Mpambano wa mabasi ya Arusha to Dar

Mpambano wa mabasi ya Arusha to Dar

Siku hizi mabasi hayakimbizwi kama ilivyokuwa zamani.

Pamoja na "kusoma minara au kununua" lakini bado basi hazizidi 120kph japo zinauwezo kwa kuzidi mwendokasi huo.

Enzi za mwendokasi bila udhibiti mabasi kutembea 140-160kph sehemu zilizokaa vizuri ilikuwa kawada sana.

Nitatoa mfano wa mabasi michache tu nayo ni:-

1. Chiku (Volvo), Dar Songea
2. Zainabu (Volvo) Dar Songea

Haya mabasi kwa saa 11 yalikuwa yanafika Songea.

3. Bazuu (Isuzu) Dar - Arusha - Namanga, ilikuwa hatari sana, mashabiki hadi walikuwa wanazuia njia ili lipite kwanza ndio nanmabasi mengine yapite pale Kisutu Stendi, toka yake sasa na mwendo wake njiani ilikuwa hatari sana...

4. Hood (fulani hivi moja nimesahau namba zake) Arusha - Mbeya, Kuna siku nikiwa kwenye SABCO maeneo ya IYOVI, tulipitwa kama hatuendi vile, yetu ilikuwa inasoma 110kph na kona zile, dah, hatari sana..

5. Abood (fulani hivi moja nayo nimesahau namba zake), Dar - Tunduma, hili basi nimeshawahi "kuweka mkia" nyuma yake kwa kama dk 20 hivi Daraja mbili hadi ruaha mbuyuni, kuna wakati tulidumu kwa 160kph kwa dakika kadhaa...


Bila kusahau Coaster fulani hivi ya Dar - Moro - Dar ilikuwa inaitwa Scaba Scuba. Ndiye coaster pekee ikiyokuwa inafanya tripu 3 (kwa sita) kwa siku moja.

Siku hizi huwezi kusifia kwamba kuna ligi ilhali mabasi yamedhibitiwa chini ya 100kph. Ligi zilikuwepo wakati huo full kujiachia, na 'unyongaji' pumpu.
___

Mwendo kasi unaua, tumeshuhudia ajali nyingi mbaya zilizosababishwa na mwendo kasi.

"Ving'amuzi" vikisimamiwa vizuri vinasaidia sana kupunguza uendeshaji wa spidi kupitiliza.
 
Braza basi likifikia speed 100 ni mshale..! Gari kubwa siyo kama ndogo jamaaa yangu 80 tu ukipishana nalo ni noma
Siku hizi mabasi hayakimbizwi kama ilivyokuwa zamani.

Pamoja na "kusoma minara au kununua" lakini bado basi hazizidi 120kph japo zinauwezo kwa kuzidi mwendokasi huo.

Enzi za mwendokasi bila udhibiti mabasi kutembea 140-160kph sehemu zilizokaa vizuri ilikuwa kawada sana.

Nitatoa mfano wa mabasi michache tu nayo ni:-

1. Chiku (Volvo), Dar Songea
2. Zainabu (Volvo) Dar Songea

Haya mabasi kwa saa 11 yalikuwa yanafika Songea.

3. Bazuu (Isuzu) Dar - Arusha - Namanga, ilikuwa hatari sana, mashabiki hadi walikuwa wanazuia njia ili lipite kwanza ndio nanmabasi mengine yapite pale Kisutu Stendi, toka yake sasa na mwendo wake njiani ilikuwa hatari sana...

4. Hood (fulani hivi moja nimesahau namba zake) Arusha - Mbeya, Kuna siku nikiwa kwenye SABCO maeneo ya IYOVI, tulipitwa kama hatuendi vile, yetu ilikuwa inasoma 110kph na kona zile, dah, hatari sana..

5. Abood (fulani hivi moja nayo nimesahau namba zake), Dar - Tunduma, hili basi nimeshawahi "kuweka mkia" nyuma yake kwa kama dk 20 hivi Daraja mbili hadi ruaha mbuyuni, kuna wakati tulidumu kwa 160kph kwa dakika kadhaa...


