Mpango wa kumuaga Mkude kwa heshima siku ya Simba Day bado upo?

Ataagwa tuu na shampeni atafungua...kama ratiba hazijabadilika...
 
Kwakuwa Mayele anatamani kujiunga Simba na Yanga inaelekea kumpata Chama hapo kutakuwa na faida kwa pande zote.

Mayele atakwea pipa kwenda Uturuki na Chama atapanda Pantoni kwenda kuungana na rafiki yake Mkude kule Kigamboni
 
Kwakuwa Mayele anatamani kujiunga Simba na Yanga inaelekea kumpata Chama hapo kutakuwa na faida kwa pande zote.

Mayele atakwea pipa kwenda Uturuki na Chama atapanda Pantoni kwenda kuungana na rafiki yake Mkude kule Kigamboni
Kwel mbumbumbu ni mbumbumbu tu yan kwa akili yako Mayele aende ukoloklolni
 
Kwakuwa Mayele anatamani kujiunga Simba na Yanga inaelekea kumpata Chama hapo kutakuwa na faida kwa pande zote.

Mayele atakwea pipa kwenda Uturuki na Chama atapanda Pantoni kwenda kuungana na rafiki yake Mkude kule Kigamboni
Caesar Manzoki tu mlishindwa kumsajili! Na mwisho wa siku Mwenyekiti wenu Mangungu akaamua kumtumia kama Campaign Manager! Ndiyo mtaweza kumsajili Fiston Kalala Mayele!

Acha utani mkurugenzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…