Mpapai na Gunzi vina uhusiano gani?

Kitaalam ni kwamba Carica papaya (mpapai) una tabia ya kubadilisha jinsia kulingana na physical stress kwa hivyo mpapai unavyokua mara nyingi kuna uwezekano wa kuwa wa kiume, kwa hvyo wakulima hufunga gunzi/ au kupigilia msumali nk wkati ukiwa mdogo hii hali inasababisha mechanical stress kwa mpapai ambao unarespond kwa kufanya resproductive hormone rearrangement na kubadili kuanza kuazalisha hormone za kike na hivyo hubadilika kuwa wa kike. Ki wastani mpapai mmoja wa kiume unaweza kuzalisha pollens za kuchavisha/kurutubisha mipapai ya kike 25 na kuendelea. Kwa hivyo unaweza kuona, wakulima wanahitaji mipapai ya kike kuliko ya kiume kwa ajili ya uzalishaji wa matunda.
 
Daaah mpapai unaogopa kudhalilika, unaamua kubadili jinsia.

Nimeshuhudia aisee inafungwa. Nilipohoji nilionyeshwa uliocheleweshwa kufungwa gunzi na haukuzaa, na uliowaishwa ulivyoanza kuzaa ukiwa mdogo. It real works aisee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni coincidence tu.
 
Kweli nimeshuhudia mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
R[emoji16][emoji16]
 
Binafsi sikuamini kwenye Gunzi, ila Kutokana na maelezo yako, nina Mpapai Dume hapa kwangu, Ngoja niupige msumali nione matokeo.
 
Kigunzi kinaashiria dushe ambalo mpapai unatafuta kabla ya kutoa maua, hivyo ukilipa mpapai dushe (gunzi) linaacha papara na kuanza kuzaaa na hindi.
 
ni kuustress na ndio mwisho unahama jinsia mkuu
 
ni vingi ambavyo ukibhana shina la mpapai tissue zinakuwa stressed zinapelekea kuhama jinsia na sio kwa mpapai na hata mnazi.
njia kama kuchoma msumari,kugonga kigunzi (corn cob) na kufunga waya shina hivyo kwenye transportation ya mmea huathiriwa na ndio this is what we call plant stress and the response in turn inaonekana kuna mechanisms zinatokea zinahamisha jinsia nimesahau jina la process ila ni something "LIBIDOS"
 
Nakubaliana na maelezo yako 100%.
Ni jibu la kisayansi kabisa.
Again, Ahsante kwa ufafanuzi mzuri sana.
 
Imani nyingine iliyopo ukiupigilia msumari kwa chini wanadai papai halidondoki adi utungue mwenyewe, mama yangu amefanya hivyo, papai linaiva adi linaozoe juu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…