Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
Wanaongoza MAITImwinyi na dada ake wote wanaongoza ng'ombe.
waache wafanye wanachotaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaongoza MAITImwinyi na dada ake wote wanaongoza ng'ombe.
waache wafanye wanachotaka.
Na ndicho alichokifanya JPM ndio maana walionyang'anywa keki ya wizi hawaaachi kumsema vibaya. Vyeti feki ndio usiseme. Wamejaa humu na chuki zao kwa JPM. Sasa wameanza kwa Rais Mwinyi!Mwinyi ameziba mianya yote ya rushwa na ufisadi
Kwa hiyo Kinana ndo anjitapa kwamba anaweza kuwatoa watu kwa namna yoyote,mwambieni wanajipanga kulipiza😂😂😂Huyu bwana aliupata Urais kwa mgongo wa Magufuli na wala hakuwa chaguo la Wazanzibar. Alikuja na mikakati mingi ikiwemo ule maarufu wa kukuza Uchumi wa Bluu.
Ila baada ya kifo cha JPM kama amevurugwa hakuna analofanya. Tokea aingie madarakani hadi sasa hajajenga hata kilomita moja ya barabara wala kufanya chochote cha maendeleo.
Hawaamini kabisa wateuzi wake na amekuwa mtu wa kutoa maagizo tu bila ya kusikiliza ushauri.
Sasa hivi ana kazi ya kupita misikitini tu na kuhubiri mambo ambayo hata yeye mwenyewe hayatekelezi.
Wazee wa CCM wameapa kwamba atakuwa Rais wa miaka mitano kama JPM na watamuweka kando kwa njia yeyote.
Hawa ni watu wa Makamba wanatumia mbinu zile zile za miaka ya 2005,wapuuzi sanaMtoa mada kabla ya kuleta uzi wako ungefanya kautafiti kidogo, Mwinyi is the best president mwenye utulivu,mzalendo, msikivu, hana papara, mtenda haki mpigania maendeleo ya watu wake, anachukua hatua kwa haraka kuzuia tatizo lisiendelee, anachukia na kukumea ufisadi kwa nguvu zake zote, mi sijui mtoa mada we unataka nini.
Wewe ni kima kama sio mbwaSamia yuko vizuri labda wewe akili yako ni ngumu ku interpret economic strategies. Hakuna sera ya uchumi inayokupa majibu overnight
Achana kabisa na Rais Dk.Hussein Mwinyi. Ni mtu wa kazi hasa. Unafuatilia pemba anavyoifungua kiuchumi? Bandari mpigaduri? Nidhamu ya utumishi wa umma, vita ya rushwa na uzembe? Anajenga culture mpya ya utendaji kazi na uwajibikaji Zanzibar. Hii ni injini, wasipo wajibika ole wao...watakumbwa na Fagio la Chuma.Huyu bwana aliupata Urais kwa mgongo wa Magufuli na wala hakuwa chaguo la Wazanzibar. Alikuja na mikakati mingi ikiwemo ule maarufu wa kukuza Uchumi wa Bluu.
Mungu sio mtoto wa baba kwamba utamfanyia mzahaKumbe kote ni majanga nilijua ndugu zetu wana ahueni . Mungu atusaidie sana.
Kwamba Mbowe na huyo aliyepakatwa na wazungu ndio wataleta mabadiliko? 🤣🤣Hakuna kiongozi atakaeweza kuleta mabadiliko kwenye hii nchi as long as CCM ndio chama tawala
Mabando ya simu hali si hali sijui imekuaje tena wakati walisitishwa kupandisha beiHata mwenzake huku nako yuko busy kujiandaa kwa 2025! Bidhaa ziko bei juu, yeye kimya!! Tozo zake hazizoeleki! Yaani ni tabu tupu.
Amejivika ushekhe??🤣🤣🤣Huyu bwana aliupata Urais kwa mgongo wa Magufuli na wala hakuwa chaguo la Wazanzibar. Alikuja na mikakati mingi ikiwemo ule maarufu wa kukuza Uchumi wa Bluu.
Ila baada ya kifo cha JPM kama amevurugwa hakuna analofanya. Tokea aingie madarakani hadi sasa hajajenga hata kilomita moja ya barabara wala kufanya chochote cha maendeleo.
Hawaamini kabisa wateuzi wake na amekuwa mtu wa kutoa maagizo tu bila ya kusikiliza ushauri.
Sasa hivi ana kazi ya kupita misikitini tu na kuhubiri mambo ambayo hata yeye mwenyewe hayatekelezi.
Wazee wa CCM wameapa kwamba atakuwa Rais wa miaka mitano kama JPM na watamuweka kando kwa njia yeyote.
Hana uwezo wa kuongoza yule. Nyazifa zote alizopata na hapo alipofika ni kwa kibebwa kwa jina la ukoo tuAlivyopata cheo watu walikua na high expectations sana...ndio tatizo
Mheshimiwa Mungu🤣🤣🤣hawakukosea, alikuwa chaguo la Mungu kweli maana kamchagua kwenda huko aliko sasa.
Ndio ujue unafiki wa binadamu hakuna hata mmoja ya waliokuwa wananadi kuwa Meko chaguo la Mungu alishikwa na uchungu wa kutaka kuzikwa nae, ila alipokuwa hai mishipa ya shingo iliwasimama kumsifia mpaka baadhi yao kufikia kumuita mungu.
Usiseme hiiiivyoooo!!Hao wazee waendelee kujiapiza tuu lakini mambo yote hupangwa na kuamuliwa Chimwaga Dodoma, kama hawaamini wasubiri waone.
Watu waliamini Zenji inakuwa Dubeyi au hata kuipita Singapoo, watulie dozi iwaingie waisome namba, CCM ni ile ile.Alivyopata cheo watu walikua na high expectations sana...ndio tatizo