Mpaka sasa Zanzibar hawajui Hussein Mwinyi anawapeleka wapi

Mpaka sasa Zanzibar hawajui Hussein Mwinyi anawapeleka wapi

Huyu bwana aliupata Urais kwa mgongo wa Magufuli na wala hakuwa chaguo la Wazanzibar. Alikuja na mikakati mingi ikiwemo ule maarufu wa kukuza Uchumi wa Bluu.

Ila baada ya kifo cha JPM kama amevurugwa hakuna analofanya. Tokea aingie madarakani hadi sasa hajajenga hata kilomita moja ya barabara wala kufanya chochote cha maendeleo.

Hawaamini kabisa wateuzi wake na amekuwa mtu wa kutoa maagizo tu bila ya kusikiliza ushauri.

Sasa hivi ana kazi ya kupita misikitini tu na kuhubiri mambo ambayo hata yeye mwenyewe hayatekelezi.

Wazee wa CCM wameapa kwamba atakuwa Rais wa miaka mitano kama JPM na watamuweka kando kwa njia yeyote.
Kwa hiyo Kinana ndo anjitapa kwamba anaweza kuwatoa watu kwa namna yoyote,mwambieni wanajipanga kulipiza😂😂😂
 
Mtoa mada kabla ya kuleta uzi wako ungefanya kautafiti kidogo, Mwinyi is the best president mwenye utulivu,mzalendo, msikivu, hana papara, mtenda haki mpigania maendeleo ya watu wake, anachukua hatua kwa haraka kuzuia tatizo lisiendelee, anachukia na kukumea ufisadi kwa nguvu zake zote, mi sijui mtoa mada we unataka nini.
Hawa ni watu wa Makamba wanatumia mbinu zile zile za miaka ya 2005,wapuuzi sana
 
Hivi si inawezekana kuvunja haka kamuungano ili tuwasubiri wakati kakisiwa kanazama?[emoji848][emoji848]
 
Huyu bwana aliupata Urais kwa mgongo wa Magufuli na wala hakuwa chaguo la Wazanzibar. Alikuja na mikakati mingi ikiwemo ule maarufu wa kukuza Uchumi wa Bluu.
Achana kabisa na Rais Dk.Hussein Mwinyi. Ni mtu wa kazi hasa. Unafuatilia pemba anavyoifungua kiuchumi? Bandari mpigaduri? Nidhamu ya utumishi wa umma, vita ya rushwa na uzembe? Anajenga culture mpya ya utendaji kazi na uwajibikaji Zanzibar. Hii ni injini, wasipo wajibika ole wao...watakumbwa na Fagio la Chuma.
 
Huyu Ni mtoto wa Ali Hassan Mwinyi.

Ali katika kitabu chake mwenyewe na kauli yake mwenyewe alisema/ameandika amezaliwa huku bara mkoa wa pwani.
Proceed
 
Huyu bwana aliupata Urais kwa mgongo wa Magufuli na wala hakuwa chaguo la Wazanzibar. Alikuja na mikakati mingi ikiwemo ule maarufu wa kukuza Uchumi wa Bluu.

Ila baada ya kifo cha JPM kama amevurugwa hakuna analofanya. Tokea aingie madarakani hadi sasa hajajenga hata kilomita moja ya barabara wala kufanya chochote cha maendeleo.

Hawaamini kabisa wateuzi wake na amekuwa mtu wa kutoa maagizo tu bila ya kusikiliza ushauri.

Sasa hivi ana kazi ya kupita misikitini tu na kuhubiri mambo ambayo hata yeye mwenyewe hayatekelezi.

Wazee wa CCM wameapa kwamba atakuwa Rais wa miaka mitano kama JPM na watamuweka kando kwa njia yeyote.
Amejivika ushekhe??🤣🤣🤣
 
hawakukosea, alikuwa chaguo la Mungu kweli maana kamchagua kwenda huko aliko sasa.
Ndio ujue unafiki wa binadamu hakuna hata mmoja ya waliokuwa wananadi kuwa Meko chaguo la Mungu alishikwa na uchungu wa kutaka kuzikwa nae, ila alipokuwa hai mishipa ya shingo iliwasimama kumsifia mpaka baadhi yao kufikia kumuita mungu.
Mheshimiwa Mungu🤣🤣🤣
 
Alivyopata cheo watu walikua na high expectations sana...ndio tatizo
Watu waliamini Zenji inakuwa Dubeyi au hata kuipita Singapoo, watulie dozi iwaingie waisome namba, CCM ni ile ile.

Pamoja na udogo wake huko kuna WAVIVU ILA MABINGWA WA FITINA, UNAFIKI.

Everyday is Saturday..😎
 
Mnachekesha sana...nilifika Zenji baada tu ya uchaguzi na nikasikiza anavyozungumzwa,nimerudi miezi miwili nyuma nimesikia tena anavyotamkwa jipangeni upya machogo!
 
Back
Top Bottom