Pre GE2025 Mpaka yanatumika magari kutangaza birthday ya Rais Samia lakini bado kiki imebuma. Safari hii watanzania wamenuna kwelikweli!

Pre GE2025 Mpaka yanatumika magari kutangaza birthday ya Rais Samia lakini bado kiki imebuma. Safari hii watanzania wamenuna kwelikweli!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mm ni CCM ila nawaomba kwa heshima na tahadhima CHADEMA mfanye juu chini mchukue hii nchi.

Huu unge$$ wa kila siku tunamshukuru mama dula kila kitu kidogo tuu tuna mshukuru bi dula nishauchoka aisee😡😡😡
 
Wakuu,

View attachment 3215630

CCM ndio mko deparate kiasi hiki?:BearLaugh::BearLaugh: Nguvu kubwa sana inatumika kumpaisha 'mama' lakini watanzania wamegoma kutoa kiki:BearLaugh::KEKWlaugh::pepeLaughers:

Barabara zimebaki nyeupe muonekane kwa uzuri lakini bado haijasaidia :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh: . Wasanii kwenda kula keki na kugawa mitungi nako hakusaidia kupaisha kiki hata ikafika hapo morogoro tu. Ni huzuni:pepeLaughers::pepeLaughers::pepeLaughers:.

mnatumia mpaka rasirimali zetu vibaya mradi tu kumpaisha mama lakini wapi. Hiyo hela ya mafuta mnachezea hapo si bora ingeenda sadia mtu mwenye uhitaji ikamsogeza kidogo.

Bado mtaisoma namba kama mwimbo wenu unavyosema mpaka akili ikae vizuri😂😂. Ni mwendo wa mikausho mikali tu kama watuwaoni vile.

Watanzania wa jana si wa leo, tongo tongo zinaanza kuondoka na mwangaza kuonekana.

Chawa mnasemajeeeeee..... tumewashika mwaka huuu mtakauka:BearLaugh::BearLaugh::KEKWlaugh:
Huu ujinga ujinga na usanii huu 🙄
 
Ila mbulula wa Lumumba mnataka watu waache shughuli zao washerekee birthday wakati birthday zetu hatuzijui. Hiyo birthday inamsaidiaje mwananchi wa pale Nyamongo au Kizuramimba ambae hana maji safi na salama, ambae hana pesa ya kununulia gloves za kujifungulia na utumbo alioongea jana mkuu wa mkoa. Hizo gharama za kutembeza hiyo gari ya birthday si bora mngemnunulia yule mama aliyeambiwa na mkuu wa mkoa kuwa kama hana pesa za kununua gloves za kujifungulia aende nyumbani mumewe akamzalishe bila gloves? Nimeamini aliyevimbiwa kama Chalamila hajui mwenye njaa. Shubhaaamit!
 
Wakuu,

View attachment 3215630

CCM ndio mko deparate kiasi hiki?:BearLaugh::BearLaugh: Nguvu kubwa sana inatumika kumpaisha 'mama' lakini watanzania wamegoma kutoa kiki:BearLaugh::KEKWlaugh::pepeLaughers:

Barabara zimebaki nyeupe muonekane kwa uzuri lakini bado haijasaidia :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh: . Wasanii kwenda kula keki na kugawa mitungi nako hakusaidia kupaisha kiki hata ikafika hapo morogoro tu. Ni huzuni:pepeLaughers::pepeLaughers::pepeLaughers:.

mnatumia mpaka rasirimali zetu vibaya mradi tu kumpaisha mama lakini wapi. Hiyo hela ya mafuta mnachezea hapo si bora ingeenda sadia mtu mwenye uhitaji ikamsogeza kidogo.

Bado mtaisoma namba kama mwimbo wenu unavyosema mpaka akili ikae vizuri😂😂. Ni mwendo wa mikausho mikali tu kama watuwaoni vile.

Watanzania wa jana si wa leo, tongo tongo zinaanza kuondoka na mwangaza kuonekana.

Chawa mnasemajeeeeee..... tumewashika mwaka huuu mtakauka:BearLaugh::BearLaugh::KEKWlaugh:
Masheikh wapo kimya kuongozwa na mwanamke kwa sababu ya udini.
 
Sasa barabara zimefungwa hakuna raia mjini wanatangaza kwa nani ?

Halafu kuchora picha ya mtu juu bendera ya taifa ni uhuni, kesho na Lissu akiweka picha yake itakuwa sawa ?
Huwa kuna mwongozo kwenye hili Mkuu kisheria?
 
Kwanini Samia asitumie Mapolisi kutangaza Birthday ili raia tushangilie tusiposhangilia tuswekwe ndani bila dhamana au tubambikiwe kesi.
Acha kutuchekesha bana wakati tunakunywa maji tutapaliwa😂😂
 
Hivi Kuna watanzania wanaopata tabu Sasa kuwazidi chadema?!!!! Nafikiri hakuna. Aisee wanateseka hawa watu Mungu wangu, dah!!!
CHADEMA wanapata tabu kwa lipi sasa? Yaani hawafanyi lolote na bado mnahangaika, wakikohoa tu mnapoteana wote huko:BearLaugh::BearLaugh::BearLaugh: Lissu kajua kubadilisha upepo mpaka mnapata mhaho:OMEGALAUGHING::OMEGALAUGHING::OMEGALAUGHING:
 
Back
Top Bottom