Mzee Wa Republican
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 1,666
- 847
unapajua kariakoo au unapasikia tu? tuheshimiane sisi sio watu wa kufojiNenda kasome makubaliano yalivyokua, tulikubaliana kutakua na kitu kinaitwa random checks hata kama una cheti utakua unaibukiwa na kupimwa mara moja moja, hiki kipengee kipo kwenye makubaliano, kayasome...Sasa ikiwa hizi random checks kila zikifanywa wanakutwa na corona, lazima tutilie shaka hayo makaratasi yenu mumefoji kariokoo.