mpaka sasa TI hajafika

Mweeee kwani anatakiwa kufanya yo yo yoo leo au kesho?kama kesho hata dege likitua Lidazi kesho usiku sio mbaya kuweni na subira.

nimelifafanua hili.,
hawajelewa?
 

Hahahaaaa,jamani watu mna vituko hatari....Nimewahi kusikia hii issue aisee
 
Chid Benz,Dully Sykes La Familia mpaka kucheeeee imekula kwenu misukule ya Ruge hakuna cha TI wala TIP,Call him trouble man 9 on his waist 45 on other hand.
 
Hata asiposhuka,Pingu na Deso si wapo watacover vizuri tu haina shida.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Nimesoma post kutoka kwenye insta account yake alikua Ethiopia kama 40 min ago so atakuepo vuta subira mkuu
 

Attachments

  • 1413615565577.jpg
    54.4 KB · Views: 509
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…