Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Hata wakati wa Lowasa, haya unayoyasema kwa Membe yalisemwa piaUlikuwa unaota mpasuko wa sketi au underskate a.k.a shumizi.
Yaani membe ndio wa kuleta mpasuko CCM? Mtu pekee alijipanga na kusumbua CCM ni LOWASSA huyu hata mtikisiko hawezi sababisha. Huo ubobezi wa ukachero alikuwa nao akiwa kwenye system. Sasa hivi ni sawa na samaki nje ya maji anatapata tu hana lolote.
Yeye Membe aliguswa hajanuka! Anuke kwanza!Kwa namna huyu "Jasusi mbobezi" Bernard Kamilius Membe, anavyoendelea kushika "chart" humu kwenye mitandao ya kijamii, ni dhahiri kuwa huko kwenye hicho chama, wanachodai wenyewe kuwa ni chama kikubwa, hivi sasa kunatokota na sisi wananchi tusubiri, kwa kuwa yajayo yanafurahisha au kukarahaisha.............
Membe ametoa madai mazito sana kuwa Katiba ya CCM haikufuatwa katika kufukuzwa kwake ndani ya Chama
Kwani amedai kuwa ni takwa la kikatiba, anapofukuzwa kiongozi yeyote wa ngazi za juu katika chama hicho ni LAZIMA jambo lake lingejadiliwa ndani ya kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, ndipo uamuzi ufikiwe.
Jambo ambalo halikufanyika katika kufikia uamuzi wa kufukuzwa kwake. Kwani mwenyewe anadai kuwa "process" ilikuwa haijakamilika, kwa kuwa kikao kilichomjadili kilikuwa ni kikao cha Kamati Kuu pekee, wakati mchakato ulikuwa haujakamilika, kwa kuwa kikao chenye uamuzi wa mwisho, ambacho ni kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, ilikuwa haijakaa.
Jambo linaloshangaza ni kuwa tokea madai hayo yatolewe na Membe, hakuna kiongozi yeyote wa ngazi ya juu wa CCM, aliyejitokeza kujibu tuhuma hizo
Kwa madai mazito kama hayo, ni kwanini hadi sasa chama cha CCM, kimeamua kukaa kimya, kisitoe majibu yoyote, kwa madai hayo ya Membe?
Inaelekea kuna mfukuto mkubwa sana huko kwa majirani zetu wa CCM
Ni dhahiri sasa kama alichoongea mwenyewe Membe, kuwa tufanye subira kati ya mwezi huu wa June hadi October ya mwaka huu, lolote lisilotegemewa na wananchi wengi litatokea katika nchi hii na litaleta kishindo kikubwa sana!
Subira yavuta kheri, ngoja tusubiri ili tuyashuhudie yatakayojiri
Wewe dogo, hapo mpasuko uko wapi? Hujui kuwa ukimya nao ni jibu tosha? Wewe ni chadema kindakindaki, pilipili usokula....Kwa namna huyu "Jasusi mbobezi" Bernard Kamilius Membe, anavyoendelea kushika "chart" humu kwenye mitandao ya kijamii, ni dhahiri kuwa huko kwenye hicho chama, wanachodai wenyewe kuwa ni chama kikubwa, hivi sasa kunatokota na sisi wananchi tusubiri, kwa kuwa yajayo yanafurahisha au kukarahaisha.............
Membe ametoa madai mazito sana kuwa Katiba ya CCM haikufuatwa katika kufukuzwa kwake ndani ya Chama
Kwani amedai kuwa ni takwa la kikatiba, anapofukuzwa kiongozi yeyote wa ngazi za juu katika chama hicho ni LAZIMA jambo lake lingejadiliwa ndani ya kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, ndipo uamuzi ufikiwe.
Jambo ambalo halikufanyika katika kufikia uamuzi wa kufukuzwa kwake. Kwani mwenyewe anadai kuwa "process" ilikuwa haijakamilika, kwa kuwa kikao kilichomjadili kilikuwa ni kikao cha Kamati Kuu pekee, wakati mchakato ulikuwa haujakamilika, kwa kuwa kikao chenye uamuzi wa mwisho, ambacho ni kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, ilikuwa haijakaa.
