Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Lakini ameweza mbona...Siku aliyokufa Magu kijana Mwinyi alilia kama mtoto alishajua hatoweza tena kuongoza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini ameweza mbona...Siku aliyokufa Magu kijana Mwinyi alilia kama mtoto alishajua hatoweza tena kuongoza
Aisee hii nini tena jamaniSamia Ali Hassan Mwinyi.
Aisee hii nini tena jamani
HUO TUNAITA UCHAWI YAANI WEWE NI MCHAWIHuyu bwana aliupata Urais kwa mgongo wa Magufuli na wala hakuwa chaguo la Wazanzibar. Alikuja na mikakati mingi ikiwemo ule maarufu wa kukuza Uchumi wa Bluu.
Ila baada ya kifo cha JPM kama amevurugwa hakuna analofanya. Tokea aingie madarakani hadi sasa hajajenga hata kilomita moja ya barabara wala kufanya chochote cha maendeleo.
Hawaamini kabisa wateuzi wake na amekuwa mtu wa kutoa maagizo tu bila ya kusikiliza ushauri.
Sasa hivi ana kazi ya kupita misikitini tu na kuhubiri mambo ambayo hata yeye mwenyewe hayatekelezi.
Wazee wa CCM wameapa kwamba atakuwa Rais wa miaka mitano kama JPM na watamuweka kando kwa njia yeyote.
Samia yuko vizuri labda wewe akili yako ni ngumu ku interpret economic strategies. Hakuna sera ya uchumi inayokupa majibu overnightHata mwenzake huku nako yuko busy kujiandaa kwa 2025! Bidhaa ziko bei juu, yeye kimya!! Tozo zake hazizoeleki! Yaani ni tabu tupu.
Kwani huko bara mnajua mnakoelea?Huyu bwana aliupata Urais kwa mgongo wa Magufuli na wala hakuwa chaguo la Wazanzibar. Alikuja na mikakati mingi ikiwemo ule maarufu wa kukuza Uchumi wa Bluu.
Ila baada ya kifo cha JPM kama amevurugwa hakuna analofanya. Tokea aingie madarakani hadi sasa hajajenga hata kilomita moja ya barabara wala kufanya chochote cha maendeleo.
Hawaamini kabisa wateuzi wake na amekuwa mtu wa kutoa maagizo tu bila ya kusikiliza ushauri.
Sasa hivi ana kazi ya kupita misikitini tu na kuhubiri mambo ambayo hata yeye mwenyewe hayatekelezi.
Wazee wa CCM wameapa kwamba atakuwa Rais wa miaka mitano kama JPM na watamuweka kando kwa njia yeyote.
Wazee wapi hao wa CCM wanaotaka kumshughulikia Hussein?Huyu bwana aliupata Urais kwa mgongo wa Magufuli na wala hakuwa chaguo la Wazanzibar. Alikuja na mikakati mingi ikiwemo ule maarufu wa kukuza Uchumi wa Bluu.
Ila baada ya kifo cha JPM kama amevurugwa hakuna analofanya. Tokea aingie madarakani hadi sasa hajajenga hata kilomita moja ya barabara wala kufanya chochote cha maendeleo.
Hawaamini kabisa wateuzi wake na amekuwa mtu wa kutoa maagizo tu bila ya kusikiliza ushauri.
Sasa hivi ana kazi ya kupita misikitini tu na kuhubiri mambo ambayo hata yeye mwenyewe hayatekelezi.
Wazee wa CCM wameapa kwamba atakuwa Rais wa miaka mitano kama JPM na watamuweka kando kwa njia yeyote.
Kabisa mkuuPia anapinga ushoga na ubadhilifu wa mali za umma, ndio maana mashoga na wabadhilifu wanampiga vita mitandaoni.
Ndo jina lake.Aisee hii nini tena jamani
Kwa hiyo kwa hizo sifa unazompamba sisi hatuhitaji maji?Mtoa mada kabla ya kuleta uzi wako ungefanya kautafiti kidogo, Mwinyi is the best president mwenye utulivu,mzalendo, msikivu, hana papara, mtenda haki mpigania maendeleo ya watu wake, anachukua hatua kwa haraka kuzuia tatizo lisiendelee, anachukia na kukumea ufisadi kwa nguvu zake zote, mi sijui mtoa mada we unataka nini.
Sasa huko misikitini anakopita anatafuta nini ?Mwinyi ameziba mianya yote ya rushwa na ufisadi