Mpango wa waziri Makamba wa kupunguza bei ya petroli kwa 75% na Tanzania kuwa petrol hub umeishia wapi?

Mpango wa waziri Makamba wa kupunguza bei ya petroli kwa 75% na Tanzania kuwa petrol hub umeishia wapi?

Ni zaidi ya mwaka mmoja sasa tangia waziri wa nishati, Mh. January Makamba, atangaze mpango wa serikali utakaoiwezesha nchi yetu kuwa petrol hub itakayokuwa inasambaza mafuta haya kwa nchi nyingi za SADEC na Afrika Mashariki.

Mpango ulikuwa kwa kushirikiana na nchi rafiki za OPEC+ kujengwa kwa kituo kikubwa kabisa jijini Dar es Salaam cha kupokea na kuhifadhi mafuta haya (yaani petrol hub) kwa soko la ukanda wa Afrika Mashariki na Kati. Katikq mpango huo serikali ya Tanzania ingalikuwa inayanunua mafuta hayo moja kwa moja mafuta hayo kutoka nchi hizo rafiki za OPEC+ kwa bei ya asilimia 25% tu ya bei inayoyanunua kwa sasa kutoka kwa watu wa katikati. Serikali ilitembelea hizo nchi rafiki za OPEC+ na kukubaliana na mpango huu. Mwezi Septemba 2021 majaribio ya ununuzi yalifanyika ambapo serikali iliweza kununua mafuta hayo kwa USD 20 kwa pipa badala ya USD 86 kwa pipa iliyokuwa inayanunua kupitia watu wa katikakati.

Ni zaidi ya mwaka mmoja sasa umepita tangia mpango huo ukubaliwe kati ya serikali yetu na hizo nchi rafiki lakini wizara ya nishati imekuwa kimya kueleza maendeleo wa huo mpango. Jee umetupwa kapuni?


Huyu ni njaaa tuuu
 
Hata angefanikiwa tungeambiwa kauza twiga ndo tukashushiwa bei ya mafuta na waarabu...au Kesha pata faida ya kuuza magenereta...au huo mpango JPM alishauacha kwenye motion.. Makamba kaudandia..hakuna zuri atakalofanya Makamba likaitwa zuri
 
Ni zaidi ya mwaka mmoja sasa tangia waziri wa nishati, Mh. January Makamba, atangaze mpango wa serikali utakaoiwezesha nchi yetu kuwa petrol hub itakayokuwa inasambaza mafuta haya kwa nchi nyingi za SADEC na Afrika Mashariki.

Mpango ulikuwa kwa kushirikiana na nchi rafiki za OPEC+ kujengwa kwa kituo kikubwa kabisa jijini Dar es Salaam cha kupokea na kuhifadhi mafuta haya (yaani petrol hub) kwa soko la ukanda wa Afrika Mashariki na Kati. Katikq mpango huo serikali ya Tanzania ingalikuwa inayanunua mafuta hayo moja kwa moja mafuta hayo kutoka nchi hizo rafiki za OPEC+ kwa bei ya asilimia 25% tu ya bei inayoyanunua kwa sasa kutoka kwa watu wa katikati. Serikali ilitembelea hizo nchi rafiki za OPEC+ na kukubaliana na mpango huu. Mwezi Septemba 2021 majaribio ya ununuzi yalifanyika ambapo serikali iliweza kununua mafuta hayo kwa USD 20 kwa pipa badala ya USD 86 kwa pipa iliyokuwa inayanunua kupitia watu wa katikakati.

Ni zaidi ya mwaka mmoja sasa umepita tangia mpango huo ukubaliwe kati ya serikali yetu na hizo nchi rafiki lakini wizara ya nishati imekuwa kimya kueleza maendeleo wa huo mpango. Jee umetupwa kapuni?


Huyo taahira unaendelea Kupoteza mda wako kusikiliza ngonjera zake,kama maji mtoni kidogo, Mara kunguru kasababisha nyaya za taensco kuku sana,Mara viwanda vilikuwa vinanyimwa umeme! It is full of stupid sentences!
 
Ndiyo. Wengi tunasubiri kwa hamu kubwa kuiona nchi yetu by 2025 kuwa petrol hub ya nchi za Afrika Mashariki na Kati. Wewe hupendi kuona hilo likitokea?

Kwa hiyo na hili petrol hub anasubiri makelele yawe mengi ndiyo aachie?
Hilo jina halikufai.
 
nishati, Mh. January Makamba, atangaze mpango wa serikali utakaoiwezesha nchi yetu kuwa petrol hub itakayokuwa inasambaza mafuta haya kwa nchi nyingi za SADEC na Afrika Mashariki.
Mbona hauulizi wameshughuliwa mameneja wangapi wa umeme baada ya kupita wiki mbili na umeme ukaendelea kukatika? Au umechagua maelezo hayo?
 
Ni zaidi ya mwaka mmoja sasa tangia waziri wa nishati, Mh. January Makamba, atangaze mpango wa serikali utakaoiwezesha nchi yetu kuwa petrol hub itakayokuwa inasambaza mafuta haya kwa nchi nyingi za SADEC na Afrika Mashariki.

