Mpaka wa Namanga wafungwa kwa muda baada ya Kenya kuwazuia madereva malori kutoka Tanzania kwa kutokuamini vipimo vyao vya #Corona

Mpaka wa Namanga wafungwa kwa muda baada ya Kenya kuwazuia madereva malori kutoka Tanzania kwa kutokuamini vipimo vyao vya #Corona

Ukiacha hayo mengine ambayo naona Kama out of focus na yana majibu mazuri na justification,
Suala ni kuwa tulikubaliana na Kenya kupima madereva na kutoa vyeti, kwa vipimo hivi hivi vinavyotumika. Yaani Kenya walikubali dereva na wasaidizi wakiwa na vyeti toka Tz vitakubalika Kama vilivyo.

Ukifanya tofauti ni utoto au una nia iliyojificha, vinginevyo usingeingia kwenye makubaliano, simple and clear!
Mnasema kwenu wagonjwa wamebaki wanne, balozi wa Marekani anatoa taarifa yake anaonesha hali bado mbaya, nani atawaamini nyie?

Hamuwezi kuchakachua hivyo vipimo kuwalinda madereva wenu?

A second thought also is a thought, huwezi kumdharau mtu simply bcoz kabadilisha msimamo wake, kama una akili timamu jiulize why?

There is nothing clear over there, unless you are myopic.
 
Hakuna haja ya kuwabebeleza wakenya, washushe mzigo na sisi tushushe mzigo, kila mtu arudie kwake basi hiyo mdo njia pekee iliyobaki,
Wakenya wanadhani muda wote wanatakiwa kumiliki uchumi peke yao katika africa mashariki,
Toka tanzanite, dhahabu na vitu vingine, utalii kuwa introduced na tanzaia sasa wanafura.
Bandari na matreni yanafanya kazi mizigo ya nchi jirani sasa wanaugua,
Watulie tu hakuna namna.
Kwenye hili la corona wako sahihi tupunguze matumiz ya bangi za kolomijr ktk kukabiliana na jambo hili
 
Tatizo lipo Tanzania! Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu. Ukute madereva wote kutoka Tanzania wanapewa tu vyeti hata Corona hawapimwi tena kwa sababu Tanzania inaamini kuwa Corona ilishaisha!
Wewe Una mwamini zaidi jirani yako kiasi cha kumwachia familia yako akulindie ukiamini utaikuta salama hajaichakachua, Jiamini wewe
 
Piga lock hakuna kuingia wala kutoka Wakenya mda siyo mrefu watakuja kulialia tena kwa Prof Kabudi tuyamalize..
 
Tumieni akili acheni hasira, matendo yenu yanaleta aibu kwa taifa, mjifunze kusikiliza wengine.

Hapa ndio mtajua ule uongo wenu wa wagonjwa kupungua huwa mnajidanganya wenyewe.
Uko nyuma ya Wakati mkuu, wenzia Hilo faili karibu tunalitupa kabatini wewe bado unataka lianze upya kusomwa, punguza mahaba na Mpenziyo Covd bhana,
 
Nashangaa watu bado wanashupalia issue ya corona! Eti Tz bado ni tishio! Kisa wamcriminalise JPM!

Rubbish, corona siyo issue tena kwa Tz! Ndiyo maana watanzania wako busy na maisha Yao ya kila siku. Hao wanaotaka kulazimisha kwamba corona ni tatizo Tanzania, ingekuwa kweli wala wasingelazimisha, ungeshuhudia vilio, simanzi na masononeko kila kona ya nchi hii.
Naona uko so emotional. ukiweka emotion kwenye hili swala utatoa majib ya ajabu. Ningeoendekeza uweke logic.
Siwatetei wakenya.. ila the way nionavyo mimi. Wao ni nchi huru na wana maamuzi yao.
Sidhan kama wanafanya maamuzi kumkomoa JPM. Wanafanya maamuzi kuokoa wanachi wao. Wana case nyingi za corona..so wako on high alert.
Haya masuala ya kuona kuwa tunaonewa ni victim mentality ambayo haitusaidii kwa lolote.
 
