Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Ila ana familia nzuri,mabinti warembo.
Na mimi ndo nimemjua leo huyo Linda kumbe nae dishi limeyumba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mimi ndo nimemjua leo huyo Linda kumbe nae dishi limeyumba
Hivi kati ya watu wa humu na mange mwenyewe nani kaleta private issues!!Hee hadi masuala ya mange kumhonga frank hela ya guest yanahusu future ya mtoto wao?kumuita baba mtoto wake shoga mara mshamba nayo vipi? Kuwa mtanzania ni tiketi tosha ya kupata kipaji adimu cha UDAKU.
Ni kweli kwenye ubongo wake tu mkuu.[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Sasa mfyonye wakati ndio uwezo wake!! Kumsikiliza mange inabidi akili yako ifanane na yake kwanza.
Sasahivi amekazana na huyo mr rolex the billionaire, teh teh teeeh, hivi ingekuwa kweli si watu wangeshakoma.
Hahahaaa....kwa hiyo inawezekana huyo Mr. Rolex akawa ni imaginary?[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Sasa mfyonye wakati ndio uwezo wake!! Kumsikiliza mange inabidi akili yako ifanane na yake kwanza.
Sasahivi amekazana na huyo mr rolex the billionaire, teh teh teeeh, hivi ingekuwa kweli si watu wangeshakoma.
Hivi kati ya watu wa humu na mange mwenyewe nani kaleta private issues!!
Si kayakoroga mwenyewe, mabishano gani yanayohusu mtoto ya kutukanana na kuvuana nguo hadharani? Hebu watoe ujinga wao waache kumtumia mtoto kwa maslahi yao.
Maisha yake karibia yote ni imaginary yule mwanamke, yaani yale maisha anayoyaota ndio anayoaminisha watu anaishi.Hahahaaa....kwa hiyo inawezekana huyo Mr. Rolex akawa ni imaginary?
Hahahaa kaaz kwey kwey aisee!
Yaani ile ni mental case aisee!!Alivyo attention seeker huko alipo anafurahia kuongelewa,yupo busy anatafuta picha na skendo za zaman za frank amlipue vizuri.(bidada na maktaba kabisa ya throwbacks na skendo za kila adui yake)
Yule mume tuliaminishwa ni young architect million er, jamani dunia hii.
[emoji23][emoji23][emoji23]umenifurahisha sanaMange hajafanya fair kuanika hayo mambo, hata kama frank ndiyo ameanza angepiga kimya...kujidhalilisha tu mtu gani anagombana na mwanae...ina maana dunia nzima mzuri yeye tu ndiyo hana mapungufu!!! Nataman ningempa ukweli kwenye page yake ila ndiyo doooh achelewi kunianika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui nyie wengine lakini kwa mfano mimi mama yangu ndo angekuwa na tabia kama za huyo dada ningekuwa nimeshamkana zamani mno.Daaaaaahhhhhhhh nimetafakari sana nikachukua nafasi kama Bhoke ili nipige picha jinsi ambavyo Bhoke anajisikia.Nafikiri unaweza ukamkufuru Mungu na kusema bora kuwa yatima.Haya maisha ni magumu sana kwa watoto dahhhhh.Hivi ukiongea na rafiki zako unasemaje?Sasa Bhoke hata akija kuolewa daaah akipishana tu kidogo na mume wake balaaa linaanza kuhusu historia yake.
Mange na Gonga ndio maisha waliyochagua ya kujianika mtandaoni....lakini hawajui jinsi wanavyowamaliza watoto wao kisaikolojia.
Tumuombee Bhoke aje kusimama kimaisha na kujielewa awe tofauti kabisa kabisa na wazazi.Wakuu hii ni nomaaaaa
Ndiyo waTanazania hatutaweza kuinunua kwasababu haipo mkuu.Na ile nyumba ya billion dollar hakuna mtanzania wa kuweza kuinunua.
Ndiyo waTanazania hatutaweza kuinunua kwasababu haipo mkuu.