Mpambano wa mabasi ya Arusha to Dar

Allysaid bhana from mwanza wacha kabisa
 
Hahahah! Happy Nation wamenibembeleza mno nipande gari yao leo nikachomoa katakaga.
vyombo vya uhakika hapo miaka ya nyuma na mpaka leo ni
KLM
Dar ex press
Buffalo
Mengine yalikuwepo ila now ushindani wa kibiashara umeyaondoa relini ama yamekuwa hali mbaya
Ngorika
happy nation
n.k
 
Ndugu, hivi ukubwa wa tairi la bajaji ni sawa na tairi la basi? Wanaweza kwenda umbali sawa kwa mzunguko mmoja?
 
Sumatra na vyakula wapi na wapi?
Tafadhali kuna ile hoteli pale juu ya stendi ya tanga ambapo mabasi husimama wale chakula....Hivi ni sifa au makusudiiiii
Kitumbua wanauza buku, sambusha wanauza 2000. Wali 8000 hizi bei sumatra hawazioni au vipi...
 
Hakuna kitu huko ....ligi siku hizi ipo dar to mbeya...tunduma na swanga ....pamoja na dar mwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…