Mpambano: Mange Kimambi Vs Frank Gonga a.k.a Baba Bhoke

Mpambano: Mange Kimambi Vs Frank Gonga a.k.a Baba Bhoke

Status
Not open for further replies.
Hivi Bhoke atajisikiaje akiona matusi wazazi wake wanavyotupiana?
Inasemekana pia Bhoke aliona mama yake na Mariam Nnauye wameungana kwenye page ya huyo Mariam wakimpiga madongo ya nguvu baba yake,so hakufurahi aliingia na fake I'd then akampa taarifa baba yake
 
Hebu nipishe Mimi Ain't a woman nini.mwanaume kakuzingua mpe mwanae amlee na yeye awe single dad.nenda kapige mishe zako za kuongeza kipato mtoto akikua njoo umchukue as men always they do dat.kila kona single mama sababu ya kujitojitambua.
I see!!!
 
Hahaaa ee tena alikalishwa geto,mange akachoka akaenda kumbwaga bhoke kwa akina frank akiwa na miez mitatu kisha huyo akasepa zake sijui wapi huko.yote kayaandika mange mwenyewe jana.
Alafu alivyo tuntunya anavyojielezea utadhani kuna cha maana anaelezea, kumbe ndio anazidi kujivua nguo.
 
jamani hivi Mange hanaga wanshauri??
huyu binti wanaomsifia huko insta ndio wanaomuharibu ni mwanamke wa aina gani ambaye ni adui wa kila mtu hadi wale wa karibu yake?

mie sikubaliani na Mange kupewa mtoto manake she is an enemy of almost everybody. atamfanya mtoto kuwa na hofu sana ya kuishi kwa furaha.
lakin pia swala la future ama ambition ya mtoto jaman mtoto aelezwe alternatives zilizopo kisha achague yy anataka kuwa nani. mbona tunaona movie industy kwa wenzetu ulaya inafanya vizuri sana tena kuliko hata izo medical carrier?
 
Screenshot_20170105-203639.png
 
Haya mambo bora mgombane wenyewe hukooo mtukanane matusi yooote mtoto asijue...

maskini na kenyewe kanasema kako katika wakati mgumu...wanampa mtoto mazingira magum
 
Humjui frank wewe. ....Mange alimbwaga yule mtoto kwa frank,mtoto akiwa na miezi 3.....frank kamlea mtoto kwa miaka 11,mange kamchukua kukaa nae si chini ya miaka 3....mtoto mwenyewe hana kabisa mapenzi ya mama kwa jinsi mama alivyokuwa anamfanyia na kumtumikisha kama HG. ..na isitoshe frank hakuwa Dj pale clouds bali alikuwa traffic manager,alikuwa yupo safi sana na hata hiyo mimba ni mange ndio alijilengesha maana frank alikuwa anatoka na mariam mnauye kipindi hicho,mange akafanya fitna mpk akatembea na frank ...ngoja niishie hapa maana najua mengi sana ya mange na frank.
....teh hee hee...kila atajwapo Frank lazima uwepo!;
..kwa kazi maalum!
 
Daaaaaahhhhhhhh nimetafakari sana nikachukua nafasi kama Bhoke ili nipige picha jinsi ambavyo Bhoke anajisikia.Nafikiri unaweza ukamkufuru Mungu na kusema bora kuwa yatima.Haya maisha ni magumu sana kwa watoto dahhhhh.Hivi ukiongea na rafiki zako unasemaje?Sasa Bhoke hata akija kuolewa daaah akipishana tu kidogo na mume wake balaaa linaanza kuhusu historia yake.
Mange na Gonga ndio maisha waliyochagua ya kujianika mtandaoni....lakini hawajui jinsi wanavyowamaliza watoto wao kisaikolojia.
Tumuombee Bhoke aje kusimama kimaisha na kujielewa awe tofauti kabisa kabisa na wazazi.Wakuu hii ni nomaaaaa
 
bora hata wewe mwenzangu umehoji hili.
Mange jaman anahitaj msaada wa kanseling. nawaambia mimi yuko desperate huyu dada
Sio desparate tu, yule ana matatizo ya akili na anaelekea kubaya zaidi.
Ndio tatizo la show offs za kipuuzi na kuishi maisha yasiyo yako, anajikuta inabidi atumie nguvu nyingi kuaminisha watu kuwa she is welloff. Ndio mpaka anawehuka sasa. Kajisahau kabisaa kuwa ni mama na anatakiwa abehave, unamfundisha mtoto kufanya B wakati anakushuhudia wewe mama yake kila siku ukifanya C.

Unapoamua kuwa mzazi basi unapaswa kuwa mzazi kwelikweli na sucrifices za kutosha.

Washauri wake ni followers wake wa insta ambao wanafanana akili, wht do you expect??
 
Kuna saa anaendeshwa na egoism,akili zinampaa anaropoka yote kwa hasira,hasira zikipoa anagundua kaharibu anaanza tafuta sababu ati nimekomesha watu leo,kumbe kajikomesha mwenyewe.
Alafu alivyo tuntunya anavyojielezea utadhani kuna cha maana anaelezea, kumbe ndio anazidi kujivua nguo.
 
Kuna saa anaendeshwa na egoism,akili zinampaa anaropoka yote kwa hasira,hasira zikipoa anagundua kaharibu anaanza tafuta sababu ati nimekomesha watu leo,kumbe kajikomesha mwenyewe.
Kanajionaga kajanjaaa,kana akiliii na hakosei ila wengine tuu ndio wabaya.

Suala la malezi ya mtoto na nini afanye ni kitu walichotakiwa kukijadili vizuri wakiwa wameweka tofauti zao pembeni, ila walivyo na akili fupi wameenda kujadili insta kwa kutukanana, sasa hapo mtoto anasaidikaje!!
 
Mhhhhh akili hana,laiti angekuwa na akili asingethubutu kutoa maneno makali vile juu ya mzazi mwenzie na mwanae wakati anajua fika inaweza kumsababishia matatizo akazuiwa hata kuwaona watoto wake. Ni mjinga


Mzazi mwenzie ndo alianza kuziporomosha meseji za mwanae kwenye pahe yake insta na vichambo juu kwa Mange, mange nae asivyopenda kushindwa akajibu mapigo , hapo ndo ikawa ester bulaya vs wasira
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom