Mpaka sasa Zanzibar hawajui Hussein Mwinyi anawapeleka wapi

Mpaka sasa Zanzibar hawajui Hussein Mwinyi anawapeleka wapi

Mavipunda

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
7,072
Reaction score
7,891
Huyu bwana aliupata Urais kwa mgongo wa Magufuli na wala hakuwa chaguo la Wazanzibar. Alikuja na mikakati mingi ikiwemo ule maarufu wa kukuza Uchumi wa Bluu.

Ila baada ya kifo cha JPM kama amevurugwa hakuna analofanya. Tokea aingie madarakani hadi sasa hajajenga hata kilomita moja ya barabara wala kufanya chochote cha maendeleo.

Hawaamini kabisa wateuzi wake na amekuwa mtu wa kutoa maagizo tu bila ya kusikiliza ushauri.

Sasa hivi ana kazi ya kupita misikitini tu na kuhubiri mambo ambayo hata yeye mwenyewe hayatekelezi.

Wazee wa CCM wameapa kwamba atakuwa Rais wa miaka mitano kama JPM na watamuweka kando kwa njia yeyote.
 
Aisee... sasa mbona sukuma gang wanasema alikuwa chaguo la Mungu?
Hawakukosea, alikuwa chaguo la Mungu kweli maana kamchagua kwenda huko aliko sasa.

Ndio ujue unafiki wa binadamu hakuna hata mmoja ya waliokuwa wananadi kuwa Meko chaguo la Mungu alishikwa na uchungu wa kutaka kuzikwa nae, ila alipokuwa hai mishipa ya shingo iliwasimama kumsifia mpaka baadhi yao kufikia kumuita mungu.
 
Back
Top Bottom