Ryan The King
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 2,788
- 2,690
- Thread starter
- #61
Japo wanacheza na Mimi nawaweka Kama wafunga mabao tuu.Nakuunga mkono asilimia buku 1000 si hawa akina Messi wanaobebwa na media.
Ila mpira ni zaidi ya kufunga goli. Na ndicho jamaa anachokionyesha