Bila kusahau Coaster fulani hivi ya Dar - Moro - Dar ilikuwa inaitwa Scaba Scuba. Ndiye coaster pekee ikiyokuwa inafanya tripu 3 (kwa sita) kwa siku moja.

Siku hizi huwezi kusifia kwamba kuna ligi ilhali mabasi yamedhibitiwa chini ya 100kph. Ligi zilikuwepo wakati huo full kujiachia, na 'unyongaji' pumpu.
___

Mwendo kasi unaua, tumeshuhudia ajali nyingi mbaya zilizosababishwa na mwendo kasi.

"Ving'amuzi" vikisimamiwa vizuri vinasaidia sana kupunguza uendeshaji wa spidi kupitiliza.
 
Siku hizi mabasi hayakimbizwi kama ilivyokuwa zamani.

Pamoja na "kusoma minara au kununua" lakini bado basi hazizidi 120kph japo zinauwezo kwa kuzidi mwendokasi huo.

Enzi za mwendokasi bila udhibiti mabasi kutembea 140-160kph sehemu zilizokaa vizuri ilikuwa kawada sana.

Nitatoa mfano wa mabasi michache tu nayo ni:-

1. Chiku (Volvo), Dar Songea
2. Zainabu (Volvo) Dar Songea

Haya mabasi kwa saa 11 yalikuwa yanafika Songea.

3. Bazuu (Isuzu) Dar - Arusha - Namanga, ilikuwa hatari sana, mashabiki hadi walikuwa wanazuia njia ili lipite kwanza ndio nanmabasi mengine yapite pale Kisutu Stendi, toka yake sasa na mwendo wake njiani ilikuwa hatari sana...

4. Hood (fulani hivi moja nimesahau namba zake) Arusha - Mbeya, Kuna siku nikiwa kwenye SABCO maeneo ya IYOVI, tulipitwa kama hatuendi vile, yetu ilikuwa inasoma 110kph na kona zile, dah, hatari sana..

5. Abood (fulani hivi moja nayo nimesahau namba zake), Dar - Tunduma, hili basi nimeshawahi "kuweka mkia" nyuma yake kwa kama dk 20 hivi Daraja mbili hadi ruaha mbuyuni, kuna wakati tulidumu kwa 160kph kwa dakika kadhaa...


Bila kusahau Coaster fulani hivi ya Dar - Moro - Dar ilikuwa inaitwa Scaba Scuba. Ndiye coaster pekee ikiyokuwa inafanya tripu 3 (kwa sita) kwa siku moja.

Siku hizi huwezi kusifia kwamba kuna ligi ilhali mabasi yamedhibitiwa chini ya 100kph. Ligi zilikuwepo wakati huo full kujiachia, na 'unyongaji' pumpu.
___

Mwendo kasi unaua, tumeshuhudia ajali nyingi mbaya zilizosababishwa na mwendo kasi.

"Ving'amuzi" vikisimamiwa vizuri vinasaidia sana kupunguza uendeshaji wa spidi kupitiliza.
mkuu umeongelea mambo mengi ambayo kizazi hiki kimewapita,kipindi hicho ina ina heshima na adabu,hiyo coaster ya Dar to Moro ,ilikuwa moto wa kuotea mbali,na nilibahatika kupanda scandanavian kwenda Lusaka,Unaanza pale stendi yake (KAMATA),border saa 4pm,mnavuka mpaka!!!,alfajiri ni Good morning Lusaka,siku hizi Taqwa inalala border ,shame
 
Wengi wanaamini hivyo, lakini nikupanue mawazo, ni kwamba hata bajaji ikiwa 60kph na basi likikiwa 60kph na wapo sambamba, hakuna atakayemuacha mwenzie

Speed = distance / time

Wote mkiwa 80kph hamtopitana ilimradi mazingira mengine yawe sawa.

Ila kuna suala la kufikia mwendokasi kadhaa kwa muda kadhaa hii ni ishu nyingine.

