Mpaka wa Namanga wafungwa kwa muda baada ya Kenya kuwazuia madereva malori kutoka Tanzania kwa kutokuamini vipimo vyao vya #Corona

Kwan si mngetangaza tu kufunga kama sisi tulivyofanya hadharani, mlikwama wapi 🤣 🤣🤣🤣
 
Huu ulaghai wetu unatuharibia. Wahujumu uchumi namba moja ni viongoz wa tanzania hv mnafikiri watu wote ni waapuzi wataamini ulaghai wakat mambo yapo hadharan mmechukulia ugonjwa poa wakat wenzenu wapo sereous
U serious unakuja wapi mkuu,ushaambiwa corona haishi leo wala kesho tutaishi nayo, hii corona ni vita ya kiuchumi, tusipokaa sawa mataifa mengi yatadondoka kiuchumi,Mkuu unaijua TB?
 
U serious unakuja wapi mkuu,ushaambiwa corona haishi leo wala kesho tutaishi nayo,hii corona ni vita ya kiuchumi,tusipokaa sawa mataifa mengi yatadondoka kiuchumi,Mkuu unaijua TB?
Nyie mmechukulia mapambano dhidi ya Corona kienyeji sana, mnawaza pesa zaidi ya uhai wa watu wenu, sasa mmekutana na wanaojali uhai wa watu wao badala ya pesa bado mnapeleka mawazo yenu ya pesa kwa wasiohusika, mnawajibu kwa kuwaza pesa.

Ngoja watanzania wapukutike halafu tuone huo uchumi wenu mnaouimba kila siku utajengwa na nani!.
 
Kuna jamaa hakuingiaga kwenye paper ya namba kwa kujua kwamba akifanya mtihani ataambulia F
 
U serious unakuja wapi mkuu,ushaambiwa corona haishi leo wala kesho tutaishi nayo,hii corona ni vita ya kiuchumi,tusipokaa sawa mataifa mengi yatadondoka kiuchumi,Mkuu unaijua TB?
Hao jamaa ni wajinga sana!

Wanakimbizana kutoa takwimu sijui ili wamfikie USA?

Wanaumia sana kuona tz maisha yanaemdelea huku wao wamejifungia ndani kama mwali
 
Majibu potofu yanaeleza kisababishwa na vitu vingi ikiwemo aina ya vipimo, reagents, procedures nk. Baada ya Rais kung'amua tatizo aliunda tume na majibu yamewekwa adharani. Ninavyojua tumebadili aina ya vipimo.

Hata hivyo kwa hiyo kwa akili yako Kama tumekubaliana na Kenya kupima madereva, tusipime? Ongea vitu vyenye mantiki! Elezea mbadala ni nini, badala ya kupiga poyoyo.
 

Ujumbe murua tatizo hakuna lugha ya kidipolomasia wala communication skills
 
Sasa si wangesema tu wamefunga mpaka kama Tz alivyofanya,Au waliogopa nn
Hawana haja maana wao walikuwa wanapita na vyeti halali ila nyie mnapita na vyeti vinavyosoma joto la mwili. Kwani mumeambiwa kuwa joto linaunguza nchi?
 
U serious unakuja wapi mkuu,ushaambiwa corona haishi leo wala kesho tutaishi nayo,hii corona ni vita ya kiuchumi,tusipokaa sawa mataifa mengi yatadondoka kiuchumi,Mkuu unaijua TB?
Wachache sana watakuelewa.
Wengi hapa wako kiushabiki, hawafikiri zaidi ya pua zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…