Mpango ulikuwa kwa kushirikiana na nchi rafiki za OPEC+ kujengwa kwa kituo kikubwa kabisa jijini Dar es Salaam cha kupokea na kuhifadhi mafuta haya (yaani petrol hub) kwa soko la ukanda wa Afrika Mashariki na Kati. Katikq mpango huo serikali ya Tanzania ingalikuwa inayanunua mafuta hayo moja kwa moja mafuta hayo kutoka nchi hizo rafiki za OPEC+ kwa bei ya asilimia 25% tu ya bei inayoyanunua kwa sasa kutoka kwa watu wa katikati. Serikali ilitembelea hizo nchi rafiki za OPEC+ na kukubaliana na mpango huu. Mwezi Septemba 2021 majaribio ya ununuzi yalifanyika ambapo serikali iliweza kununua mafuta hayo kwa USD 20 kwa pipa badala ya USD 86 kwa pipa iliyokuwa inayanunua kupitia watu wa katikakati.

Ni zaidi ya mwaka mmoja sasa umepita tangia mpango huo ukubaliwe kati ya serikali yetu na hizo nchi rafiki lakini wizara ya nishati imekuwa kimya kueleza maendeleo wa huo mpango. Jee umetupwa kapuni?


Labda tuulize machawa wake walioshangilia na kumpamba wakati wanajua ni uongo tu.

Kipindi hicho alikua anajitetea tu baada ya kwenda kutafuna pesa za wananchi kuangalia upandaji wa nyasi jangwani wakati sisi haitusaidii kwa kua hatuna jamngwa.
 
Mbona umeme ameweza, haukatiki tena tangia Christmas na bwawa la Nyerere kalijaza maji. Hata hili atakuja kutufanyia suprise ya performance yake nzuri.

Ogopa matapeli wanaoingia madarakani kwa kupora chaguzi.
 
Ndiyo. Wengi tunasubiri kwa hamu kubwa kuiona nchi yetu by 2025 kuwa petrol hub ya nchi za Afrika Mashariki na Kati. Wewe hupendi kuona hilo likitokea?

Kwa hiyo na hili petrol hub anasubiri makelele yawe mengi ndiyo aachie?
Tanzania iwe hub ya petroli inayotoka nje, huku gas iliyopo ndani ya nchi yetu wenyewe tunaambiwa imeshauzwa? Inaonekana umelishwa propaganda mfu ukashiba.
 
Umeme haujawah kuwa na shida tangu kipind cha jiwe , watu wote waliona lilikuwa ni tatizo la kutengenezwa , hapa juzi makelele yamekuwa mengi mpk bungeni mpak wafanyabiashara wakubwa tuu wanaanza kumnanga , ikabd aachie , Bwawa la Nyerere hakuwa na Nia nalo , ni watu wa karbu na Raisi tuu walimwambia Raisi itakuwa ni upumbavu wa kiwango cha standard gauge kutelekeza mradi mzito namna hyo , kila mmoja duniani ataona nchi inaongozwa na wehu ,alaf uje kutegemea miradi ya gas ambayo kimsingi nchi itakuwa inauziwa na kulazimika kwenda kukopa ili kulipa ....

Jamaa ana haters wengi tuu mpak huko juu , ni vile tuu wale wazee watatu ndo wanampa kiburi ,
we Mama mbona umeandika unafiki namna hii!! kwani bwawa siwalishindwa kulijaza maji kwaajili ya ukame ulioikumba nchi? vyanzo vya maji vilikua vimekauka
Tujitahidi kuwa wazalendo na wavumilivu kwenye maslahi ya Taifa letu unafiki haujengi
 
Hata angefanikiwa tungeambiwa kauza twiga ndo tukashushiwa bei ya mafuta na waarabu...au Kesha pata faida ya kuuza magenereta...au huo mpango JPM alishauacha kwenye motion.. Makamba kaudandia..hakuna zuri atakalofanya Makamba likaitwa zuri
ni kwali huyu boss anajitahidi kufanya mambo ila wanafiki wanachojua nimarehemu
 
Ni zaidi ya mwaka mmoja sasa tangia waziri wa nishati, Mh. January Makamba, atangaze mpango wa serikali utakaoiwezesha nchi yetu kuwa petrol hub itakayokuwa inasambaza mafuta haya kwa nchi nyingi za SADEC na Afrika Mashariki.

Mpango ulikuwa kwa kushirikiana na nchi rafiki za OPEC+ kujengwa kwa kituo kikubwa kabisa jijini Dar es Salaam cha kupokea na kuhifadhi mafuta haya (yaani petrol hub) kwa soko la ukanda wa Afrika Mashariki na Kati. Katikq mpango huo serikali ya Tanzania ingalikuwa inayanunua mafuta hayo moja kwa moja mafuta hayo kutoka nchi hizo rafiki za OPEC+ kwa bei ya asilimia 25% tu ya bei inayoyanunua kwa sasa kutoka kwa watu wa katikati. Serikali ilitembelea hizo nchi rafiki za OPEC+ na kukubaliana na mpango huu. Mwezi Septemba 2021 majaribio ya ununuzi yalifanyika ambapo serikali iliweza kununua mafuta hayo kwa USD 20 kwa pipa badala ya USD 86 kwa pipa iliyokuwa inayanunua kupitia watu wa katikakati.

