Mpaka wa Namanga wafungwa kwa muda baada ya Kenya kuwazuia madereva malori kutoka Tanzania kwa kutokuamini vipimo vyao vya #Corona

"Rais kun'gamua tatizo" unaamini hayo maneno yako?!

Halafu kwanini wakawa kimya wasitoe majibu ya vipimo baada ya muda wa uchunguzi kukamilika?

Kwanini Rais akampa madaraka Mwigulu baada ya kusema bungeni serikali iache kutoa update za maambukizi ya Corona?

Halafu baada ya hapo serikali ikaacha kutoa takwimu.

At the middle of all that; bado unaamini vipimo vilikuwa na tatizo mpaka "Rais alipon'gamua"? Huoni kama palikuwa na ajenda ya siri kuwaaminisha watz majibu ya vipimo ni ya uongo ili kuficha ukweli wa taarifa za maambukizi!.

Kama mlikubaliana na Kenya kwanini wao waka divert? huoni kama wana mawazo mengine, kwakifupi hawatuamini na vipimo vyetu.

Hata sisi hatuaminiani, hatukuwa na nia ya kutaka watanzania wajue ukweli kuhusu hali ya ugonjwa ndio maana wakasingizia vipimo vibovu.
 
Hii inanikumbusha habari ya vifaranga vya kuku. Kila mtu ashinde mechi zake tu asee
 
Hawana haja maana wao walikuwa wanapita na vyeti halali ila nyie mnapita na vyeti vinavyosoma joto la mwili. Kwani mumeambiwa kuwa joto linaunguza nchi?
Wewee vipimo ni vilevile tu sote tumeimport hakuna aliyetengeneza kwao!! Hayo ya kupima joto yamebaki kwenye shopping centers tu! Madereva wetu wanachukuliwa sampuli wanapimwa kwan uchunguzi ushakamilika na vipimo vinaendelea!!
Haya na wawageukie Ethiopia sasa!!
 
Uamuzi ni wenu wakuu maana sisi korona tunaishi nayo kibingwa, inatuogopa kinoma

Sisi hakituogopi, namba zinapandisha na tunapukutika, hivyo lazima tuwe na hasira kwa yeyote anayeleta masikhara.
Sweden waliojifanya kukaidi, kirusi kilienea ndani mwao kimya kimya halafu ghafla kimenyanyua kichwa wanapukutika yaani wamepoteana.
 
Kumbe vipimo ni vile vile, sasa kwanini vya kwao vizima vyetu vilikuwa vibovu?!

Mtaleta uongo wenu wa mabeberu hawatupendi.
 
Hamkujifunza kujifukiza?? kibongobongo tunaita NYUNGU, Kikwenu sijui mnaita "steaming??" inasaidiaga ujue?
 
Sasa usilinganisha Sweden na Tanzania bana,,
Sisi corona tumeishinda.
 
Ukweli ni kwamba hakuna taifa linamudu kuthibiti covid19, tutaishi nayo na kuimudu kwa kinga za mwili. Wachache wetu dhaifu tuwakinge pekee. Tuendelee kupumuliana kubadilishana virus na bacteria useful kuboresha kinga.Kwa hili nampongeza sana JPM kutupa moyo.
 
Kumbe vipimo ni vile vile, sasa kwanini vya kwao vizima vyetu vilikuwa vibovu?!

Mtaleta uongo wenu wa mabeberu hawatupendi.
Vipimo vya Kenya na Uganda vimetofautiana mara ngapi?
 
U serious unakuja wapi mkuu,ushaambiwa corona haishi leo wala kesho tutaishi nayo,hii corona ni vita ya kiuchumi,tusipokaa sawa mataifa mengi yatadondoka kiuchumi,Mkuu unaijua TB?
Acheni ulaghai wa vita vya kusadikika hakuna mtu amesema anakomesha ugonjwa bali kupunguza maambukizi zaidi...for sure sis hatuko sereous kupunguza maambukiz tunawaza uchumi ambao pia ni mbovu kutokana na sera mbovu.Kila jambo jiwe akishindwa anasingizia vita vya kusadikika kwa tabia yake ya kutojali utu na ubinadam zaidi ya2 sifa zake binafsi na mipango yake isyo na vipaumbele.Mtu msomi anaendesha mambo kwa pupa....maendeleo ni process bila kuamini hvi utachanganyikiwa hata katika maisha binafsi.Dhana hii usipoielewa unaweza kuwa jambaz au mchawi so far ukiwa kiongozi utaanza kutesa raia wako kwa makodi makubwa na kuwanyima haki za msingi.Mwl Nyerere alilieleza vzr kwenye kitabu chake cha tujisahihishe kwamba siwez kutesa wananchi wangu kwa kisingizio cha maendeleo.
 
Hizi bangi zako za kolomije ni hatar kwa afya ya ubongo wako
 
Ukiacha hayo mengine ambayo naona Kama out of focus na yana majibu mazuri na justification,
Suala ni kuwa tulikubaliana na Kenya kupima madereva na kutoa vyeti, kwa vipimo hivi hivi vinavyotumika. Yaani Kenya walikubali dereva na wasaidizi wakiwa na vyeti toka Tz vitakubalika Kama vilivyo.

Ukifanya tofauti ni utoto au una nia iliyojificha, vinginevyo usingeingia kwenye makubaliano, simple and clear!
 
Nashangaa watu bado wanashupalia issue ya corona! Eti Tz bado ni tishio! Kisa wamcriminalise JPM!

Rubbish, corona siyo issue tena kwa Tz! Ndiyo maana watanzania wako busy na maisha Yao ya kila siku. Hao wanaotaka kulazimisha kwamba corona ni tatizo Tanzania, ingekuwa kweli wala wasingelazimisha, ungeshuhudia vilio, simanzi na masononeko kila kona ya nchi hii.
 
Jambo la kushangaza ni kwamba, ugonjwa unashika kasi nchi zote za jirani sasa eti sisi tuna wagonjwa wanne
 
Ninyi Wakenya mtajifia kwa njaa bure .Nusu ya Kenya ni jangwa mnategemea Tanzania kwa chakula. Zuieni watu wenu wanaoingia Tz kwa njia za panya kuja kuhemea huku!
 
Huu ulaghai wetu unatuharibia....wahujumu uchumi namba moja ni viongoz wa tanzania hv mnafikiri watu wote ni waapuzi wataamini ulaghai wakat mambo yapo hadharan mmechukulia ugonjwa poa wakat wenzenu wapo sereous

Hakuna haja ya kuwabebeleza wakenya, washushe mzigo na sisi tushushe mzigo, kila mtu arudie kwake basi hiyo mdo njia pekee iliyobaki,
Wakenya wanadhani muda wote wanatakiwa kumiliki uchumi peke yao katika africa mashariki,
Toka tanzanite, dhahabu na vitu vingine, utalii kuwa introduced na tanzaia sasa wanafura.
Bandari na matreni yanafanya kazi mizigo ya nchi jirani sasa wanaugua,
Watulie tu hakuna namna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…