Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 9,165
- 16,791
anajua akina Gaucho, Zadane, Figo, Giggs, Nedved, Dunga na wengine wengi wameweka rekodi nyingi lakini Ronaldo na Messi wamekuja kuzivunja na kuweka zao ambazo kwa kizazi hiki sioni wa kuja kuzivunja halafu unasema wanabebwa na media....!!!Nakuunga mkono asilimia buku 1000 si hawa akina Messi wanaobebwa na media.
Ronaldinho, Zidane, Ronaldo De Lima kwa uwezo wao wote wamechukua Ballon d'O mbili mbili kila mmoja
Ronaldo CR7 na Messi wamechukua mara9 mfululizo kwa ujumla
don't take them for granted men kazi wanaifanya hao viumbe hata kama unasema wanabebwa hawabebwi kirahisi mtu anamaliza msimu ana goli 75+