Nataka kuanzia leo uondoe akilini eti kwa mfano 'lori likiwa 80kph ni mwendo mkali kuliko corolla ikiwa 100kph (labda kama lori ni inasoma kwa mile per hour (mph)

Kama hujaelewa utaelewesha zaidi.
Braza basi likifikia speed 100 ni mshale..! Gari kubwa siyo kama ndogo jamaaa yangu 80 tu ukipishana nalo ni noma
 
Kumekuwepo na ubishi mkubwa kati ya haya mabasi KIDIA ONE EXPRESS , EXTRA LUXURY COACH, BM COACH na Mengine kama wasindikizani. Ubishi wenyewe umejikita hasa katika ni BASI GANI LINAKIMBIA SANA..?

Binafsi nimeisha safiri nayo KIDIA ONE, BM na leo hii namalizia na EXTRA LUXURY COACH.

Hapa seafari imeanza saa 11:55 alfajiri tukiwa tumetanguliwa na mabasi karibu yote yanayoanzia safari zao nje ya stand ya DAR EXPRESS kwa wanao pajua Arusha. Kufika 12:25 tuko KIA EXTRA LUXURY COACH ikiwa umeisha zipita gari zote. Gari inakimbia hatari sana inaendeshwa na chalii kamoja kayankii fulani ni noma sana.

Wacha nisubiri nione DSM nitatoboa saa ngapi kwa KIDIA ONE nilifika saa 10:15 kwa BM nilifika saa 10:50 kwa EXTRA LUXURY COACH nitaleta mrejesho jioni ila usisahau kunijulia hali maana wenda nikapitiliza mbinguni maana si kwa speed/mbio hizi za Extra Luxury ni NOMA MNO.

LOVE YOU ALL JF CHIT-CHAT[emoji589][emoji589][emoji589]
Ufike mbinguni salama mkuu!!
 
Siku hizi mabasi hayakimbizwi kama ilivyokuwa zamani.

Pamoja na "kusoma minara au kununua" lakini bado basi hazizidi 120kph japo zinauwezo kwa kuzidi mwendokasi huo.

Enzi za mwendokasi bila udhibiti mabasi kutembea 140-160kph sehemu zilizokaa vizuri ilikuwa kawada sana.

Nitatoa mfano wa mabasi michache tu nayo ni:-

1. Chiku (Volvo), Dar Songea
2. Zainabu (Volvo) Dar Songea

Haya mabasi kwa saa 11 yalikuwa yanafika Songea.

3. Bazuu (Isuzu) Dar - Arusha - Namanga, ilikuwa hatari sana, mashabiki hadi walikuwa wanazuia njia ili lipite kwanza ndio nanmabasi mengine yapite pale Kisutu Stendi, toka yake sasa na mwendo wake njiani ilikuwa hatari sana...

4. Hood (fulani hivi moja nimesahau namba zake) Arusha - Mbeya, Kuna siku nikiwa kwenye SABCO maeneo ya IYOVI, tulipitwa kama hatuendi vile, yetu ilikuwa inasoma 110kph na kona zile, dah, hatari sana..

5. Abood (fulani hivi moja nayo nimesahau namba zake), Dar - Tunduma, hili basi nimeshawahi "kuweka mkia" nyuma yake kwa kama dk 20 hivi Daraja mbili hadi ruaha mbuyuni, kuna wakati tulidumu kwa 160kph kwa dakika kadhaa...


Bila kusahau Coaster fulani hivi ya Dar - Moro - Dar ilikuwa inaitwa Scaba Scuba. Ndiye coaster pekee ikiyokuwa inafanya tripu 3 (kwa sita) kwa siku moja.

Siku hizi huwezi kusifia kwamba kuna ligi ilhali mabasi yamedhibitiwa chini ya 100kph. Ligi zilikuwepo wakati huo full kujiachia, na 'unyongaji' pumpu.
___

Mwendo kasi unaua, tumeshuhudia ajali nyingi mbaya zilizosababishwa na mwendo kasi.

