Mpaka sasa Zanzibar hawajui Hussein Mwinyi anawapeleka wapi

Mpaka sasa Zanzibar hawajui Hussein Mwinyi anawapeleka wapi

Mtoa mada kabla ya kuleta uzi wako ungefanya kautafiti kidogo, Mwinyi is the best president mwenye utulivu,mzalendo, msikivu, hana papara, mtenda haki mpigania maendeleo ya watu wake, anachukua hatua kwa haraka kuzuia tatizo lisiendelee, anachukia na kukumea ufisadi kwa nguvu zake zote, mi sijui mtoa mada we unataka nini.
 
Huyu bwana aliupata Urais kwa mgongo wa Magufuli na wala hakuwa chaguo la Wazanzibar. Alikuja na mikakati mingi ikiwemo ule maarufu wa kukuza Uchumi wa Bluu.

Ila baada ya kifo cha JPM kama amevurugwa hakuna analofanya. Tokea aingie madarakani hadi sasa hajajenga hata kilomita moja ya barabara wala kufanya chochote cha maendeleo.

Hawaamini kabisa wateuzi wake na amekuwa mtu wa kutoa maagizo tu bila ya kusikiliza ushauri.

Sasa hivi ana kazi ya kupita misikitini tu na kuhubiri mambo ambayo hata yeye mwenyewe hayatekelezi.

Wazee wa CCM wameapa kwamba atakuwa Rais wa miaka mitano kama JPM na watamuweka kando kwa njia yeyote.
HUO TUNAITA UCHAWI YAANI WEWE NI MCHAWI
 
Hata mwenzake huku nako yuko busy kujiandaa kwa 2025! Bidhaa ziko bei juu, yeye kimya!! Tozo zake hazizoeleki! Yaani ni tabu tupu.
Samia yuko vizuri labda wewe akili yako ni ngumu ku interpret economic strategies. Hakuna sera ya uchumi inayokupa majibu overnight
 
Huyu bwana aliupata Urais kwa mgongo wa Magufuli na wala hakuwa chaguo la Wazanzibar. Alikuja na mikakati mingi ikiwemo ule maarufu wa kukuza Uchumi wa Bluu.

Ila baada ya kifo cha JPM kama amevurugwa hakuna analofanya. Tokea aingie madarakani hadi sasa hajajenga hata kilomita moja ya barabara wala kufanya chochote cha maendeleo.

Hawaamini kabisa wateuzi wake na amekuwa mtu wa kutoa maagizo tu bila ya kusikiliza ushauri.

Sasa hivi ana kazi ya kupita misikitini tu na kuhubiri mambo ambayo hata yeye mwenyewe hayatekelezi.

Wazee wa CCM wameapa kwamba atakuwa Rais wa miaka mitano kama JPM na watamuweka kando kwa njia yeyote.
Kwani huko bara mnajua mnakoelea?
 
Huyu bwana aliupata Urais kwa mgongo wa Magufuli na wala hakuwa chaguo la Wazanzibar. Alikuja na mikakati mingi ikiwemo ule maarufu wa kukuza Uchumi wa Bluu.

Ila baada ya kifo cha JPM kama amevurugwa hakuna analofanya. Tokea aingie madarakani hadi sasa hajajenga hata kilomita moja ya barabara wala kufanya chochote cha maendeleo.

Hawaamini kabisa wateuzi wake na amekuwa mtu wa kutoa maagizo tu bila ya kusikiliza ushauri.

Sasa hivi ana kazi ya kupita misikitini tu na kuhubiri mambo ambayo hata yeye mwenyewe hayatekelezi.

Wazee wa CCM wameapa kwamba atakuwa Rais wa miaka mitano kama JPM na watamuweka kando kwa njia yeyote.
Wazee wapi hao wa CCM wanaotaka kumshughulikia Hussein?

Uzuri sasa hivi CCM imeshikwa na watu wa hukohuko Kisiwandui
 
Mtoa mada kabla ya kuleta uzi wako ungefanya kautafiti kidogo, Mwinyi is the best president mwenye utulivu,mzalendo, msikivu, hana papara, mtenda haki mpigania maendeleo ya watu wake, anachukua hatua kwa haraka kuzuia tatizo lisiendelee, anachukia na kukumea ufisadi kwa nguvu zake zote, mi sijui mtoa mada we unataka nini.
Kwa hiyo kwa hizo sifa unazompamba sisi hatuhitaji maji?
Anakemea ufisadi lakini yeye mwenyewe fisadi fuatilia zabuni za Wizara ya Afya na pale Zecco kapewa nani? Fuatilia kampuni zinazoagiza petroleum ni za kina nani na wana mahusiano gani na Familia ya kina Mwinyi
 
Back
Top Bottom