Mpaka sasa zaidi ya Wapalestina 6,500 wameuawa huko Gaza na Waisrael zaidi ya 1400

Mpaka sasa zaidi ya Wapalestina 6,500 wameuawa huko Gaza na Waisrael zaidi ya 1400

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
week kadhaa zilizopita tulikuwa tunashangalia humu kuwa wameuawa waisreli wengi sana huko Israel .mimi nilisikitishwa na sherehe hizo ni kasema Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.............. tusubiri Waisrael wata double. sababu wao wanaamini Muisrael mmoja ni sawa na wapalestine 5. sasa hali ipo vibaya. wapalestina wanauawa sana.

wanajaribu kutumia human shield lakini waisrael wanasema wao wanapiga kila anayekuwa anahusiana na hamas. hali ni mbaya sana. tupate habari kamili hapa chini.

 
Hiyo 1400 ni uongo inasemekana ni kati ya 300 na kitu hivi.
Ilikuwa inatafutwa sababu kuhalalisha mapigano.
 
Hiyo 1400 ni uongo inasemekana ni kati ya 300 na kitu hivi.
Ilikuwa inatafutwa sababu kuhalalisha mapigano.
Vifo vya Gaza news za Uongo haswa pale parking ya Hospital uongo mkuu figure za kutunga mara 500 mara 800 mara 478 wachunguzi walipoenda wakasema hali ile hata kama kulikuwa na watu basi ni 10 hadi 50 only ndio wangekuwa wamepoteza uhai... Gazans ni waongo wanatafuta media tu waonewe huruma... kwa Makosa waliyofanya August 7 kusameheka ni kutubu tu waachie Mateka na waweke silaha chini na wale kiapo cha kutorudia tena na bila kusahau walirushe walivyoiba vyote Matrekta ya raia Simu jewers hadi Viatu, Coffee Machine n.k
 
Walishangilia wakina faiza na wanamnyazi kadhaa sasa washangilie mpka sasa
 
We must abandon the Satanic lideology of the Wes/Israel so as to make the world a better place.
 
leo mnapunguza idad? sw je watu 300 ni sahihi kuwaua ?
IMG_20231028_200743.jpg
 
Back
Top Bottom