Mpangaji mtata kulipa kodi na kuhama

Mpangaji mtata kulipa kodi na kuhama

Kuna dingi hapa mitaa ya sombetini alikua anamdai mkaradi mmoja msaga gomba deni lilitoboa kama miezi 8 na ushee hivi!jamaa kaigwa sana notisi na pamene kasamehewa na yule dingi lakn chalii akaendeleza zarau yule dingi kumbe alikua bandidu kitambo vua siku hiyo likwa linanyesha akaja na fundi akamwambia toa bati ktk hichi chumba kinavuja sana mvua ikikata tutaweka bati mpya.fundi akatoa bati akapewa chake mkaradi akarudi kufungua mlango anakutana na mvua zaidi ya njee alicheka sana akahama mwenyewe.sasa wewe hicho chumba kibadirishe matumizi weka bafu tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kweli ukipata mpangaji mkorofi ni shida sana, kosa lako umemuacha muda mrefu sana, na kama serikali za mtàa imeshindikana basi solution pekee iliyobaki ni kwenda baraza la ardhi na nyumba.

Mm wangu alipoanza kunisumbua tu kulipa kodi nililpa notice kwa text za kawaida na whatsapp, wakati huo alishaanza kutokujihu message zangu, then nikaziprint kisha nikampeleka serikali za mtaa, tukaandikishiana, japo aligoma lisaidi lile andiko la swrkali za mtaa nashukuru alitoka tarehe tuliyokubaliana.

Plan ilikuwa asingetoka ndio tungeenda baraza la ardhi, na kule kwenye baraza mkataba, printout za massage za whatsapp na sms za notice ya kuhama pamoja na makubaliano tuliyoyafanya kule serikali za mtaa ndio vingetumika kama ushahidi.

Baraza la ardhi kimsingi ni mahakama, na unajua mahakama zetu, ni vizuri ukienda uwe na some lubricants ili kurahisisha kesi yako na kuifanya iishe ndani ya muda mfupi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ezua mabati mkuu, haya mambo ya kesi anaweza kukushinda ukafa buure.
 
Wadau nina mpangaji kwenye nyumba yangu namdai kodi ya mwaka mzima 2019 na na huu sasa ni mwezi wa 3 2020.

Ana familia na watoto 4 wadogo wadogo
Nimeisha mpa notisi ya kuhama toka mwaka jana mwezi wa 8 alipe deni na kuhama lakini halipi na ahami.

Nimempeleka kwa balozi mara kadhaa lakini jamaa ahami na hela halipi.

Anapotea sijui hata huwa narudi saa ngapi kulala kila siku anajifanya kasafiri wakati yupo mjini.

Je nitumie taratibu gani kumtoa na notisi ya kuhama anayo na nakala ipo kwa balozi
Nikaninginizi kufuli au?

Naogopa nisije kuambiwa nanyanyasa watoto wakalala nje

Naombeni muongozo wa kisheria
Ulimpa mkataba?
 
Kesi hawezi kimshinda,unless hana documents kama nilisema hapo juu, anachoweza kufanya ni luchelewsha hukumu kwa kucheza deal na baraza, lakini uzuri wa baraza la ardhi pia, kodi anayodaiwa mpaka siku atakayoondoka ndani ya nyumba atatakiwa kuilipa

Na uzuri wa siku hizi, kesi za madai, mdaiwa anapewa muda wa mwezi kulipa, akishindwa unarudi mahakamani, mdaiwa anafungwa, akitoka deninlipo pale pale
Ezua mabati mkuu, haya mambo ya kesi anaweza kukushinda ukafa buure.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuna watu ukijifanya kauzu hao wanakua kauzu mara mbili yake
Kuna dingi hapa mitaa ya sombetini alikua anamdai mkaradi mmoja msaga gomba deni lilitoboa kama miezi 8 na ushee hivi!jamaa kaigwa sana notisi na pamene kasamehewa na yule dingi lakn chalii akaendeleza zarau yule dingi kumbe alikua bandidu kitambo vua siku hiyo likwa linanyesha akaja na fundi akamwambia toa bati ktk hichi chumba kinavuja sana mvua ikikata tutaweka bati mpya.fundi akatoa bati akapewa chake mkaradi akarudi kufungua mlango anakutana na mvua zaidi ya njee alicheka sana akahama mwenyewe.sasa wewe hicho chumba kibadirishe matumizi weka bafu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii inataka moyo sana mkuu
Yaani namdai zaidi ya m3 halafu nimtafutie na kodi ya miezi 3 nimpe?

