Tetesi: Mpango wa Diamond kuchukua uraia wa Kenya umekwama, anataka kwenda Nigeria

SHERIA NI MSUMENO(INAKATA KOTE KOTE) BILA KUKUANGALIA USONI UNA HADHI GANI KATIKA JAMII.

NAKAZIAAAAAA...AONDOKE TU TZ NI ZAIDI YA DIAMOND KATIKA THAMANI.
 
Baba tupac tuwekee hapa huo wimbo ulioenda kurekodi achana na habari za dimond
 
Endeleeni kumpampu, huo umaarufu mizizi yake ni Tanzania hapa, Nigeria kuna asset kubwa ya wasanii wenye majina makubwa, huku anapendwa kajiona lolote analiweza.


Huwezi kudharau serikali waziwazi kwa kudai kuwa viongozi ni maskini wanamuonea wivu.

Aende hukoo na nyegezi yake, matusi tupu.
 
Nyimbo za diamond tangu aanze kuiga wanaijeria imekuwa ya matusi,Diamond bila nyimbo za matusi hawezi kuhit,siyo nyumbani au kwenye gari nyimbo zake haziwezi kusikilizwa na watu wenye umri tofauti waliokaa pamoja.
 
Home is not a house!
Tz itabaki ndio nyumbani kwake na moyo wake utafahamu na kutaka hivyo hata yeye adanganye.
 
Nashauri mpoto atunge wimbo unaohusu KUNDUCHI na atamke neno hilo kwa kigugumizi siku ya uzinduzi wa jambo.
 
Na aende achukue uraia wa huko nje,huku serikali inataifisha majumba yake yote,
Sheria ipo wazi asiyekuwa raia hapaswi kumiliki hata kipande cha ardhi hapa tanzania
 
Akichukua uraia wa nchi nyingine anakuwa ameukana uraia wa Tanzania , non Tanzanian haruhusiwi kumiliki aridhi.


Sasa mpeni kichwa baadae aanze kulia kafilisiwa Mali zake (Majumba na mashamba)
Mawazo mfu hayo. Unadhani akiamua kufanya hivyo hatozingatia taratibu zote hizo? Watoto wake ni watanzania, nduguzake ni watanzania na familia kwa ujumla. Anaweza badili umiliki wa mali zake kwa jina la mtoto wake na bado akawa ana manage kama kawaida. Kwani unadhani wote wanaomiliki ardhi bongo ni watanzania?
 
Na aende achukue uraia wa huko nje,huku serikali inataifisha majumba yake yote,
Sheria ipo wazi asiyekuwa raia hapaswi kumiliki hata kipande cha ardhi hapa tanzania
Siyo rahisi kama unavyodhani. Watoto wake ni watanzania, anaweza badili hati miliki na mali zinabaki kuwa mali ya raia wa Tanzania(watoto wake)
 
Duuu maneno mazito yenye ukweli ndani yake
 
Kwasababu umekuja kishari shari Ngoja nikujibu kama kwa kadri ya uelewa wako finyu wa kichwa chako chenye kazi ya kufugia nywele na si kufikiri.


Hujui lolote kuhusu sheria ya aridhi.mgeni kumiliki land haijustfy ni halali kumiliki land kwa foreigner ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…