Mpangaji mwenzangu anamnyemelea mke wangu

Mpangaji mwenzangu anamnyemelea mke wangu

Tupo wapangaji wanne tunaoishi hapa. Hatuishi na mwenye nyumba tuko wapangaji tuu wenyewe. Mwenye nyumba yeye anaishi mkoa mwingine.

Sasa kuna mpangaji ambaye tulimteua awe in charge wa kukusanya bill za maji, taka, umeme etc. hapa tunapokaa.

Hivyo jamaa ana access ya mawasiliano ya wapangaji wote hapa tunapoishi, kiufupi ana namba yangu na ya wife pia.

Sasa juzi niko na simu ya wife meseji ikaingia " nimekukosea nini mbona hujibu meseji zangu " Ikiwa imeseviwa jina la jamaa.

Kufatilia meseji za nyuma naona jamaa ni karibu miezi miwili sasa anajaribu kumtongoza wife, japo wife ameonekana kumkazia na kumsisitiza kuwa anaiheshimu ndoa yetu. Nimeona kupitia meseji. Ingiwa wife hajaniambia mimi hiki kinachoendelea.

Ushauri wadau. Vipi nimchane huyu jamaa kuwa aachane na wife, au nimpotezee kwanza kama sijui kinachoendelea.
Huna akili kama unasubiri kupewa ushauri wa jf ndio ufanye maamuzi??
 
Nikwambie au nikuache??

Wacha nikwambie mkeo mjanja kashapitiwa na huyo incharge wenu, ila kaacha msg za mtongozo ili kukufanya kanyaboya.!!
Mwanamke ambaye hataki mazoea ya kijinga angeshamblock na usingekuta msg ambazo anahisi zitaweka ndoa yake mashakani.!!
Anaweza akawa hajapitiwa ila sema yuko 50/50 maana yake huyo incharge kuna vigezo fulani bado hajavitimiza ila akivitimiza tu hivyo vigezo anapewa mzigo kwa hiyo jamaa mwenye mke akichelewa kidogo tu itakula kwake.
 
Fanya hivi chukua simu ya wife nimekukubalia toka nje mume wangu kalala akitoka tu unamchana wewe huyu ni mke wangu nikome na katafute wakwako .
Yes ilitakiwa afanye hivyo muda huo huo alivyoona hiyo meseji kisha jamaa akija anamchana mbele za watu atanywea kama piriton.
Au kama hataki kuchoreshana angeandika tu meseji ya kumtisha"Jirani unataka kuniibia mke wangu siku nitakayokukamata utajuta kuzaliwa"baada ya hapo jamaa ataona aibu sana hata wakikutana atashindwa kumuangalia usoni na amkazie macho amuonyeshe sura ya hasira ili kumthibitishia kwamba mchezo wake ameugundua.
 
Daah ila hiyo ni dharau kudadeki, huyo incharge kakuchukuliaje hadi atongoze mkeo??
Kwamba anakuweza au?

Hapo washa pia kwa wife, washa pira pia kwa huyo incharge wenu. Pira pira kweli sio la kitoto.
Nyumba isimame kua huyo jamaa kapewa kazi ya kukusanya pesa sasa anakusanya hadi wake zetu na hujui kapita na wake/wapenzi wa wangapi hapo, anatumia hiyo nafasi kuchombeza wake zenu..

Ukikaa kiboya ati unamwamini mwanamke ataliwa kweli uishie kusononeka.
 
Nikwambie au nikuache??

Wacha nikwambie mkeo mjanja kashapitiwa na huyo incharge wenu, ila kaacha msg za mtongozo ili kukufanya kanyaboya.!!
Mwanamke ambaye hataki mazoea ya kijinga angeshamblock na usingekuta msg ambazo anahisi zitaweka ndoa yake mashakani.!!
Daaaah
 
Tupo wapangaji wanne tunaoishi hapa. Hatuishi na mwenye nyumba tuko wapangaji tuu wenyewe. Mwenye nyumba yeye anaishi mkoa mwingine.

Sasa kuna mpangaji ambaye tulimteua awe in charge wa kukusanya bill za maji, taka, umeme etc. hapa tunapokaa.

Hivyo jamaa ana access ya mawasiliano ya wapangaji wote hapa tunapoishi, kiufupi ana namba yangu na ya wife pia.

Sasa juzi niko na simu ya wife meseji ikaingia " nimekukosea nini mbona hujibu meseji zangu " Ikiwa imeseviwa jina la jamaa.

Kufatilia meseji za nyuma naona jamaa ni karibu miezi miwili sasa anajaribu kumtongoza wife, japo wife ameonekana kumkazia na kumsisitiza kuwa anaiheshimu ndoa yetu. Nimeona kupitia meseji. Ingiwa wife hajaniambia mimi hiki kinachoendelea.