Shida nyingine hapatikani kila nikienda nakuta familia yake tu yeye labda anarudi usiku wa manane anasalimia na kusepa
Simu kabadili na no, mkewe muongo muongo kampa shule namna ya kunijubu eti kasafiri kwenye kazi zake
Umeshapoteza pesa nyingi kwake sasa tumia tu elfu 15 ya mwisho uondokane naye kwa amani.
Kamtafutie room moja huko uswekeni room ni sh.5000 kwa mwezi mlipie miezi 3 ni sh.15,000 unamuambia adios amigo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii inataka moyo sana mkuu
Yaani namdai zaidi ya m3 halafu nimtafutie na kodi ya miezi 3 nimpe?

Shida nyingine hapatikani kila nikienda nakuta familia yake tu yeye labda anarudi usiku wa manane anasalimia na kusepa
Simu kabadili na no, mkewe muongo muongo kampa shule namna ya kunijubu eti kasafiri kwenye kazi zake
Mkataba wenu ulipitia Kwa wakili? Kama ni hivyo mfuate wakili atakusaidia, pia mdau #12 ni msaada mkubwa sana Kwa tatizo lako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkataba wenu ulipitia Kwa wakili? Kama ni hivyo mfuate wakili atakusaidia, pia mdau #12 ni msaada mkubwa sana Kwa tatizo lako

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hakuna mkataba wa maandishi
Ushahidi ni voice note za simu tulizopigiana na sms, pia bàrua zangu za notisi nilizipitishia kwa balozi na mwenyekiti wa mtaa akaitwa akakiri mbele yao na akahaidi siku ya kulipa na kuondoka
Hiyo ilikua mwaka jana
Baada ya hapo sijamtia machoni tena
 
Umeshapoteza pesa nyingi kwake sasa tumia tu elfu 15 ya mwisho uondokane naye kwa amani.
Kamtafutie room moja huko uswekeni room ni sh.5000 kwa mwezi mlipie miezi 3 ni sh.15,000 unamuambia adios amigo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Shida huyu mwanaizaya hapatikaniki na simu haipo hewani
Sijui nimuhamishe tu mkewe na watoto?
 
Mkuu hakuna mkataba wa maandishi
Ushahidi ni voice note za simu tulizopigiana na sms, pia bàrua zangu za notisi nilizipitishia kwa balozi na mwenyekiti wa mtaa akaitwa akakiri mbele yao na akahaidi siku ya kulipa na kuondoka
Hiyo ilikua mwaka jana
Baada ya hapo sijamtia machoni tena
Mwambie huyu unayemkuta nyumbani, atumie chumba kimoja vingine akuachie, uwe na huyo balozi ahamishe vitu vyake.vingine weka kufuli, huyu anayekuja usiku sijui 'nyumba' atakulaje ndani ya chumba kimoja na watoto, atahama mwenyewe, la sivyo jamaa atakuwa ameasi familia anakula bata ke hataki kuhama na hakuambii ukweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani hii njia inaweza kumkurupua huko aliko aje atoke

Ni kweli itasaidia. Yaani mali yako ikutese, hiyo hapana.
 
Classic class.
Tumenufaika wote
Pole kwa mkasa huo mkuu:-

USHAURI:
1. Njia ulokuwa unatumia wewe ni njia ya amani/diplomasia, ambayo tyr imeshindwa kuleta matunda.

