Mpaka sasa WASAFI TV na FM sijui wapo kundi gani upande wa tasnia ya habari

Mpaka sasa WASAFI TV na FM sijui wapo kundi gani upande wa tasnia ya habari

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Ni jambo zuri kuwa na ongezeko la vyombo vya habari ila kuongezeka kuna takiwa kuwe na utofauti sana ili ukiangalia au kusiliza unajua kilichokupeleka.

Wasafi Tv na FM bado wanashida kwenye kujitofautisha yani uwezi kuelewa wanataka nini kama ni kwa ajili ya burudani,michezo,habari au mambo makini ,kwa kijana,watoto au watu wazima.

jifunzeni kwa Azam na channel zake,TBC,ITV NA EATV,redio free na n.k yani unajua nachoenda kusikiliza au kutazama kipo tofauti na chamwenzake.

Juzi hapa walinikasirisha kukurupuka ile sheree ya faundation yakina malisa kuhusu yule mama mjane mpaka kajengewa nyumba.
 
Wenyewe wanasema TV na radio zipo kwa ajili ya burudani tu
 
Tusubiri Crown👑 tuwaone nao watakaaje!?
 
Mbona wamezingatia maudhui yote myatakayo!! Kwa mf vpindi vya michezo vipo, vpndi vya burudani vipo,Documentary zipo na hata Habari za matukio mbalmbal zipo sasa mnataka nini nyie walaji Watanzania hebu tuache ujuaji.
 
Back
Top Bottom