Ni zaidi ya mwaka mmoja sasa umepita tangia mpango huo ukubaliwe kati ya serikali yetu na hizo nchi rafiki lakini wizara ya nishati imekuwa kimya kueleza maendeleo wa huo mpango. Jee umetupwa kapuni?


Achaga utoto Basi,ule Ni mpango wa Serikali na Ni mpango utaotekelezwa kwa mda mrefu,Hadi wajenge matanki makubwa huko sio leo Wala kesho inahitaji Pesa nyingi..

Waziri hakusema Ni mpango wa mda mfupi Bali wa mda mrefu.
 
Umeme haujawah kuwa na shida tangu kipind cha jiwe , watu wote waliona lilikuwa ni tatizo la kutengenezwa , hapa juzi makelele yamekuwa mengi mpk bungeni mpak wafanyabiashara wakubwa tuu wanaanza kumnanga , ikabd aachie , Bwawa la Nyerere hakuwa na Nia nalo , ni watu wa karbu na Raisi tuu walimwambia Raisi itakuwa ni upumbavu wa kiwango cha standard gauge kutelekeza mradi mzito namna hyo , kila mmoja duniani ataona nchi inaongozwa na wehu ,alaf uje kutegemea miradi ya gas ambayo kimsingi nchi itakuwa inauziwa na kulazimika kwenda kukopa ili kulipa ....

Jamaa ana haters wengi tuu mpak huko juu , ni vile tuu wale wazee watatu ndo wanampa kiburi ,
unadhihirisha kuwa umesikiliza mawazo ya kijiweni
 
Ni zaidi ya mwaka mmoja sasa tangia waziri wa nishati, Mh. January Makamba, atangaze mpango wa serikali utakaoiwezesha nchi yetu kuwa petrol hub itakayokuwa inasambaza mafuta haya kwa nchi nyingi za SADEC na Afrika Mashariki.

Mpango ulikuwa kwa kushirikiana na nchi rafiki za OPEC+ kujengwa kwa kituo kikubwa kabisa jijini Dar es Salaam cha kupokea na kuhifadhi mafuta haya (yaani petrol hub) kwa soko la ukanda wa Afrika Mashariki na Kati. Katikq mpango huo serikali ya Tanzania ingalikuwa inayanunua mafuta hayo moja kwa moja mafuta hayo kutoka nchi hizo rafiki za OPEC+ kwa bei ya asilimia 25% tu ya bei inayoyanunua kwa sasa kutoka kwa watu wa katikati. Serikali ilitembelea hizo nchi rafiki za OPEC+ na kukubaliana na mpango huu. Mwezi Septemba 2021 majaribio ya ununuzi yalifanyika ambapo serikali iliweza kununua mafuta hayo kwa USD 20 kwa pipa badala ya USD 86 kwa pipa iliyokuwa inayanunua kupitia watu wa katikakati.

Ni zaidi ya mwaka mmoja sasa umepita tangia mpango huo ukubaliwe kati ya serikali yetu na hizo nchi rafiki lakini wizara ya nishati imekuwa kimya kueleza maendeleo wa huo mpango. Jee umetupwa kapuni?

Ukamwamini Njaanwari?
 
Ni zaidi ya mwaka mmoja sasa tangia waziri wa nishati, Mh. January Makamba, atangaze mpango wa serikali utakaoiwezesha nchi yetu kuwa petrol hub itakayokuwa inasambaza mafuta haya kwa nchi nyingi za SADEC na Afrika Mashariki.

Mpango ulikuwa kwa kushirikiana na nchi rafiki za OPEC+ kujengwa kwa kituo kikubwa kabisa jijini Dar es Salaam cha kupokea na kuhifadhi mafuta haya (yaani petrol hub) kwa soko la ukanda wa Afrika Mashariki na Kati. Katikq mpango huo serikali ya Tanzania ingalikuwa inayanunua mafuta hayo moja kwa moja mafuta hayo kutoka nchi hizo rafiki za OPEC+ kwa bei ya asilimia 25% tu ya bei inayoyanunua kwa sasa kutoka kwa watu wa katikati. Serikali ilitembelea hizo nchi rafiki za OPEC+ na kukubaliana na mpango huu. Mwezi Septemba 2021 majaribio ya ununuzi yalifanyika ambapo serikali iliweza kununua mafuta hayo kwa USD 20 kwa pipa badala ya USD 86 kwa pipa iliyokuwa inayanunua kupitia watu wa katikakati.

Ni zaidi ya mwaka mmoja sasa umepita tangia mpango huo ukubaliwe kati ya serikali yetu na hizo nchi rafiki lakini wizara ya nishati imekuwa kimya kueleza maendeleo wa huo mpango. Jee umetupwa kapuni?

February marope akikwambia kumekucha usimwamini mpaka utoke nje uthibitishe mwenyewe
 
Back
Top Bottom