Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Mimi ni kima ila wewe fundi kubomoa ni FUNZA wa kwenye kinyesiwewe ni kima kama sio mbwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni kima ila wewe fundi kubomoa ni FUNZA wa kwenye kinyesiwewe ni kima kama sio mbwa
Kwa nini unaniita mpuuzi? Kama huafiki mawazo yangu usinilazimishe kuyafuata ya kwako. Njoo kwa hoja siyo kwa sweeping statementWewe ni mpuuzi
Mkuu haki ya Mungu hii inafanana na kweli. Mimi nilidhani ni mimi tu ndo sioni kumbe haya mambo ni kweli; ila tutafika tu.Huyu bwana aliupata Urais kwa mgongo wa Magufuli na wala hakuwa chaguo la Wazanzibar. Alikuja na mikakati mingi ikiwemo ule maarufu wa kukuza Uchumi wa Bluu.
Ila baada ya kifo cha JPM kama amevurugwa hakuna analofanya. Tokea aingie madarakani hadi sasa hajajenga hata kilomita moja ya barabara wala kufanya chochote cha maendeleo.
Hawaamini kabisa wateuzi wake na amekuwa mtu wa kutoa maagizo tu bila ya kusikiliza ushauri.
Sasa hivi ana kazi ya kupita misikitini tu na kuhubiri mambo ambayo hata yeye mwenyewe hayatekelezi.
Wazee wa CCM wameapa kwamba atakuwa Rais wa miaka mitano kama JPM na watamuweka kando kwa njia yeyote.
Wanapelekwa ufukweni kula urojo na badia.Kwani Rais gani walijua wanakopelekwa?Huyu bwana aliupata Urais kwa mgongo wa Magufuli na wala hakuwa chaguo la Wazanzibar. Alikuja na mikakati mingi ikiwemo ule maarufu wa kukuza Uchumi wa Bluu.
Ila baada ya kifo cha JPM kama amevurugwa hakuna analofanya. Tokea aingie madarakani hadi sasa hajajenga hata kilomita moja ya barabara wala kufanya chochote cha maendeleo.
Hawaamini kabisa wateuzi wake na amekuwa mtu wa kutoa maagizo tu bila ya kusikiliza ushauri.
Sasa hivi ana kazi ya kupita misikitini tu na kuhubiri mambo ambayo hata yeye mwenyewe hayatekelezi.
Wazee wa CCM wameapa kwamba atakuwa Rais wa miaka mitano kama JPM na watamuweka kando kwa njia yeyote.
Mkuu hii ni kweli? Hivi yale magorofa pale Kariakoo yalijengwa na wavivu? Vizuri ungesema ukweliWatu waliamini Zenji inakuwa Dubeyi au hata kuipita Singapoo, watulie dozi iwaingie waisome namba, CCM ni ile ile...
Pamoja na udogo wake huko kuna WAVIVU ILA MABINGWA WA FITINA, UNAFIKI.
Everyday is Saturday................................😎
Yeye mwenyewe hajui hapo yupo ajili ganiHuyu bwana aliupata Urais kwa mgongo wa Magufuli na wala hakuwa chaguo la Wazanzibar. Alikuja na mikakati mingi ikiwemo ule maarufu wa kukuza Uchumi wa Bluu.
Ila baada ya kifo cha JPM kama amevurugwa hakuna analofanya. Tokea aingie madarakani hadi sasa hajajenga hata kilomita moja ya barabara wala kufanya chochote cha maendeleo.
Hawaamini kabisa wateuzi wake na amekuwa mtu wa kutoa maagizo tu bila ya kusikiliza ushauri.
Sasa hivi ana kazi ya kupita misikitini tu na kuhubiri mambo ambayo hata yeye mwenyewe hayatekelezi.
Wazee wa CCM wameapa kwamba atakuwa Rais wa miaka mitano kama JPM na watamuweka kando kwa njia yeyote.
Mamwinyi kukaa chini na kuupiga mwingi ndiyo shughuli wanayoweza, Kkoo vibarua Labda wapemba, ila wasukuma na wanyamwezi tokea bara. Tena wa Kigamboni Gezaulole na Mbutu.Mkuu hii ni kweli? Hivi yale magorofa pale Kariakoo yalijengwa na wavivu? Vizuri ungesema ukweli
Alianza vizuri sn kama huyu maza ile miezi 3 alikuwa bonge la Rais kumbe ni balaa tupuAlivyopata cheo watu walikua na high expectations sana...ndio tatizo
Hawa waswahili ni tabu tupuKumbe kote ni majanga nilijua ndugu zetu wana ahueni . Mungu atusaidie sana.
Majengo mengi ya pale yalijengwa na Wapemba kwa mkataba kwamba baada ya miaka kumi wakabidhiwe wenyewe na ndivyo ilivyofanyika. Bakhresa ambaye amejenga viwanda toka Tanzania mpaka nchi za jirani ni Mzanzibari ambaye amewaajiri maelfu ya Watanzania anawezaje kuwa mvivu?Mamwinyi kukaa chini na kuupiga mwingi ndiyo shughuli wanayoweza, Kkoo vibarua Labda wapemba, ila wasukuma na wanyamwezi tokea bara. Tena wa Kigamboni Gezaulole na Mbutu.
