Nyimbo za diamond hawezi kupata soko Nigeria . Dunia hii kuna mahali inabidi uishi kinafiki, akae kimya miezi 6 kisha akaombe ruhusa kwa dingi mwenye nchi atafunguliwa tu . alikosea kwangwaru kuimba matusi ya wazi (nipatie vya kitandani, hata kwenye kiti). Wakamuacha, sasa nyege nyegezi haingemuacha salama . Tatizo nadhani litaisha akijishusha ila akitaka apotee kimuziki aendeleze kiburi hafiki mbali. Hivi hawezi kuanzisha mradi hata Hotel nzuri(kama anazo bilioni kadhaa kama tunavyoaminshwa kila siku mitandaoni). Kwani Kazi ni muziki tu, kukesha kila siku unaishia kama akina Whitney Houston na Rose Muhando kutumia madawa ya kulevya ili uondoe uchovu kumbe unajimaliza. Diamond amefika peak apende asipende hawezi kwenda juu ya hapo alipo ila anaweza kumaintain kwa kuwa mnyenyekevu. Akicheza atarudi Tandale akiwa kama alivyotoka . wasanii wengi wanaishi above their economic means kwa kuonyesha nje kuwa wako juu , halafu matokeo ni kufilisika .Diamond a some upepo , mzee Mwinyi alisema kila zama na kitabu chake.Awamu ya tano ni kila nafsi ipige magoti na kusifia watawala. Kinyume chake hana future. Hana kiingereza cha kumbeba nigeria na kuanza kujenga soko huko hana . Atulie tu watamsamehe ndani ya mwaka,