Mpangaji anahesabika ni mvamizi mara tu kodi yake inapoisha

 
Mimi navyojua ni kwamba mkataba wowote ni conset ridhaa baina ya watu parties zinazoingia mkataba any renewal of contract ni subjected to consensus ya hizo parties mbili sasa je mpangaji kama kodi imeisha alafu hajaingia makubaliano mengine kwanza huyo kashatokà kwenye status ya upangaji kwakua consideration ya kitu kwa huduma haipo kwaiyo parties zote zitoe ridhaa kumpa mwezi mmoja wakati ridhaa ya mwenye nyumba na mpangaji huo ni upungufu mkubwa wa kisheria
 
Reactions: G4N
pale mpangaji kodi yake inapoisha na akawa hajaondoka katika nyumba ama eneo la pango, basi hadhi yake inabadilika na anakuwa mvamizi(trespasser).
Safi sana. Kuanzia sasa nitawafurusha wapangaji mpk dunia ishangae
 
Awe na 10M ndani lakini kashindwa kulipa kodi haizidi laki tano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…