rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
Kumbe kuna mjeda alishikwaaa..!Rahma kumbe alikua anajiandaa kutorokea Comoro daah inanikumbusha ile ya Mauaji ya Erasto Msuya yule Majeshi alikamatwa Kigoma akijiandaa kutokomea Burundi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe kuna mjeda alishikwaaa..!Rahma kumbe alikua anajiandaa kutorokea Comoro daah inanikumbusha ile ya Mauaji ya Erasto Msuya yule Majeshi alikamatwa Kigoma akijiandaa kutokomea Burundi.
Wewe ni taahira? Yaani wauaji washinde?Makoi na machips Walikamatwa the some year.
tuwaombee akina Machips na Makoi kwenye rufaa yao washinde.
Ila hii michongo haikosi wakubwa! Ila mpaka uzi umkute mkubwa si rahisi wanaishia kufa watumwa!
wewe ni mwendawazimu wanashindaga una uthibitisho gani kama ni wahusika kweli kama walilazimishwa kukiri? wewe layman hujaona kule mfanyabiashara wa ma bus ya J4 kanda ya ziwa aliyekuwa amehukumiwa kunyongwa kwa kuua watu ameshinda rufaa na kuachiliwa na mahakama.Wewe ni taahira? Yaani wauaji washinde?
Na je, kama kweli waliua? Ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga. Dhulma haifutiki kamwe.wewe ni mwendawazimu wanashindaga una uthibitisho gani kama ni wahusika kweli kama walilazimishwa kukiri? wewe layman hujaona kule mfanyabiashara wa ma bus ya J4 kanda ya ziwa aliyekuwa amehukumiwa kunyongwa kwa kuua watu ameshinda rufaa na kuachiliwa na mahakama.
Mkuu ina maana kusoma kote uzi mzima umeshindwa kupata sababu?! Yaani hadi wakutajie?! Mbona taarifa iko wazi kabisa ishu ya mzungu ilikuwa ni kupambana na majangili. Kwahiyo alikuwa anakwamisha mishe za vigogo wa meno ya tembo!! Wakaona wampanguse!!Upelelezi haujatoa jibu la motive!
Kwa nini walimuua? Hapa ndipo panafumia msingi mzima wa mauaji haya.
Hiyo naijua. Lakini upelelezi ulipaswa kujibu na sio sisi kuanza kubuni majibu.Mkuu ina maana kusoma kote uzi mzima umeshindwa kupata sababu?! Yaani hadi wakutajie?! Mbona taarifa iko wazi kabisa ishu ya mzungu ilikuwa ni kupambana na majangili. Kwahiyo alikuwa anakwamisha mishe za vigogo wa meno ya tembo!! Wakaona wampanguse!!
Sio mjeshi ni jina tu la utani.Kumbe kuna mjeda alishikwaaa..!
Siyo kweli kwamba kila muuaji anakamatwaKuna watu walisomea na kubobea kufanya uchunguzi.
Huezi fanya mauaji watu wasikukamate. Lazima utaacha trace ambayo ndo itasababisha wewe kukamatwa.
Labda uue mbuzi wa jirani yako.
Msanii yupo kundi moja na Inspector Haroun Babu wanajiita Gangwe MobbKarama ni nani?
Kwa kawaida kila mpango huwa unaacha mabaki ( traces) ambayo hutumika katika uchunguzi.Dah inamaana hawa jamaa walishindwa kusuka mipango wasikamatike? Au ilikuwaje?
Wahalifu ambao ni "professional hitmen" wanajua vema namna ya kutoacha alama kwenye "crime scenes"Kwa kawaida kila mpango huwa unaacha mabaki ( traces) ambayo hutumika katika uchunguzi.
Mambo??Duh Makoyi alikuwa anabadilisha magari daily kumbe alikuwa na biashara haramu nyuma ya pazia.
kijana mdogo maisha yake amekatiza kinamna.