interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,395
Pumbavu thanaaaaaa....! eti akuletee dola, kwani yeye ndiye mletaji wa dola pekee nchini?dogo hajasema anataka kuchukua uraia wa nchi nyingine ila kasema anataka kuhamishia kazi zake nchi jirani ambako sheria hazitumiki kuwakomoa watu
yaani mtu ashindwe kwenda US,UK na kwingineko kutuletea dola,paund na euro kuiokoa shilling yetu inayoporomoka kila siku kisa kutumia neno nyege kwenye mashairi ya wimbo wimbo wake
Kwani amekuwa Chatu?
punguza jaziba sasa kwani mimi ndio niliyesema kuwa mlikuwa mnasingizia foleni kwenda kuliwa kPumbavu thanaaaaaa....! eti akuletee dola, kwani yeye ndiye mletaji wa dola pekee nchini?
Shwaini kabisa wewe
Akichukua uraia wa nchi nyingine anakuwa ameukana uraia wa Tanzania , non Tanzanian haruhusiwi kumiliki aridhi.
Sasa mpeni kichwa baadae aanze kulia kafilisiwa Mali zake (Majumba na mashamba)
sure mkuu tunaofuta sheria ni sisi akina siye lakini sio hizo level za akina baba tiffa aka baba nilanWatu wameukana uraia wa Bongo na bado wana mijengo na project zao. Sheria zipo na maishmaisha yapo, michongo tu
Mbona wanazipiga?Nyimbo za diamond hawezi kupata soko Nigeria . Dunia hii kuna mahali inabidi uishi kinafiki, akae kimya miezi 6 kisha akaombe ruhusa kwa dingi mwenye nchi atafunguliwa tu . alikosea kwangwaru kuimba matusi ya wazi (nipatie vya kitandani, hata kwenye kiti). Wakamuacha, sasa nyege nyegezi haingemuacha salama . Tatizo nadhani litaisha akijishusha ila akitaka apotee kimuziki aendeleze kiburi hafiki mbali. Hivi hawezi kuanzisha mradi hata Hotel nzuri(kama anazo bilioni kadhaa kama tunavyoaminshwa kila siku mitandaoni). Kwani Kazi ni muziki tu, kukesha kila siku unaishia kama akina Whitney Houston na Rose Muhando kutumia madawa ya kulevya ili uondoe uchovu kumbe unajimaliza. Diamond amefika peak apende asipende hawezi kwenda juu ya hapo alipo ila anaweza kumaintain kwa kuwa mnyenyekevu. Akicheza atarudi Tandale akiwa kama alivyotoka . wasanii wengi wanaishi above their economic means kwa kuonyesha nje kuwa wako juu , halafu matokeo ni kufilisika .Diamond a some upepo , mzee Mwinyi alisema kila zama na kitabu chake.Awamu ya tano ni kila nafsi ipige magoti na kusifia watawala. Kinyume chake hana future. Hana kiingereza cha kumbeba nigeria na kuanza kujenga soko huko hana . Atulie tu watamsamehe ndani ya mwaka,
Poor managment ever, kama hili ni kweli basi diamond atakuwa msanii wa kwanza maarufu kuwa na poorest managment
Diamond anavihela vya kubadilishia mademu tu so achane na kuitunishia misuli serikali ni msala
Yusup Manji ni richest man duniani lakini kwenye sakta la kutengenezwa na ccm hakuikimbia nchi yake
Rostam Aziz alikimbia nae ni billioner ana hela lakini alirudi ndani ya nchi yake hakudhubutu kwenda kuchukua uraia wa nchi nyingine
Mo dewje bado tupo nae mtaani
Hans Poppe Bado tupo nao mtaani
Diamond umaarufu wako utakoponza usidhubutu kushindana na mamlaka utapotea
Lakini Diamond hajaoa Kenya wala hajaishi Kenya kwa kipindi cha miaka saba mfululizo. Inasemekana siku ya juzi na jana Diamond alionekana katika ubalozi wa Nigeria jambo ambalo limetafsiriwa ni kuwa anaangalia uwezekano wa kuhamia Nigeria baada ya kushindwa Kenya.
Tujifunze, pesa ni muhimu lakini pesa si kila kitu. Tukipata tuwe na adabu na hekima, tusiwe na dharau.
Eti mwanzilishi! Utakuwa hujui vitu sana!Aende zake huko hana umuhimu wowote kwa nchi zaidi ya kuharibu maadili ya jamii, yeye ndio mwanzilishi wa kutembea na wazee na vijana wadogo wanamuiga, yeye ndio mwanzilishi wa kuvaa visuruali vya kubana siize ya watoto na vikoti vya ajabu vijana wanamwiga aende...... aende...... aende......
Mtu mweusi atabaki kuwa mweusi tuuu.
Maendeleo labda mpaka mwaka 30,000 !
Kaka huwa sikuelewagi katika mada zako nyingi lakini katika hili nimekusapoti kwa 100%.Poor managment ever, kama hili ni kweli basi diamond atakuwa msanii wa kwanza maarufu kuwa na poorest managment
Diamond anavihela vya kubadilishia mademu tu so achane na kuitunishia misuli serikali ni msala
Yusup Manji ni richest man duniani lakini kwenye sakta la kutengenezwa na ccm hakuikimbia nchi yake
Rostam Aziz alikimbia nae ni billioner ana hela lakini alirudi ndani ya nchi yake hakudhubutu kwenda kuchukua uraia wa nchi nyingine
Mo dewje bado tupo nae mtaani
Hans Poppe Bado tupo nao mtaani
Diamond umaarufu wako utakoponza usidhubutu kushindana na mamlaka utapotea
Pumbavu thanaaaaaa....! eti akuletee dola, kwani yeye ndiye mletaji wa dola pekee nchini?
Shwaini kabisa wewe
Asante sana Mama, na haya mawatu kufikia hatua yanajidharau hadi asili zao Mungu atazidi sana kuyalaani.Rais Museveni alimsifia mlimbwende huyo na waandaji wa shindano la Miss Uganda na kuahidi kuwapa ushirikiano. Lakini hata hivyo 'alimsuta' mrembo huyo kwa kuvaa "nywele za Kihindi".
"Abenakyo ni mrefu haswaa, binti mrembo kutoka Musoga. Tatizo langu pekee ni kuwa alikuwa amevaa nywela za Kihindi. Nimemsihi kubaki na nywele zake za asili. Lazima tuuoneshe uzuri wa Kiafrika katika uhalisia wake," ameandika Museveni kupitia ukurasa wake rasmi wa Twitter.
Na hata asiposaidia bado Tanzania itaendelea kuwepo.Wema alioutenda kwa wananchi na taifa lake anakuja kuhukumiwa kwa kosa moja tu. nadhani hatarudia tena kusaidia jamii
"Alaaniwe anayemtegemea Mwanadamu na amebarikiwa yule anayemtegemea Mungu"mzee wa basata vipiii?!!
Mbona umemjibu kwa jazba namna hiyo