Mpaka sasa sijaona mchezaji Kama Ronaldinho (GAUCHO)

Mpaka sasa sijaona mchezaji Kama Ronaldinho (GAUCHO)

Hii kazi ni vizuri ukiifanya wewe sasa... Mimi nimetaja wachezaji facts na hizo references leta wewe mkuu.
Reference kuu ni iffhs
Hayo majina uliotaja hayaendani na takwimu za IFFHS
 
Habari Wakuu!

Tokea ninakua mpaka sasa bado sijawahi ona ona mchezaji Mpira anayemfikia GAUCHO kwa ubora.

kwa wanaomjua Gaucho wataungana na Mimi na hawatanishangaa nikimkubali huyu mchezaji ambaye wataalamu tunamuita Mchawi wa Soccer.

Gaucho alikuwa mahiri kwa kuukontroli Mpira. Alikuwa anauwezo wa kuuweka mpira sehemu yoyote ya mwili.

Aidha Mbrazili huyu kwenye swala za dribbling bado hakuna anayemkamata.

Hutotamani mpira uondoke mguuni mwake pindi afanyapo mambo yake.

Gaucho ni miongoni mwa Wachezaji wakali kuwahi kutokea duniani.


Je wewe unadhani ni nani anayemkaribia huyu Mchawi wa Soccer kwa maana kwa wakumzidi bado hayupo.
Jay Jay Okocha yuko vizur zaidi yake
 
Mkuu kama kuna wacheza wastaafu ambao kama kungekuwa na uwezo wa kuwapa uwezo hawa wa kurudi enzi zao za kusakata tena soka basi mimi ningemchagua huyu wa kwanza kurudi katika wachezaji wote duniani waliostaafu. Jamaa alikuwa hana mfano katika uwezo wake wa kuburuza kandanda kwa namna ambayo yeye aliitaka.








Pana goli alifunga dhidi ya Chelsea kwanza alikata mauno hiyo dagazhee haikuwa mchezo jamaa alikuwa akitabasamu wakati anawapa watu adhabu
 
Jamaa acha aende zake Mkuu. Mimi huingia kule utube na kuangalia uwezo mkubwa aliokuwa nao huyu jamaa ambao hakuna mwingine yoyote duniani ambaye anaweza kumkaribia.

Pana goli alifunga dhidi ya Chelsea kwanza alikata mauno hiyo dagazhee haikuwa mchezo jamaa alikuwa akitabasamu wakati anawapa watu adhabu
 
Jamaa acha aende zake Mkuu. Mimi huingia kule utube na kuangalia uwezo mkubwa aliokuwa nao huyu jamaa ambao hakuna mwingine yoyote duniani ambaye anaweza kumkaribia.

Nabii wa mwisho wa soka baada ya Diego
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom