Mkuu tunaruhusiwa kucheka kwa sauti kubwa?ππTatizo lipo Tanzania! Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu. Ukute madereva wote kutoka Tanzania wanapewa tu vyeti hata Corona hawapimwi tena kwa sababu Tanzania inaamini kuwa Corona ilishaisha!
Mnaogopa nini wakirudia kupimwa?Huu unaitwa uzandiki. Umeshuhudia kuwa hawapimwi?
Hahahha so this white guy is the answer?[emoji16][emoji16][emoji16]
Ahhaa Mkuu usinisingizie. Kuna tofauti ya kusema Corona imeisha, na kusema Corona haijaisha lakini tuendelee na maisha kwa kuchukua tahadhari. Kwanza nilishaandika thread juu ya hili. Ngoja niitafute nita paste hapa chini[emoji3][emoji3]Mkuu una kichwa kigumu kweli... Tumeambiwa ugojwa umepungua kama unategemea ugonjwa huu kuisha endelea kusubiri . Kama umepungua lazima maisha yaendelee kwa tahadhari sio kama kawaida mbona kiswahili chepesi sana hiki au MKENYA wewe?
Sa mbona huku kimesanda?π
Samahan najua umemjibu mtu mwingine. But i would like to say. Hiyo ni pathetic excuse.[emoji3][emoji3]Mkuu una kichwa kigumu kweli... Tumeambiwa ugojwa umepungua kama unategemea ugonjwa huu kuisha endelea kusubiri . Kama umepungua lazima maisha yaendelee kwa tahadhari sio kama kawaida mbona kiswahili chepesi sana hiki au MKENYA wewe?
Mbona hushangai kuwa corona inapukutisha sana wazungu huko kuliko afrika?Jambo la kushangaza ni kwamba, ugonjwa unashika kasi nchi zote za jirani sasa eti sisi tuna wagonjwa wanne
Tanzania kuna shida.
Kipimo cha Corona kinauma, huwezi kukubali kuchokolewa chokolewa hovyo.Kuna mtu aliwahi kupendekeza . Ili hili jambo liende sawa . Madkatari wetu wawepo mpakani.
Wanaoingia Kenya waanze kupimwa mpaka wa Tanzania. The baadae mpaka mpaka wa Kenya wapimwe tena.
Kuwe na some sort of check and re-check system.
Einstein wasn't like you! He never talked sh*tMtachemsha mawe watoto walale na njaa π π π π π
Mpuuzi wewe, ni lini uliambiwa korona imeisha? Kila siku unaambiwa corona bado ipo chukua tahadhari au huelewi?Kenya haawaamini Tanzania kwa Sababu tz unasema Corona umeisha kwa maombi, hii haingii akilini kwa mtu yoyote
Mpuuzi wewe, ni lini uliambiwa korona imeisha? Kila siku unaambiwa corona bado ipo chukua tahadhari au huelewi?Kenya haawaamini Tanzania kwa Sababu tz unasema Corona umeisha kwa maombi, hii haingii akilini kwa mtu yoyote
Basi Kenya walikuwa naive sana, siku chache kabla ya mazungumzo kuanza Magufuli alitoka Chato akasimama Singida na kutangaza corona inaisha, na kuwapongeza wananchi kutovaa barakoa, sasa hiyo ilitosha kutuma message kwa kenya kuwa tz inachukulia corona kwa u seious ganiWaliamini kwa kuwa walijua Tanzania hawatafanya mzaha katika suala la huu ugonjwa. Twende Arusha nitakupeleka sehemu unapata cheti bila kupima, dau lako tu. Ukitaka hata vya watu 10 utapata.
Na by the way, Tanzania unaweza kupewa cheti kwa kupimwa joto tu!
wewe basha wako ni nani[emoji16][emoji16].Yule changudoa wa Meko alisema wagonjwa wamebaki 5 kutoa 1. Sasa kama hatuna Corona kwanini tuogope kupimwa??!!!!!
Njia ya muongo ni fupi saaaana!
Tanzania hawataki hilo!