Everyday is Saturday................................😎
Ila Mama samia unajua anapokupeleka?Huyu bwana aliupata Urais kwa mgongo wa Magufuli na wala hakuwa chaguo la Wazanzibar. Alikuja na mikakati mingi ikiwemo ule maarufu wa kukuza Uchumi wa Bluu.
Ila baada ya kifo cha JPM kama amevurugwa hakuna analofanya. Tokea aingie madarakani hadi sasa hajajenga hata kilomita moja ya barabara wala kufanya chochote cha maendeleo.
Hawaamini kabisa wateuzi wake na amekuwa mtu wa kutoa maagizo tu bila ya kusikiliza ushauri.
Sasa hivi ana kazi ya kupita misikitini tu na kuhubiri mambo ambayo hata yeye mwenyewe hayatekelezi.
Wazee wa CCM wameapa kwamba atakuwa Rais wa miaka mitano kama JPM na watamuweka kando kwa njia yeyote.
Kilichomkimbiza Zenji nini?? Akaja kukomaa bara?? Kama huko kuna wachapa kazi??UMajengo mengi ya pale yalijengwa na Wapemba kwa mkataba kwamba baada ya miaka kumi wakabidhiwe wenyewe na ndivyo ilivyofanyika. Bakhresa ambaye amejenga viwanda toka Tanzania mpaka nchi za jirani ni Mzanzibari ambaye amewaajiri maelfu ya Watanzania anawezaje kuwa mvivu?
Wakati mwingine tunapaswa kutumia alili ya kuzaliwa.
Sasa kama Maalim seif angefanikiwa kuwa rais wa Zanzibar hali ingekuaje maana watu ndio walikuwa na matarajio makubwa kutoka kwa Maalim seif.Watu waliamini Zenji inakuwa Dubeyi au hata kuipita Singapoo, watulie dozi iwaingie waisome namba, CCM ni ile ile...
Pamoja na udogo wake huko kuna WAVIVU ILA MABINGWA WA FITINA, UNAFIKI.
Everyday is Saturday................................😎
Unataka kukataa kuwa nyie sio wavivu?Majengo mengi ya pale yalijengwa na Wapemba kwa mkataba kwamba baada ya miaka kumi wakabidhiwe wenyewe na ndivyo ilivyofanyika. Bakhresa ambaye amejenga viwanda toka Tanzania mpaka nchi za jirani ni Mzanzibari ambaye amewaajiri maelfu ya Watanzania anawezaje kuwa mvivu?
Wakati mwingine tunapaswa kutumia alili ya kuzaliwa.
Mkuu hoja hapa ni uvivu wa Wazanzibari. Hivi mtu mvivu anawezaje kuwekeza miradi mikubwa nchini kwake na nchi jirani?Kilichomkimbiza Zenji nini?? Akaja kukomaa bara?? Kama huko kuna wachapa kazi??
Nilishakaa Zbar kwa project fulani, ofisi ya serikali unafika saa3, muhusika hajafika, akifika saa 4 anaenda kunywa chai, saa 5 karudi gumzo porojo, saa 6-7 Masjid, saa 8 lunch, what the EFF, kitu ambacho bara ungehudumiwa siku 1-2, kule wiki.
Investor kajipangia kukaa wiki anajikuta kakaa wiki3, muda unapotea na pesa na mtu anakata tamaa.
Wabara huwa tunawaona wabara wavivu, ili tukija Zenj tunaona wabara ni watu wachapa kazi kama wajapan.
Na uhakika Mh Hussein Mwinyi, ndiiyo anachokabiliana nacho first hand, WAVIVU WAMEENDEKEZA UMWINYI. Hawana kitu zaidi midomo na roho za kwanini.
Everyday is Saturday................................😎
Sasa kama Maalim seif angefanikiwa kuwa rais wa Zanzibar hali ingekuaje maana watu ndio walikuwa na matarajio makubwa kutoka kwa Maalim seif.
Acha ujinga wewe Zanzibar Nyie ni wavivu Sana Tena Sana ,umwinyi mwingi sana.Mkuu hoja hapa ni uvivu wa Wazanzibari. Hivi mtu mvivu anawezaje kuwekeza miradi mikubwa nchini kwake na nchi jirani? Swala la yeye na wenzake kuja Bara ni soko na sio nguvu kazi. Kumbuka kwamba Bakhresa kawekeza na Zanzibar pia na ndo maana kawekeza hata nje ya Tanzania. Mimi hudhani watu tunapojadili huwa tunafahamu vizuri mada.
Kuhusu kuhudumiwa kwa wakati unazungumzia Bara ipi? Hivi hii si ndo ile ambayo huduma hupati hadi utoe rushwa?
Swala la kwamba ulishakaa ofisi fulani huko Zanzibar na ukaona watu wanachelewa ni ofisi ipi? Hivi huku Bara watu huwa hawachelewi na kwa visingizio kebekebe ikiwemo usafiri? Wao sio wavivu?
Kuhusu kufanya ibada huo ni utamaduni wao kama ilivyo Bara. Hivi huku Bara Waislamu hawaendi msikitini?
Kwenye maeneo ya imani usiyaingilie hayahusiani na mada yetu na hutoyaweza. Hapa tunazungumzia madai yako kwamba Wazanzibari ni wavivu.