Mpaka wa Namanga wafungwa kwa muda baada ya Kenya kuwazuia madereva malori kutoka Tanzania kwa kutokuamini vipimo vyao vya #Corona

unapajua kariakoo au unapasikia tu? tuheshimiane sisi sio watu wa kufoji
 
Duuh . . unamwita kivuruge ? halafu hiyo takwimu ya watu elfu mbili umeiiba wapi?
 
Tumekuwa kero ? Kwanza unaijua SADC vizuri?
Unaujua umuhimu wa Tanzania ndani ya SADC?
Muulize hata Ramaphosa atakuambia Tanzania ni nani ndani ya SADC. Tukifunga mipaka yetu nakuhakikishia kuna nchi kama sita zitalala njaa. Nakupa taarifa tu kama hujui
 
Kumbe uko na akili hivo lakini sijui ulikua unaandika nini huko juu, mtazamo ulioandika kwenye thread yako ndio Hali halisi sasa .
Mkuu thread na post zangu unatakiwa kuwa makini unaposizoma na ushabiki wa kisiasa uweke kando kabisa, kwa kuwa mimi siandiki kwa kuwa na ushabiki wa kisiasa
 
Hao jamaa ni wajinga sana!

Wanakimbizana kutoa takwimu sijui ili wamfikie USA?

Wanaumia sana kuona tz maisha yanaemdelea huku wao wamejifungia ndani kama mwali
Majamaa yanaugua njaa hadi yameamua kuitungia katiba kabisa.
 

Umuhimu gani zaidi ya kuwa kitovu cha uchafu, leo nyie ndio mnasambaza corona na ugaidi huko SADC, hebu ona mnavyowatesa Msumbiji...Hakuna jirani yenu mnayemuacha salama bila usumbufu, mnang'ang'ania kuingia kwenye nchi za watu lakini hamtaki mfuate taratibu zao.

 
.
 
Hivi kwa muingiliano uliopo Tanzania Corona inaishaje, hiyo ni sayansi ya wapi.

Ugonjwa unaambukiza na sisi hatujachukua measures zozote kuzuia maambukizi, ugonjwa unaishaje hapo.

Mbona tunataka kuwa kama akina Kinjekitile.
 
Huo moto mmeuzima kwa kutotangaza data za maambukizi au.
 
Maandamano ya marekani hayajaletwa na serikali, get your facts right.
 
Hivi kwa muingiliano uliopo Tanzania Corona inaishaje, hiyo ni sayansi ya wapi.

Ugonjwa unaambukiza na sisi hatujachukua measures zozote kuzuia maambukizi, ugonjwa unaishaje hapo.

Mbona tunataka kuwa kama akina Kinjekitile.

Measures gani unataka tuafanye?, kwani hujashauriwa kuvaa barakoa, kuweka distance, kunawa mikono, kubaki nyimbani kama huna kazi ya kukuzungusha, sasa zaidi ya hapo unataka nini?
Ukimwi upo unaenda gesti hutumii kondom, ukiathilika unalaum serikari?

Najua utasema hatupimi, nambie ni wapi walipopima watu kisha ugonjwa ukaisha?
Au ukipima hutaambukizwa?
Je tukipima sana tunapata dawa yake au tunapata zawadi?
Je watu milioni 60 wanaweza kupimwa kwa siku moja ili tujue wagonjwa kisha watengwe?

Je kuna watu wengi kwenye mahospitali wanaoumwa corona?
Hizo measures unazotaka serikali ifanye ni zipi, kama unazo weka hapa ili serikari izifanyie kazi kama ni bora zaidi.
 
Huo moto mmeuzima kwa kutotangaza data za maambukizi au.

Hizo data ukizipewa unapata pesa ya kula kwa siku au?
Chukua tahadhali ugonjwa bado upo, kma huwezi subili siku ukiugua utaeleza aliyekwambia usichukue tahadhali
 
Nimeupenda sana huu msimamo,hawa wakenya ni majirani zetu ,ni marafiki zetu lakini hatutakiwi kuwaamini sana,wanataka kujifanya wao wako makini sana kutuzidi sisi,ninakubaliana kuwa there is a hiden agenda....
Wakenya wapo makini kuliko sisi kwenye almost kila sekta. Hilo halina ubishi.
 
Unajuaje kuwa Uhuru ndio alipiga simu, ulikuwepo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…