Jambo linaloshangaza ni kuwa tokea madai hayo yatolewe na Membe, hakuna kiongozi yeyote wa ngazi ya juu wa CCM, aliyejitokeza kujibu tuhuma hizo
Kwa madai mazito kama hayo, ni kwanini hadi sasa chama cha CCM, kimeamua kukaa kimya, kisitoe majibu yoyote, kwa madai hayo ya Membe?
Inaelekea kuna mfukuto mkubwa sana huko kwa majirani zetu wa CCM
Ni dhahiri sasa kama alichoongea mwenyewe Membe, kuwa tufanye subira kati ya mwezi huu wa June hadi October ya mwaka huu, lolote lisilotegemewa na wananchi wengi litatokea katika nchi hii na litaleta kishindo kikubwa sana!
Subira yavuta kheri, ngoja tusubiri ili tuyashuhudie yatakayojiri
Sijui kwa nini hawakusomi wakakuelewa, huku unawaambia ukweli ulio wazi kabisa.Acha kupoteza muda
Vyama vinavunja katiba, ni vyao ili uhoji uwe sehemu yao.Ndio maana kama taifa tunahitaji mgombea binafsi kitu ambacho ccm au cdm hawatakagi kabisa
Kama wamevunja ni wao, Membe anajua kakulia na anaijua ccm deep, na hana la kufanya lolote lile
Wewe huna la kufanya, msajili wa vyama hana la kufanya.it is happening in every political parties duniani hapa, we have mifano kibao CDM pia
Acha kuogelea kwenye swimming pool ya lawama, goli hilo tayari!! Kaonewa hajaonewa haioni ikulu wala asikupe faraja ya kutoa lawama, kwenye siasa tunaangalia mwisho wa ushindi
Membe knew all this, sana tu kuliko wewe
Hakuna wa kumjibu, November mtegemee JPM ofisini, dont waste your time in this wont help you either
Hapa nilitegemea unakuja na ma mipango ya kutisha ya CDM kuingia ikulu. Unamjadili membe na ccm yake, wewe ni ccm??? Acha hizo
Membe kesha fukuzwa ataichanachanaje CCM. Sasaivi Membe ni kama Tundu Lissu! Wote siyo wanachama wa CCM, wanajiamini, hawaogopi kitu au mtu, lakini siyo wanachama wa CCM.Membe anakwenda kuichana chana vipande CCM, kama ambavyo Magufuli alivyoichana Katiba vipande vipande.
Mtizamo wako!Ulikuwa unaota mpasuko wa sketi au underskate a.k.a shumizi.
Yaani membe ndio wa kuleta mpasuko CCM? Mtu pekee alijipanga na kusumbua CCM ni LOWASSA huyu hata mtikisiko hawezi sababisha. Huo ubobezi wa ukachero alikuwa nao akiwa kwenye system. Sasa hivi ni sawa na samaki nje ya maji anatapata tu hana lolote.
Chakaza haya maswali kwenye siasa ni childish
Wanarudi madarakani na la kufanya jadili kuwaondoa madarakani, sio ccm wewe
Katiba zinachezewa
Na ukimsikiliza Membe kalaumu mapendekezo kutoka nje ya kikao na yaka mhukumu. Waliotoa nje ya kikao anaweza kuwa mfagizi aliiba au secretary hakuna mtu ndani ya ccm anayeweza kusema kahusika kuvujisha kwenye media na ikawa kama official
It is interesting we have shifted now to be " CCM by default"
Hivi Chakaza uko serious kabisa unaamini JPM na followers wake na CCM hii na NEC hii wanamwogopa Membe?? I mean uko serious kabisa?
