Mpaka sasa sijaona mchezaji Kama Ronaldinho (GAUCHO)

Mpaka sasa sijaona mchezaji Kama Ronaldinho (GAUCHO)

Uwezo wa OKocha nisawa namguummoja wa Dinyo, Alichokua anafanya Dinyo si kucheza soka bali ni sanaa yakucheza soka. Nahisi Dinyo alipokua akicheza mechi kuna baadhi ya malaika uko mbinguni walikua wanaangalia anavyo cheza.
Hahaaaaaa!
We jamaaaa bhana wewe!!

Jamaa alionyesha kuwa Mpira ni zaidi ya kufunga magoli, kuvaa jezi, kupewa tuzo.

Jamaa alikuwa anaonyesha burudani ya mchezo wa mpira.
 
Gaucho baba wa dunia kisoka, but kidogo kwa sasa alikua c. Ronaldo but hawa wengine sijui ndo mess amna kitu mpira brazil na ureno.
 
Ronaldihno ni mchezaj mwenye kipaji kikubwa zaidi kuwahi kutokea
Zidane ni mchezaji mwenye akili zaidi ya mpira kuwahi kutokea


Case closed
 
C. Ronaldo anamzid mess bu baba yao ni gaucho , hadi kufa
Upo makini Mkuu.

We hupotezi muda wako bure kwa kuangalia mpira wa miguu kwani unajua yupi ni yupi na nani ni nani
 
Japo wanacheza na Mimi nawaweka Kama wafunga mabao tuu.

Ila mpira ni zaidi ya kufunga goli. Na ndicho jamaa anachokionyesha
Yule mpumbavu anaujua mpira hadi mpira haujui kama unajuliwa na huyu mpumbavu...!!!! Tena hapo umenifanya nitafute team anayechezea nianze kumfatilia kwa kutumia program yangu kwenye PC
 
Pc yenyewe prima madrid ndo ina nguvu PC nzima mess wakubebwa
 
Yule mpumbavu anaujua mpira hadi mpira haujui kama unajuliwa na huyu mpumbavu...!!!! Tena hapo umenifanya nitafute team anayechezea nianze kumfatilia kwa kutumia program yangu kwenye PC
Hahahaaha!!

Jamaa ni chizi wa mpira yule.
Kuna mambo anayafanya mpaka watu wanataka iundwe tume ya uchunguzi kuwa huenda anatumia ving'amuzi vya computer
 
jamii forum mna matatizo mno siyo kama hamna mchezaji kama ronaldo bali sema hakuna mwanamke kama ronaldo
 
Waulize Chelsea...Second leg ya quarter final Champions league......nilikuwa bado sekondari
 
wengi humu wamezaliwa juzi.

nataka waliowaona hawa wachezaji waje tuzungumze...zidane..stephen efernberg...dinho..
figo ...luis enrique...raul...rivaldo...nedved..batistuta....
Nikajua utawataja akina kubala, garincha, Socrates, Di Stefano etc na wewe umetaja wachezaji wa juzi.
 
Popote alipokuwa Gaucho nilikuwa shabiki wa hiyo team akitoka na ushabiki unakufa. Hadi sasa ninavyoichukia barca mfano hakuna.
 
Back
Top Bottom