demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Kwani nani atabisha kuwa Jamal Malinzi ameisaidi Yanga kutwaa ndoo? Hakuna kabisa.Kwa hisani ya
Kwa hisani ya mbeleko ya Malinzi
Ametusaidia sana tena misimu 3 yote iliyopita....ameibuka Top Scorer, alikuwa undisputed striker pale Jangwani, na yeye Ndio aliyepiga bao la mwisho pale kagera mlipotola 2-1 na wenyeji....
Alitusaidia mno kwa kumpiga mwiba Mavugo hata akibaki yeye na Kipa anapaisha....
Malinzi forever!