldo wanamtoa nje ya duara
 
Uwezo wa OKocha nisawa namguummoja wa Dinyo, Alichokua anafanya Dinyo si kucheza soka bali ni sanaa yakucheza soka. Nahisi Dinyo alipokua akicheza mechi kuna baadhi ya malaika uko mbinguni walikua wanaangalia anavyo cheza.
 
Back
Top Bottom