Tetesi: Mpasuko mkubwa sana ndani ya CCM

Tetesi: Mpasuko mkubwa sana ndani ya CCM

Ulikuwa unaota mpasuko wa sketi au underskate a.k.a shumizi.

Yaani membe ndio wa kuleta mpasuko CCM? Mtu pekee alijipanga na kusumbua CCM ni LOWASSA huyu hata mtikisiko hawezi sababisha. Huo ubobezi wa ukachero alikuwa nao akiwa kwenye system. Sasa hivi ni sawa na samaki nje ya maji anatapata tu hana lolote.
Hata wakati wa Lowasa, haya unayoyasema kwa Membe yalisemwa pia
 
Kwa namna huyu "Jasusi mbobezi" Bernard Kamilius Membe, anavyoendelea kushika "chart" humu kwenye mitandao ya kijamii, ni dhahiri kuwa huko kwenye hicho chama, wanachodai wenyewe kuwa ni chama kikubwa, hivi sasa kunatokota na sisi wananchi tusubiri, kwa kuwa yajayo yanafurahisha au kukarahaisha.............

Membe ametoa madai mazito sana kuwa Katiba ya CCM haikufuatwa katika kufukuzwa kwake ndani ya Chama

Kwani amedai kuwa ni takwa la kikatiba, anapofukuzwa kiongozi yeyote wa ngazi za juu katika chama hicho ni LAZIMA jambo lake lingejadiliwa ndani ya kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, ndipo uamuzi ufikiwe.

Jambo ambalo halikufanyika katika kufikia uamuzi wa kufukuzwa kwake. Kwani mwenyewe anadai kuwa "process" ilikuwa haijakamilika, kwa kuwa kikao kilichomjadili kilikuwa ni kikao cha Kamati Kuu pekee, wakati mchakato ulikuwa haujakamilika, kwa kuwa kikao chenye uamuzi wa mwisho, ambacho ni kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, ilikuwa haijakaa.

Jambo linaloshangaza ni kuwa tokea madai hayo yatolewe na Membe, hakuna kiongozi yeyote wa ngazi ya juu wa CCM, aliyejitokeza kujibu tuhuma hizo

Kwa madai mazito kama hayo, ni kwanini hadi sasa chama cha CCM, kimeamua kukaa kimya, kisitoe majibu yoyote, kwa madai hayo ya Membe?

Inaelekea kuna mfukuto mkubwa sana huko kwa majirani zetu wa CCM

Ni dhahiri sasa kama alichoongea mwenyewe Membe, kuwa tufanye subira kati ya mwezi huu wa June hadi October ya mwaka huu, lolote lisilotegemewa na wananchi wengi litatokea katika nchi hii na litaleta kishindo kikubwa sana!

Subira yavuta kheri, ngoja tusubiri ili tuyashuhudie yatakayojiri
Yeye Membe aliguswa hajanuka! Anuke kwanza!
 
Kwa namna huyu "Jasusi mbobezi" Bernard Kamilius Membe, anavyoendelea kushika "chart" humu kwenye mitandao ya kijamii, ni dhahiri kuwa huko kwenye hicho chama, wanachodai wenyewe kuwa ni chama kikubwa, hivi sasa kunatokota na sisi wananchi tusubiri, kwa kuwa yajayo yanafurahisha au kukarahaisha.............

Membe ametoa madai mazito sana kuwa Katiba ya CCM haikufuatwa katika kufukuzwa kwake ndani ya Chama

Kwani amedai kuwa ni takwa la kikatiba, anapofukuzwa kiongozi yeyote wa ngazi za juu katika chama hicho ni LAZIMA jambo lake lingejadiliwa ndani ya kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, ndipo uamuzi ufikiwe.

Jambo ambalo halikufanyika katika kufikia uamuzi wa kufukuzwa kwake. Kwani mwenyewe anadai kuwa "process" ilikuwa haijakamilika, kwa kuwa kikao kilichomjadili kilikuwa ni kikao cha Kamati Kuu pekee, wakati mchakato ulikuwa haujakamilika, kwa kuwa kikao chenye uamuzi wa mwisho, ambacho ni kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, ilikuwa haijakaa.

Jambo linaloshangaza ni kuwa tokea madai hayo yatolewe na Membe, hakuna kiongozi yeyote wa ngazi ya juu wa CCM, aliyejitokeza kujibu tuhuma hizo

Kwa madai mazito kama hayo, ni kwanini hadi sasa chama cha CCM, kimeamua kukaa kimya, kisitoe majibu yoyote, kwa madai hayo ya Membe?

Inaelekea kuna mfukuto mkubwa sana huko kwa majirani zetu wa CCM

Ni dhahiri sasa kama alichoongea mwenyewe Membe, kuwa tufanye subira kati ya mwezi huu wa June hadi October ya mwaka huu, lolote lisilotegemewa na wananchi wengi litatokea katika nchi hii na litaleta kishindo kikubwa sana!

Subira yavuta kheri, ngoja tusubiri ili tuyashuhudie yatakayojiri
Wewe dogo, hapo mpasuko uko wapi? Hujui kuwa ukimya nao ni jibu tosha? Wewe ni chadema kindakindaki, pilipili usokula....
 