2. Kwa mujibu wa kifungu cha 103 (1) cha sheria ya Ardhi Na. 4/1999 utaratibu unaotakiwa kuufanya ni wa kimahakama, yaani kwa kufungua shauri la madai Mahakamani la kuiomba Mahakama itoe amri ya huyo mpangaji kuondoka (VACANT POSSESSION OF THE DEMISED PROPERTY).

3. Kifungu cha 167 cha sheria hiyo kinatamka Mahakama ni a). Baraza la Ardhi la kijiji, b). Baraza la kata, c). Baraza la Ardhi na nyumba la Wilaya, d). Mahakama kuu, na e). Mahakama ya Rufani (kwa rufaa pekee).

4. Hujatuambia kama upo mjini, ama Wilayani (vijijini) NA/AU Ardhi yako imepimwa ama laa. Mi natumai upo mjini, basi piga hesabu ya kodi yote unayodai kama haitazidi Milioni 300 (yaan 300,000,000/=) KAFUNGUE KESI YA KUMWONDOSHA katika Baraza la Ardhi na nyumba wilaya, ambalo lina mamlaka na eneo ulipo. (KUMBUKA: Mabaraza haya huwa ni ya kikanda sio kila wilaya). Kwa nini sijasema baraza la kata? Kwa sababu katika shauri la Ardhi Misc. Land Appeal No. 129 of 2009 Mahakama kuu ilitamka kuwa Mabaraza ya kata yaliyopo mijini hayana mamlaka na mashauri ya Ardhi.

HIVYO BASI KAFUNGUE KESI MAHAKAMA YA ARDHI ILI UKISHINDA UPEWE DALALI WA KUMWONDOSHA MPANGAJI KWA AMRI YA MAHAKAMA. KUNA POSITI NIMESOMA INASEMA MKAANDIKISHANE POLISI, IPO HIVI KWA MUJIBU WA SHERIA YA POLISI (SURA 322) PAMOJA NA POLICE GENERAL ORDER (PGO) POLISI HAIHUSIKI NA MASUALA YA MADAI BALI NI KWA JINAI PEKEE.

N.B Balozi wa nini karne hii ya 21?? Hata kwa sheria ya serikali za mitaa (Na. 7/1982) hayumo. ungeenda kwa M/Kitongoji ndo maana limekudharau.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaaah! Dingilai mtata sana.... ila itakuwa aliwahi kuwa MTU WA KAZI
Kuna dingi hapa mitaa ya sombetini alikua anamdai mkaradi mmoja msaga gomba deni lilitoboa kama miezi 8 na ushee hivi!jamaa kaigwa sana notisi na pamene kasamehewa na yule dingi lakn chalii akaendeleza zarau yule dingi kumbe alikua bandidu kitambo vua siku hiyo likwa linanyesha akaja na fundi akamwambia toa bati ktk hichi chumba kinavuja sana mvua ikikata tutaweka bati mpya.fundi akatoa bati akapewa chake mkaradi akarudi kufungua mlango anakutana na mvua zaidi ya njee alicheka sana akahama mwenyewe.sasa wewe hicho chumba kibadirishe matumizi weka bafu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amlipeje nawakati yeye ndo anamdai?
Nilifanya hivi nilimpeleka kwa mtendaji hata hapo ulipo yupo, nikamwambia nampa notice ya masaa 24 na ninamlipa Kodi yake miezi mitatu. Sasa jiandae tafuta hiyo Kodi ya miezi mitatu haijalishi ni shilingi ngapi mpeleke Kwa mtenda samehe yote, andikishiani mpe Kodi yake. Pale pale na muda huo huo Mwambie mtendaji akupe watu uongozane nao wakatoe vyombo nje, hana la kubisha kama ni hela tayari umempa achukue familia yake akawaweke nyumba ya kulala wageni (Guest house) wakati anatafuta nyumba nyingine. Suluhisho la mwisho la mpangaji mkorofi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapangishaji vs Wapangishwaji


Ngoja tunaopanga tukakae kikao Cha dharura kujadili mbinu mpya za kuwazungusha wenye Nyumba maana kwa yanayojili humu tutatupiwa virago vyetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom