kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,192
- 5,685
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi IKULU MAWASILIANO inaongozwa na mtoto wa 2000, sasa huu km sio utoto ni nini huu? What is this stupidest idiotically pathetic thing is going on here? Yaan utoto utoto mwingi namna hii na hapo kamepewa gari kazurule na vibendera for what?Nchi imepotelea kusikojulikana.
Huu ujinga ujinga na usanii huu 🙄Wakuu,
View attachment 3215630
CCM ndio mko deparate kiasi hiki?Nguvu kubwa sana inatumika kumpaisha 'mama' lakini watanzania wamegoma kutoa kiki
Barabara zimebaki nyeupe muonekane kwa uzuri lakini bado haijasaidia![]()
![]()
. Wasanii kwenda kula keki na kugawa mitungi nako hakusaidia kupaisha kiki hata ikafika hapo morogoro tu. Ni huzuni
.
mnatumia mpaka rasirimali zetu vibaya mradi tu kumpaisha mama lakini wapi. Hiyo hela ya mafuta mnachezea hapo si bora ingeenda sadia mtu mwenye uhitaji ikamsogeza kidogo.
Bado mtaisoma namba kama mwimbo wenu unavyosema mpaka akili ikae vizuri😂😂. Ni mwendo wa mikausho mikali tu kama watuwaoni vile.
Watanzania wa jana si wa leo, tongo tongo zinaanza kuondoka na mwangaza kuonekana.
Chawa mnasemajeeeeee..... tumewashika mwaka huuu mtakauka![]()
Aisee kazi iendeleeSi ndio mmerekodiwa ili muione kwa uzuri mpige party huko mliko😂😂🤣🤣🤣
Masheikh wapo kimya kuongozwa na mwanamke kwa sababu ya udini.Wakuu,
View attachment 3215630
CCM ndio mko deparate kiasi hiki?Nguvu kubwa sana inatumika kumpaisha 'mama' lakini watanzania wamegoma kutoa kiki
Barabara zimebaki nyeupe muonekane kwa uzuri lakini bado haijasaidia![]()
![]()
. Wasanii kwenda kula keki na kugawa mitungi nako hakusaidia kupaisha kiki hata ikafika hapo morogoro tu. Ni huzuni
.
mnatumia mpaka rasirimali zetu vibaya mradi tu kumpaisha mama lakini wapi. Hiyo hela ya mafuta mnachezea hapo si bora ingeenda sadia mtu mwenye uhitaji ikamsogeza kidogo.
Bado mtaisoma namba kama mwimbo wenu unavyosema mpaka akili ikae vizuri😂😂. Ni mwendo wa mikausho mikali tu kama watuwaoni vile.
Watanzania wa jana si wa leo, tongo tongo zinaanza kuondoka na mwangaza kuonekana.
Chawa mnasemajeeeeee..... tumewashika mwaka huuu mtakauka![]()
Kama isingekuwa huo mkutano basi leo ikulu kungekuwa na "shughuli" na tarumbeta mpaka sare watu wangekata.Ila mwanamke ni mwanamke tu kwakweli 😁
CHADEMA wanapata tabu kwa lipi sasa? Yaani hawafanyi lolote na bado mnahangaika, wakikohoa tu mnapoteana wote hukoHivi Kuna watanzania wanaopata tabu Sasa kuwazidi chadema?!!!! Nafikiri hakuna. Aisee wanateseka hawa watu Mungu wangu, dah!!!


Lissu kajua kubadilisha upepo mpaka mnapata mhaho

