Mpango wa uhamishaji wakazi wa gaza wazinduliwa!

Vichaa wamekabidhiwa white house, sasa ni show show tu.
Wana nguvu , wana Sophiscated & advanced weapons ,Watu wa Ghaza hawana nguvu, Hawana Silaha za kizazi hiki, Lakin Namuomba Muumba atupe Umri na Afya....Huu mpango hautafanikiwa Kamwe.
 
Aisee nimeona ramani ya mji utakavyokuwa Kwakifupi hata kama itachukua miaka 10 lazima wapalestina wataondoshwa Tu...watu wa Gaza wanatia huruma Sana
October 7 imezalisha matatizo makubwa Sana Kwa wapalestina
Kubwa, watapata ajira na kuacha utegemezi wa misaada kwa 100%
 
Tanzania ina ardhi kubwa sana waje tuwapeleke Kigoma wakazalishe
Thubuutuu. Shida ya hao jamaa wakitulia na wakishazaliana; hata ipite miaka mingapi lazima wataliamsha tuu. Bora tuwaache au tujiepeshe nao. Wale jamaa akili zao zinawatosha wenyewe tuu.
 
Wana nguvu , wana Sophiscated & advanced weapons ,Watu wa Ghaza hawana nguvu, Hawana Silaha za kizazi hiki, Lakin Namuomba Muumba atupe Umri na Afya....Huu mpango hautafanikiwa Kamwe.
Je; Na kama ni mpango wa Muumba; unataka kumuomba aghairi Mpango wake halafu itakuwaje kwa mfano.
 
IDF imejaribu imeshindwa wewe na Trump kawahamisheni.

Sasa sijui ni nani anayejua zaidi situation ya Gaza kati ya IDF, wewe na Trump ?!.
IDF imeshndwa wkt israel anarud hapo mashariki ya kati je unatambua kwmb wapalestina ndo walikuwa na eneo kubwa la nchi kuliko israel? kama ndiyo je mpk sasa nani ana eneo kubwa kati ya israel na palestina? sa mpk hapo unataka uone dalili gn zngne za wapalestina kuondoshwa hapo. je unatambua mji mkuu wa israel ulikuwa tel aviv lakn sasa ni jerusalem? kama ndiyo sa bdo unataka uone nn cha kuthibtisha wapalestina wanaondoshwa hapo? wako wp hezbollah na mafataki yao, wako wp hamas na mafataki yao waendelee kuyarusha sasa. je unatambua kwmb israel yupo gaza na kashasema hatoki hapo na hataki waona hamas hapo? ewe mchina wa kitwechembogo biharamulo unaleta chuki zako badala ya uhalisia kwmb wapalestna wameshachelewa tyr.
 
Trump ni mwehu, mropokaji mjinga mjinga amekutana na mwehu mwenzake Netanyahu.
kama yule mjinga mwehu wa china xi ji ping na mwehu mwenzake putin au siyo yaan ww karunguyeye wa bisibo kagera unamuita trump mwehu hiki ni kichekesho ww mla mahindi ambayo marekan wao ni chakula cha mifugo unamuita netanyahu mwehu hivi una akili timamu kweli ww
 
Punguza utoto na ujinga sio kila mtu humu mtoto mwenzio.
 
Kidogo uko sawa ila kidogo umepotosha!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…