CCM ndio mko deparate kiasi hiki? Nguvu kubwa sana inatumika kumpaisha 'mama' lakini watanzania wamegoma kutoa kiki
Barabara zimebaki nyeupe muonekane kwa uzuri lakini bado haijasaidia . Wasanii kwenda kula keki na kugawa mitungi nako hakujasaidia kupaisha kiki hata ikafika hapo Morogoro tu. Ni huzuni.
Mnatumia mpaka rasirimali zetu vibaya mradi tu kumpaisha mama lakini wapi. Hiyo hela ya mafuta mnachezea hapo si bora ingeenda sadia mtu mwenye uhitaji ikamsogeza kidogo.
Sasa barabara zimefungwa hakuna raia mjini wanatangaza kwa nani ? Halafu kuchora picha ya mtu juu bendera ya taifa ni uhuni, kesho na Lissu akiweka picha yake itakuwa sawa ?
CCM ndio mko deparate kiasi hiki? Nguvu kubwa sana inatumika kumpaisha 'mama' lakini watanzania wamegoma kutoa kiki
Barabara zimebaki nyeupe muonekane kwa uzuri lakini bado haijasaidia . Wasanii kwenda kula keki na kugawa mitungi nako hakusaidia kupaisha kiki hata ikafika hapo morogoro tu. Ni huzuni.
mnatumia mpaka rasirimali zetu vibaya mradi tu kumpaisha mama lakini wapi. Hiyo hela ya mafuta mnachezea hapo si bora ingeenda sadia mtu mwenye uhitaji ikamsogeza kidogo.
Bado mtaisoma namba kama mwimbo wenu unavyosema mpaka akili ikae vizuri😂😂. Ni mwendo wa mikausho mikali tu kama watuwaoni vile.
Watanzania wa jana si wa leo, tongo tongo zinaanza kuondoka na mwangaza kuonekana.
Chawa mnasemajeeeeee..... tumewashika mwaka huuu mtakauka