Mpambano: Mange Kimambi Vs Frank Gonga a.k.a Baba Bhoke

Status
Not open for further replies.


Unachomkandia nacho huyu binti, wala hukielewi. Nikikuuliza kaehuka kumlazimisha mtoto wake kusoma utanipa jibu gani? Wewe mtoto wake akikataa shule unayomwona anafanya vizuri akasema anataka kucheza ngoma au kujiunga na shilole, ukamwambia hapana, au ukamwambia sawa mwanagu, ni wakati gani utakuwa mwehu?

Billa shaka anayemwona huyu binti vibaya, hana analolifahamu, hana exposure yoyote, haan elimu kama ilie kaya ilyoteua Zero kuwa waziri wa elimu, hajui thamani ya elimu au wale kina buhari.

Kwa heri
 

Hii comment na ya faiza nazicopy na juzipandisha juu kama hutajali ili watu waupate ubuyu ila matusi ntaweka xxx
 
Sasa tabby wapi nimeongelea kuwa wehu wake umesababishwa na yeye kumlazimisha mtoto kusoma? Kwahiyo sijui kitu wakati matusi anayoporomosha kila siku insta yanaonekana wazi, tena anajitukanisha.

Pia mtoto hapaswi kulazimishwa,mueleweshe vizuri kwa upendo kuhusu anachotaka na dunia halisi ilivyo,mshawishi kama mzazi atakuelewa tu, kutumia miguvu sio suluhisho wakati wote maana you can see now walipofikia.
 
Huyu Mange sio mgonjwa kabisa ila ana frustration na anashindwa kuzicontrol kabisa.Marafiki zake wote wamemshit vibaya na wanakula batazz hatari....yeye alitaka wamuogope na wagombane lakini kimebuma.Haya mume ndio kamuacha ....naona vitu kama hivi vimemtokea akiwa nchi za watu hana wa kushare naye machungu....bado abebe mabox ...mhh kasheshe tupu
 
Yule mume tuliaminishwa ni young architect million er, jamani dunia hii.
 
Tatizo anapitiliza ushilawadu angeishia tu kwa kuiokosoa serikali sasa yeye anajisahau mpaka anapeleka upelelez wa kizaman kwa mzazi mwenzie
 
Hazeeki bado yuko bomba sema tatizo lake anamatusi balaa!
Kuanzia miaka ile Sinza nilidhani amebadilika kwa kuwa yupo nchi ya wastaarabu kumbe,hayo matusi aliyotoa ni aibu kwake wanawe,kaka zake ,kutoa matusi kama hayo ni kujidharirisha mwenyewe kwanza badala ya yule unayemtusi.
 
Kuanzia miaka ile Sinza nilidhani amebadilika kwa kuwa yupo nchi ya wastaarabu kumbe,hayo matusi aliyotoa ni aibu kwake wanawe,kaka zake ,kutoa matusi kama hayo ni kujidharirisha mwenyewe kwanza badala ya yule unayemtusi.

Na mimi ndo nimemjua leo huyo Linda kumbe nae dishi limeyumba
 
Hee hadi masuala ya mange kumhonga frank hela ya guest yanahusu future ya mtoto wao?kumuita baba mtoto wake shoga mara mshamba nayo vipi? Kuwa mtanzania ni tiketi tosha ya kupata kipaji adimu cha UDAKU.
Mabishano ya Mange na mzazi mwenzie ni kuhusu future ya mtoto wao nothing else sasa humu watanzania kwa kuwa uwa atuulizwi watu wanaleta personal information za Mange.
Personal information za nn yaani watanzania bana...
 
Nakumbuka kuna kipindi yule dada alyoza na sugu mbunge, Mange alimwandika vibaya na kumkamchamba eti Mwanaume uliyo za nae utamsemaje vibaya kwenye social media. Sasa kikowapi

Faiza nae haeleweki mara alalamike Sugu alitaka kumla tigo ndo maana akakimbia mara bado anampenda ndo haeleweki wakati Sugu anakifaa kipya saivi
 
Mkuu tulitaka kutukana wanaume, mambo ya business class na first class, mtu akikununulia ka economy uende holiday unamfyonya, wewe acha tu.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Sasa mfyonye wakati ndio uwezo wake!! Kumsikiliza mange inabidi akili yako ifanane na yake kwanza.
Sasahivi amekazana na huyo mr rolex the billionaire, teh teh teeeh, hivi ingekuwa kweli si watu wangeshakoma.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…