BradFord93
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 917
- 2,217
Ndugu nina wazo la kujenga ila kuweka pesa yoote kwa pamoja siwez kwa maana pesa yangu muda wote inazunguka
Likanijia wazo la kuwa nnanunua vitu vya ujenzi kama cement na vinginevyo kidogo kidogo na kuvihifadhi stoo
Naomba kwa wale wenye uzoefu tusaidiane mawazo yafuatayo;
1. Vitu gan vinaweza kuhifadhika kwa mda mrefu?
2. Na ni vitu gan nnatakiwa kuzingatia ili lengo litimie?
Likanijia wazo la kuwa nnanunua vitu vya ujenzi kama cement na vinginevyo kidogo kidogo na kuvihifadhi stoo
Naomba kwa wale wenye uzoefu tusaidiane mawazo yafuatayo;
1. Vitu gan vinaweza kuhifadhika kwa mda mrefu?
2. Na ni vitu gan nnatakiwa kuzingatia ili lengo litimie?