Ryan The King
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 2,788
- 2,690
- Thread starter
- #21
INAWEZEKANA! Jamaa alikuwa akishika mpira unapenda uendelee kumwona, mbwembe, matumizi ya mwili, chenga, aaaah ukweli hakuna kama Gaucho mpaka sasa.
Mkuu Kama upo na Mimi vile.
Jamaa anambwembwe sana.
Pia anacheza kibrazameni.