"Ving'amuzi" vikisimamiwa vizuri vinasaidia sana kupunguza uendeshaji wa spidi kupitiliza.
vyombo vya uhakika hapo miaka ya nyuma na mpaka leo ni
KLM
Dar ex press
Buffalo
Mengine yalikuwepo ila now ushindani wa kibiashara umeyaondoa relini ama yamekuwa hali mbaya
Ngorika
happy nation
n.k
 
Hahahahh! Duniani muda hautoshi kwa kila kitu mkuu ata muda wa kuishi ni kidogo pia, ebola, malaria, ukimwi vyote vinaua mjomba.
Kufa sio adhabu chalii yangu, kuna issue zimekaa vibaya zaidi ya kufa. Umeshamuona mtu aliyevunjika uti wa mgongo?
 
Siku hizi bus zinafika mda mmoja kutokana na mda zilizotoka stand..bus hazikimbii tena dereva anaeweza kucheza na mda ndio anawatangulia wenzie kidogo tu.

Enzi za kina

Buffalo
Ngorika macedonia
Chakito longway
Meridian video coach

Hapa ndio palikua na ligi hatari sana
 
Siku hizi bus zinafika mda mmoja kutokana na mda zilizotoka stand..bus hazikimbii tena dereva anaeweza kucheza na mda ndio anawatangulia wenzie kidogo tu.

Enzi za kina

Buffalo
Ngorika macedonia
Chakito longway
Meridian video coach

Hapa ndio palikua na ligi hatari sana
chakito alikichafuaaaa
 
Siku hizi mabasi hayakimbizwi kama ilivyokuwa zamani.

Pamoja na "kusoma minara au kununua" lakini bado basi hazizidi 120kph japo zinauwezo kwa kuzidi mwendokasi huo.

Enzi za mwendokasi bila udhibiti mabasi kutembea 140-160kph sehemu zilizokaa vizuri ilikuwa kawada sana.

Nitatoa mfano wa mabasi michache tu nayo ni:-

1. Chiku (Volvo), Dar Songea
2. Zainabu (Volvo) Dar Songea

Haya mabasi kwa saa 11 yalikuwa yanafika Songea.

3. Bazuu (Isuzu) Dar - Arusha - Namanga, ilikuwa hatari sana, mashabiki hadi walikuwa wanazuia njia ili lipite kwanza ndio nanmabasi mengine yapite pale Kisutu Stendi, toka yake sasa na mwendo wake njiani ilikuwa hatari sana...

4. Hood (fulani hivi moja nimesahau namba zake) Arusha - Mbeya, Kuna siku nikiwa kwenye SABCO maeneo ya IYOVI, tulipitwa kama hatuendi vile, yetu ilikuwa inasoma 110kph na kona zile, dah, hatari sana..

5. Abood (fulani hivi moja nayo nimesahau namba zake), Dar - Tunduma, hili basi nimeshawahi "kuweka mkia" nyuma yake kwa kama dk 20 hivi Daraja mbili hadi ruaha mbuyuni, kuna wakati tulidumu kwa 160kph kwa dakika kadhaa...


Bila kusahau Coaster fulani hivi ya Dar - Moro - Dar ilikuwa inaitwa Scaba Scuba. Ndiye coaster pekee ikiyokuwa inafanya tripu 3 (kwa sita) kwa siku moja.

Siku hizi huwezi kusifia kwamba kuna ligi ilhali mabasi yamedhibitiwa chini ya 100kph. Ligi zilikuwepo wakati huo full kujiachia, na 'unyongaji' pumpu.
___

Mwendo kasi unaua, tumeshuhudia ajali nyingi mbaya zilizosababishwa na mwendo kasi.

"Ving'amuzi" vikisimamiwa vizuri vinasaidia sana kupunguza uendeshaji wa spidi kupitiliza.
Hatari sana mkuu. Mwendo kasi una raha sana. Mengine tumwachie Mungu wetu atatulinda Inshaallah
 
Back
Top Bottom