Mpaka sasa watu 133 wamekufa Iran kwenye maandamano ya kupiga uonevu wa kidini

Mpaka sasa watu 133 wamekufa Iran kwenye maandamano ya kupiga uonevu wa kidini

Mkuu kinachoongelewa hapa logically ni kwamba

1.kusingekuwa na sheria Kali za kidini na kimaadili,kusingekua na askari wanaozurura mitaani kwa ajili ya reinforcement

2.kusingekua na hao askari,yule mwanamke asingekamatwa kwa inshu hiyo.

3.na kama asingekamatwa maana yake hill tukio La yeye kufia mikononi mwa polisi lisingetokea na maandamano yasingekuwepo


Kwahiyo hapo tunaona chanzo kabisa ni hizo sheria na ndizo ambazo wadau humu wanazipigia kelele na sio hivyo unavyodhani mkuu
Usitafune maneno, mbona wananchi hawakuandamana alipokamatwa??? jibu hili suali

Wananchi wamekuja kuandamana baada ya kufia mikononi mwa polisi, wanadhan kuna jambo lazima limefanyika kusababisha kifo chake.

Nchi ya Iran ipo miaka nenda miaka rudi tokea hujazaliwa wewe wala mimi na babu zako, na sharia zao zipo katika nchi lakini jiulize kwanini hili limetokea sasa? kwaiyo unaona si tatizo la sharia za kiislamu kwa sababu hizo sharia zilikuwepo miaka nenda miaka rudi na hakukua na maandamano.

Suali ni kwanini mwanamke amekufa mikononi mwa polisi? Na ndio mana rais na Serikali ya Iran wanachunguza kifo chake, kama sharia ilimuhukumu kungekuwa na haja gani Serikali kuchunguza kifo chake?

Wananchi wa Iran wanahitaji mabadiliko ya uongozi sasa kwa Rais aliyemadarakani wanahisi ni mzembe kwenye haki za watu na jambo hili linaweza kumtikisa sana.
 
Acha ujinga na porojo kwanza ungetaka kujua, Elewa kwamba Mahakama ya Iran haijamtia hatiani yule mwanamke kuuliwa kwa sababu ya kutovaa hijabu., Yule mwanamke alifariki mikononi mwa polisi? Polisi walimfanya nini? ni kama vile kumkamata mwizi kabla ya kumfikisha vyombo sheria unamuua hichi ndicho kilichosababisha maandamano.

Lakini hakuna uhusiano kabisa na dini ya kiislamu na kifo cha yule mwanamke, kwa sababu hakufika kuhukumiwa, usije hapa kuutukana uislamu.

Kwanini alikufa mikononi mwa polisi ni hoja hapa, je walimtesa, walimpiga sana, walimpa sumu walimfanya nini ndio hoja tu

Mngemuacha na kichwa chake mauti yangemkuta? Hiyo dini inafanya muonekane kituko fulani hivi, nywele zinasababisha mwanamke auawe, tena hakua ameachia kichwa chote, kipande kidogo tu....
 
Na kilichokuwa kinapaswa kufanywa ni upelelezi.Lakini kinachoendelea hakijulikani ni nini,maana hao waandamanaji hatujui wanaandamana kushinikiza nini!.
Waandamanaji bila ya shaka wanalalamikia uwajibikaji na kwa uzembe wa kifo cha huyo mwanamke, nadhan jambo hili linaweza kumtoa madarakani huyu Rais wa Iran
 
Usitafune maneno, mbona wananchi hawakuandamana alipokamatwa??? jibu hili suali

Wananchi wamekuja kuandamana baada ya kufia mikononi mwa polisi, wanadhan kuna jambo lazima limefanyika kusababisha kifo chake.

Nchi ya Iran ipo miaka nenda miaka rudi tokea hujazaliwa wewe wala mimi na babu zako, na sharia zao zipo katika nchi lakini jiulize kwanini hili limetokea sasa? kwaiyo unaona si tatizo la sharia za kiislamu kwa sababu hizo sharia zilikuwepo miaka nenda miaka rudi na hakukua na maandamano.

Suali ni kwanini mwanamke amekufa mikononi mwa polisi? Na ndio mana rais na Serikali ya Iran wanachunguza kifo chake, kama sharia ilimuhukumu kungekuwa na haja gani Serikali kuchunguza kifo chake?

Wananchi wa Iran wanahitaji mabadiliko ya uongozi sasa kwa Rais aliyemadarakani wanahisi ni mzembe kwenye haki za watu na jambo hili linaweza kumtikisa sana.
Basi sawa mkuu
 
Acha ujinga na porojo kwanza ungetaka kujua, Elewa kwamba Mahakama ya Iran haijamtia hatiani yule mwanamke kuuliwa kwa sababu ya kutovaa hijabu., Yule mwanamke alifariki mikononi mwa polisi? Polisi walimfanya nini? ni kama vile kumkamata mwizi kabla ya kumfikisha vyombo sheria unamuua hichi ndicho kilichosababisha maandamano.

Lakini hakuna uhusiano kabisa na dini ya kiislamu na kifo cha yule mwanamke, kwa sababu hakufika kuhukumiwa, usije hapa kuutukana uislamu.

Kwanini alikufa mikononi mwa polisi ni hoja hapa, je walimtesa, walimpiga sana, walimpa sumu walimfanya nini ndio hoja tu
Hoja hapa kwanini wampige kisa unywele tu kuonekana
 
Na kilichokuwa kinapaswa kufanywa ni upelelezi.Lakini kinachoendelea hakijulikani ni nini,maana hao waandamanaji hatujui wanaandamana kushinikiza nini!.
Nyie wavaa kobaz wa mbagala mnasikitisha sana. Ina maana hao wairani hawajui kwanini wanaandama. Kwani Hao wanaondama sio waislamu?
 
Waandamanaji bila ya shaka wanalalamikia uwajibikaji na kwa uzembe wa kifo cha huyo mwanamke, nadhan jambo hili linaweza kumtoa madarakani huyu Rais wa Iran
Sio rahisi. Ebrahim Rais Kwa jins alivyo katiri yuko radhi kuua hata watu elfu moja kuliko kuachia madaraka
 
Usitafune maneno, mbona wananchi hawakuandamana alipokamatwa??? jibu hili suali

Wananchi wamekuja kuandamana baada ya kufia mikononi mwa polisi, wanadhan kuna jambo lazima limefanyika kusababisha kifo chake.

Nchi ya Iran ipo miaka nenda miaka rudi tokea hujazaliwa wewe wala mimi na babu zako, na sharia zao zipo katika nchi lakini jiulize kwanini hili limetokea sasa? kwaiyo unaona si tatizo la sharia za kiislamu kwa sababu hizo sharia zilikuwepo miaka nenda miaka rudi na hakukua na maandamano.

Suali ni kwanini mwanamke amekufa mikononi mwa polisi? Na ndio mana rais na Serikali ya Iran wanachunguza kifo chake, kama sharia ilimuhukumu kungekuwa na haja gani Serikali kuchunguza kifo chake?

Wananchi wa Iran wanahitaji mabadiliko ya uongozi sasa kwa Rais aliyemadarakani wanahisi ni mzembe kwenye haki za watu na jambo hili linaweza kumtikisa sana.
Baada ya Ayatollah kutoka mafichoni huko France ndo akaleta mapinduzi pamoja na masheria yake ila kabla Iran haikuwa na haya mambo ya kumfanya mwanamke kama mhaini.
 
Back
Top Bottom