Yoh may need a doctor
Ya Ccm tuachieni cc wenywe shughulikeni na chama chenu kinachoelekea kufaKwa namna huyu "Jasusi mbobezi" Bernard Kamilius Membe, anavyoendelea kushika "chart" humu kwenye mitandao ya kijamii, ni dhahiri kuwa huko kwenye hicho chama, wanachodai wenyewe kuwa ni chama kikubwa, hivi sasa kunatokota na sisi wananchi tusubiri, kwa kuwa yajayo yanafurahisha au kukarahaisha.............
Membe ametoa madai mazito sana kuwa Katiba ya CCM haikufuatwa katika kufukuzwa kwake ndani ya Chama
Kwani amedai kuwa ni takwa la kikatiba, anapofukuzwa kiongozi yeyote wa ngazi za juu katika chama hicho ni LAZIMA jambo lake lingejadiliwa ndani ya kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, ndipo uamuzi ufikiwe.
Jambo ambalo halikufanyika katika kufikia uamuzi wa kufukuzwa kwake. Kwani mwenyewe anadai kuwa "process" ilikuwa haijakamilika, kwa kuwa kikao kilichomjadili kilikuwa ni kikao cha Kamati Kuu pekee, wakati mchakato ulikuwa haujakamilika, kwa kuwa kikao chenye uamuzi wa mwisho, ambacho ni kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, ilikuwa haijakaa.
Jambo linaloshangaza ni kuwa tokea madai hayo yatolewe na Membe, hakuna kiongozi yeyote wa ngazi ya juu wa CCM, aliyejitokeza kujibu tuhuma hizo
Kwa madai mazito kama hayo, ni kwanini hadi sasa chama cha CCM, kimeamua kukaa kimya, kisitoe majibu yoyote, kwa madai hayo ya Membe?
Inaelekea kuna mfukuto mkubwa sana huko kwa majirani zetu wa CCM
Ni dhahiri sasa kama alichoongea mwenyewe Membe, kuwa tufanye subira kati ya mwezi huu wa June hadi October ya mwaka huu, lolote lisilotegemewa na wananchi wengi litatokea katika nchi hii na litaleta kishindo kikubwa sana!
Subira yavuta kheri, ngoja tusubiri ili tuyashuhudie yatakayojiri
Softcopy imevuja, tunaprint [emoji16][emoji16][emoji16]
Atagombea kupitia chama chake....Mchukuen aje kugombea kwenu
Poleni sana, huyo teja ni wewe?
Jibu nimetoa ikiwa unaona sijajibu jibu wewe. Mjinga akiuliiza swali la kijinga anajibiwa kijingaJibu hoja ya utaratibu ndani ya CCM.
Atagombea kupitia chama chake....
Umesoma katiba ya chama, au mnafuata tu kile membe anasema.Ni kwanini swala la Membe halikufika katika kikao cha Halmashauri kuu ya chama?
Ikiwa yalisemwa ajipime, si anaona ana uwezo, hata 10% hapati. Ataishia kubweka mitandaoniHata wakati wa Lowasa, haya unayoyasema kwa Membe yalisemwa pia
Wa kwako unaujua mwenyewe, muda ndio mwamuziMtizamo wako!
Kwa muanguko huo kwenye ngazi lazima uone hizo ngazi kama watu wanakushambulia hasa kama umeweka mitungi kwenye mwili.
Membe aliyoyasema kwenye mkutano wake na wanakijiji pamoja na majirani zake, huko kwao - yalikuwa yamelenga kuwafurahisha hao wanakijiji tu.Kudhani Membe anaweza kusababisha mpasuko ndani ya CCM ya sasa ni sawa na mtu anayesubiri usafiri wa meli sehemu ambayo hakuna Ziwa au bahari!
Kama wewe ni mtu unayejua kupambanua masuala, ukiyachanganua yale ambayo Membe ameyasema juzi utagundua kuwa ni mtu asiyejua hata mbinu za kisiasa lakini kikubwa zaidi hajui hata nafasi yake ndani ya CCM ya sasa!
Membe is no more as CCM member!