U serious unakuja wapi mkuu,ushaambiwa corona haishi leo wala kesho tutaishi nayo, hii corona ni vita ya kiuchumi, tusipokaa sawa mataifa mengi yatadondoka kiuchumi,Mkuu unaijua TB?
TB ni pandemic?
 
Ukweli ni kwamba hakuna taifa linamudu kuthibiti covid19, tutaishi nayo na kuimudu kwa kinga za mwili. Wachache wetu dhaifu tuwakinge pekee. Tuendelee kupumuliana kubadilishana virus na bacteria useful kuboresha kinga.Kwa hili nampongeza sana JPM kutupa moyo.
Unazungumzia herd immunity.? Incase hujajua yako mataifa machache yaliyofanikiwa kuudhibiti huu ugonjwa. Wamewezane wao? Kwann wengine wana struggle?
 
Kuna wakati lazima upigane kutafuta Amani, Kenya anachokifanya ni kujidekeza tu nakujiliza liza Sasa Huyo dawa yake ni kuchukua maamuzi magumu walau ya Mwezi mzima ivi ili atie akili, Waswahili wanasema mtoto akililia wembe, kama tunakaa nao mezani tunapanga then wanaenda huko na kugeuka basi wanahitaji adhabu
 
U serious unakuja wapi mkuu,ushaambiwa corona haishi leo wala kesho tutaishi nayo, hii corona ni vita ya kiuchumi, tusipokaa sawa mataifa mengi yatadondoka kiuchumi,Mkuu unaijua TB?
Kwasababu mapema. Hamaanishi watu warelax. Wasichukue hatua zozote.
Hapa lazima tujue kuwa kila nchi inatofautiana kumkakati na kimipango kwenye kupambana na corona. Hatuezi fanana hata siku moja.
Yes kupitia janga hili kuna vita ya uchumi.. lakin hatuwez fanana kimbinu. Wao.wana zakwao. Sisi tuna.zetu.
 
Yaani mtu akikaribia kufilisika lawama zake ni kulogwa kuibiwa nk! Tanzania tupunguze lawama.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Usishau na eti anapigwa vita, anaonewa wivu, anahujumiwa nk!! Tumewatangazia dunia kuwa hatufanyi tena upimaji kwa sababu hatuna tena corona - halafu watu wanatokea na vyeti vimejazwa majibu bila vipimo kufanyika!!
 
Tanzanian President John Magufuli has said the number of coronavirus patients in hospitals is declining, although the government has not released data on infection rates for many weeks.

The president has repeatedly downplayed the risk of the pandemic, causing alarm among neighbouring African countries and international organisations.

The government has even urged Tanzanians to dedicate three days for thanksgiving this weekend as they say they're beating the virus.

So what do we know about the situation in Tanzania?

Where is the data?

The main issue is that there's been no official data on the coronavirus for weeks, and there are concerns that the authorities are trying to downplay the extent of the outbreak.

Doctors and healthcare professionals are afraid to speak out about coronavirus because of a climate of fear.

"Tanzania has always had very repressive laws against freedom of expression and the press," says Roland Ebole, a regional researcher at Amnesty International.

"We are now seeing these laws being used in a more intensive way to target those who are speaking out, especially about Covid-19," says Mr Ebole.

The government stopped releasing daily updates on the number of positive cases in April, with the president saying they were creating panic.

The Africa Centres for Disease Control and Prevention has "strongly" called on Tanzania to release its latest data on the outbreak.

The last figures, published on 29 April, reported 480 cases and 21 deaths (its island territory Zanzibar has since added 29 more cases in May).
Suppose you're a president of the United republic of Tanzania, what you can do to fight against Covid-19 without affecting daily human activities and economic development of your country.
 
Uko nyuma ya Wakati mkuu, wenzia Hilo faili karibu tunalitupa kabatini wewe bado unataka lianze upya kusomwa, punguza mahaba na Mpenziyo Covd bhana,
Sasa bahati mbaya nyie mkipuuza kwa ujinga wenu, majirani zetu wanagoma kufuata ujinga wenu wa kupuuza.
 
Back
Top Bottom