Kwani nani atabisha kuwa Jamal Malinzi ameisaidi Yanga kutwaa ndoo? Hakuna kabisa.Kwa hisani ya
Kwa hisani ya mbeleko ya Malinzi
Msimu ujao simba bingwa.Hivi ndio wewe msimu uliopita ulikuwa ukijinadi kuwa Simba anakuwa Bingwa?
Maana ni miongoni mwa wale wanaopenda kuishi na matumaini yasiyowezekana.[emoji23]
Kwa hiyo ukimpata okwi akaifunga yanga 5 tayari kombe mnalo au?Msiempenda kaja ndala fc Mzee wa tano okwiiiii
Robert Carlos ,David Beckman ,Luis Figo ,Zidane , Ike Cassilas ,Raul Gonzalez ,Fernando Hiero ,Mwaka gani huo Mkuu? Ebu nikumbushe kidogo Mimi nisiyekumbuka.
Yani Simba kuanzia viongozi wao mpk mashabiki ni Mambumbumbu sana yani,hebu mwangalie yule Msemaji wao hata hajielewi sema basi tu tunamuheshimu isije ikaonekana tuna mnynyapaa!Kwa hiyo ukimpata okwi akaifunga yanga 5 tayari kombe mnalo au?
Boko ana magoli mangapi?Usajili wa simba mwaka huu ni kama wa Real Madrid wakati ule mastaa wote ndani
Mkuu tuheshimiane "wanyama"sio mbumbumbu sawa?ukitaniana na mtoto akakujibu pumba ina maana baba na mama yake ni mbumbumbu?Yaani hawa jamaa ni mbumbumbu mpaka wanaingiwa na utaahira
Una damu ya Yanga basi we ni jini hakuna mtu mwenye damu ya njano na kijaniKumbe ulifikiri mimi ni mikia fc?
Ni mgeni pekee katika jukwaa hili atakayedhani kuwa Makoye Matale siyo Yanga Damu!
Twambie mapungufu ya simba ni sehemu gani kama sio ao waliosajiliawa maana ubingwa mliopewa na Malinzi mlituzidi goli ndo izo tumezileta okwi goli 14 bocko goli 12Yanga kwa kusajili namba 3 Gadiel Michael toka Azam, centre back Ninja, Buswita na Ajibu ime address mapungufu yao yaliyokuwa katika timu kwa msimu uliopita!
Sasa simba inasajili Kapombe, sijui Manula, left back, Okwi, Bocco etc wote hawa hawajibu udhaifu wa timu uliokuwepo bali ni mihemuko itakayopelekea timu kuhitaji muda kuumdwa upya! Na hilo litaidhoofisha zaidi time!
Naona mbolembole umekimbilia huku! Mpira ni uwanjani mkuu sio humu Jf!Yanga kwa kusajili namba 3 Gadiel Michael toka Azam, centre back Ninja, Buswita na Ajibu ime address mapungufu yao yaliyokuwa katika timu kwa msimu uliopita!
Sasa simba inasajili Kapombe, sijui Manula, left back, Okwi, Bocco etc wote hawa hawajibu udhaifu wa timu uliokuwepo bali ni mihemuko itakayopelekea timu kuhitaji muda kuumdwa upya! Na hilo litaidhoofisha zaidi time!