Ushauri wadau. Vipi nimchane huyu jamaa kuwa aachane na wife, au nimpotezee kwanza kama sijui kinachoendelea.
tafuta ky na umshawishi jamaa aje kwako mkaribishe kula kunywa,mnyweshe mpaka alewe,basi akilewa mpake mafuta na umtembelee kwa mpalange
 
Tupo wapangaji wanne tunaoishi hapa. Hatuishi na mwenye nyumba tuko wapangaji tuu wenyewe. Mwenye nyumba yeye anaishi mkoa mwingine.

Sasa kuna mpangaji ambaye tulimteua awe in charge wa kukusanya bill za maji, taka, umeme etc. hapa tunapokaa.

Hivyo jamaa ana access ya mawasiliano ya wapangaji wote hapa tunapoishi, kiufupi ana namba yangu na ya wife pia.

Sasa juzi niko na simu ya wife meseji ikaingia " nimekukosea nini mbona hujibu meseji zangu " Ikiwa imeseviwa jina la jamaa.

Kufatilia meseji za nyuma naona jamaa ni karibu miezi miwili sasa anajaribu kumtongoza wife, japo wife ameonekana kumkazia na kumsisitiza kuwa anaiheshimu ndoa yetu. Nimeona kupitia meseji. Ingiwa wife hajaniambia mimi hiki kinachoendelea.

Ushauri wadau. Vipi nimchane huyu jamaa kuwa aachane na wife, au nimpotezee kwanza kama sijui kinachoendelea.
A Man of tamaaa 😃
 
Kweli wanaume wanapukutika kwa kasi mno na kauli ya papa imewaathiri sana niliposoma comment zenu nimeumia mno,laiti ingekuwa huku pwani huyo mtu angekuwa ashafumaniwa(ugoni)tayari,kwahiyo mwenye mume unaamua umtoze pesa au umle huyo mshkaji
 
Tupo wapangaji wanne tunaoishi hapa. Hatuishi na mwenye nyumba tuko wapangaji tuu wenyewe. Mwenye nyumba yeye anaishi mkoa mwingine.

Sasa kuna mpangaji ambaye tulimteua awe in charge wa kukusanya bill za maji, taka, umeme etc. hapa tunapokaa.

Hivyo jamaa ana access ya mawasiliano ya wapangaji wote hapa tunapoishi, kiufupi ana namba yangu na ya wife pia.

Sasa juzi niko na simu ya wife meseji ikaingia " nimekukosea nini mbona hujibu meseji zangu " Ikiwa imeseviwa jina la jamaa.

Kufatilia meseji za nyuma naona jamaa ni karibu miezi miwili sasa anajaribu kumtongoza wife, japo wife ameonekana kumkazia na kumsisitiza kuwa anaiheshimu ndoa yetu. Nimeona kupitia meseji. Ingiwa wife hajaniambia mimi hiki kinachoendelea.

Ushauri wadau. Vipi nimchane huyu jamaa kuwa aachane na wife, au nimpotezee kwanza kama sijui kinachoendelea
😂😂😂 Ujiamini wew mbaka apo na una uwezo WA kufanya maamuzi kama mwanaume swala kama hili ilitakiwa utuletee mrejesho uku baada ya iyo kasumba na sio kuja kuomba ushauri...

Sio Bure iyo in charge anataka akulie mke wako maan kasha kuona wew ni bwege
 
Tupo wapangaji wanne tunaoishi hapa. Hatuishi na mwenye nyumba tuko wapangaji tuu wenyewe. Mwenye nyumba yeye anaishi mkoa mwingine.

Sasa kuna mpangaji ambaye tulimteua awe in charge wa kukusanya bill za maji, taka, umeme etc. hapa tunapokaa.

Hivyo jamaa ana access ya mawasiliano ya wapangaji wote hapa tunapoishi, kiufupi ana namba yangu na ya wife pia.

Sasa juzi niko na simu ya wife meseji ikaingia " nimekukosea nini mbona hujibu meseji zangu " Ikiwa imeseviwa jina la jamaa.

Kufatilia meseji za nyuma naona jamaa ni karibu miezi miwili sasa anajaribu kumtongoza wife, japo wife ameonekana kumkazia na kumsisitiza kuwa anaiheshimu ndoa yetu. Nimeona kupitia meseji. Ingiwa wife hajaniambia mimi hiki kinachoendelea.

Ushauri wadau. Vipi nimchane huyu jamaa kuwa aachane na wife, au nimpotezee kwanza kama sijui kinachoendelea.

SIKIO (MAWASILIANO) NI BARABARA YA KWENDA MOYONI!
 
Back
Top Bottom