Mpambano wa mabasi ya Arusha to Dar

Hotel zote za njiani Tanzania ni mahalamia wote..!

Nadhani ni miradi ya wenye mabasi maana maeneo ya miji hawasimami mnapelekwa huko chabisi mnachinjwa. SUMATRA wao wamepiga usingizi wa pono tu
Tafadhali kuna ile hoteli pale juu ya stendi ya tanga ambapo mabasi husimama wale chakula....Hivi ni sifa au makusudiiiii
Kitumbua wanauza buku, sambusha wanauza 2000. Wali 8000 hizi bei sumatra hawazioni au vipi...
 
Kwa viwango vya barabara zetu ni hatari kukimbiza gari kwa speed zaidi ya 80kph.

Ubishi wa kushindanisha magari yanayokimbia zaidi kuliko mengine, ni ubishi wa kizamani sana, (ningesema ni wa kishamba , sitaki kuonyesha dharau )
Ni ubishi uliozalisha ajali nyingi za magari na kisha kusababisha vifo, ulemavu na hasara zinginezo.

Hii post haina afya.
 
mkuu hizo ni kampuni zinaweza shindana zenyewee maana ni zakawaida sana kunavyuma ambavyo hi uhakika vitu scania. sasa hizo zongtong na youtong haziwezi ona ndani kabisa kinachokwamisha ni tochi na sikuhizi sifa ni kufika salama si mapema ka ilivyookuwa hapo nyuma.
 
Tunaisaka same kwa hasira kinoma...! Chuma kimeshika moto chalii yangu(suka) kakiwasha hasa.
 
Usisahau kutu update pia ukiwa hospital au kwa Sir God
 
Kweli mkuu...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…