Acha kupoteza muda

Vyama vinavunja katiba, ni vyao ili uhoji uwe sehemu yao.Ndio maana kama taifa tunahitaji mgombea binafsi kitu ambacho ccm au cdm hawatakagi kabisa

Kama wamevunja ni wao, Membe anajua kakulia na anaijua ccm deep, na hana la kufanya lolote lile

Wewe huna la kufanya, msajili wa vyama hana la kufanya.it is happening in every political parties duniani hapa, we have mifano kibao CDM pia

Acha kuogelea kwenye swimming pool ya lawama, goli hilo tayari!! Kaonewa hajaonewa haioni ikulu wala asikupe faraja ya kutoa lawama, kwenye siasa tunaangalia mwisho wa ushindi

Membe knew all this, sana tu kuliko wewe

Hakuna wa kumjibu, November mtegemee JPM ofisini, dont waste your time in this wont help you either

Hapa nilitegemea unakuja na ma mipango ya kutisha ya CDM kuingia ikulu. Unamjadili membe na ccm yake, wewe ni ccm??? Acha hizo
Sijui kwa nini hawakusomi wakakuelewa, huku unawaambia ukweli ulio wazi kabisa.

Nadhani kwa mara ya kwanza ninakubaliana nawe katika mabo mengi nisiyokubaliana na wewe juu ya haya unayoandika hapa; isipokuwa hii sehemu ndogo hii..."it is happening in every political parties duniani..." You are trying to justify the unjustifiable.

Jikite tu kushangilia dikteta tuliye naye. Usitafute kuunga mkono kwa mambo ambayo si 'universal' kama unavyotaka kuaminisha watu..

Ndani ya CCM hakuna mtu yeyote anayeweza kumzuia Magufuli asifanye chochote anachotaka kukifanya, for the simple reason kwamba anavyo vyombo vyote vya kumkandamiza yeyote atakayejitokeza mbele, na wanalijua hilo, na wanaogopa sana. Hawana namna bali kuingia mstalini.
 
Membe anakwenda kuichana chana vipande CCM, kama ambavyo Magufuli alivyoichana Katiba vipande vipande.
Membe kesha fukuzwa ataichanachanaje CCM. Sasaivi Membe ni kama Tundu Lissu! Wote siyo wanachama wa CCM, wanajiamini, hawaogopi kitu au mtu, lakini siyo wanachama wa CCM.
Hivyo hawezi kuichana CCM.
 
Ulikuwa unaota mpasuko wa sketi au underskate a.k.a shumizi.

Yaani membe ndio wa kuleta mpasuko CCM? Mtu pekee alijipanga na kusumbua CCM ni LOWASSA huyu hata mtikisiko hawezi sababisha. Huo ubobezi wa ukachero alikuwa nao akiwa kwenye system. Sasa hivi ni sawa na samaki nje ya maji anatapata tu hana lolote.
Mtizamo wako!
 
Chakaza haya maswali kwenye siasa ni childish

Wanarudi madarakani na la kufanya jadili kuwaondoa madarakani, sio ccm wewe

Katiba zinachezewa


Na ukimsikiliza Membe kalaumu mapendekezo kutoka nje ya kikao na yaka mhukumu. Waliotoa nje ya kikao anaweza kuwa mfagizi aliiba au secretary hakuna mtu ndani ya ccm anayeweza kusema kahusika kuvujisha kwenye media na ikawa kama official


It is interesting we have shifted now to be " CCM by default"


Hivi Chakaza uko serious kabisa unaamini JPM na followers wake na CCM hii na NEC hii wanamwogopa Membe?? I mean uko serious kabisa?

Yoh may need a doctor


Sasa kama hawamwogopi kwanini wanasita katika kufuata katiba kukamilisha kumtoa?
 
Vyama vyetu vina shida sana, yaani katiba zinavunjwa sana sio ccm wala upinzanj.Ni aibu Sana chama kama ccm kuvunja katibà yake waziwazi hivi
 
Kwa namna huyu "Jasusi mbobezi" Bernard Kamilius Membe, anavyoendelea kushika "chart" humu kwenye mitandao ya kijamii, ni dhahiri kuwa huko kwenye hicho chama, wanachodai wenyewe kuwa ni chama kikubwa, hivi sasa kunatokota na sisi wananchi tusubiri, kwa kuwa yajayo yanafurahisha au kukarahaisha.............

Membe ametoa madai mazito sana kuwa Katiba ya CCM haikufuatwa katika kufukuzwa kwake ndani ya Chama

Kwani amedai kuwa ni takwa la kikatiba, anapofukuzwa kiongozi yeyote wa ngazi za juu katika chama hicho ni LAZIMA jambo lake lingejadiliwa ndani ya kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, ndipo uamuzi ufikiwe.

Jambo ambalo halikufanyika katika kufikia uamuzi wa kufukuzwa kwake. Kwani mwenyewe anadai kuwa "process" ilikuwa haijakamilika, kwa kuwa kikao kilichomjadili kilikuwa ni kikao cha Kamati Kuu pekee, wakati mchakato ulikuwa haujakamilika, kwa kuwa kikao chenye uamuzi wa mwisho, ambacho ni kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, ilikuwa haijakaa.

Jambo linaloshangaza ni kuwa tokea madai hayo yatolewe na Membe, hakuna kiongozi yeyote wa ngazi ya juu wa CCM, aliyejitokeza kujibu tuhuma hizo

Kwa madai mazito kama hayo, ni kwanini hadi sasa chama cha CCM, kimeamua kukaa kimya, kisitoe majibu yoyote, kwa madai hayo ya Membe?

Inaelekea kuna mfukuto mkubwa sana huko kwa majirani zetu wa CCM

Ni dhahiri sasa kama alichoongea mwenyewe Membe, kuwa tufanye subira kati ya mwezi huu wa June hadi October ya mwaka huu, lolote lisilotegemewa na wananchi wengi litatokea katika nchi hii na litaleta kishindo kikubwa sana!

Subira yavuta kheri, ngoja tusubiri ili tuyashuhudie yatakayojiri
Ya Ccm tuachieni cc wenywe shughulikeni na chama chenu kinachoelekea kufa
 
Ni kwanini swala la Membe halikufika katika kikao cha Halmashauri kuu ya chama?
Umesoma katiba ya chama, au mnafuata tu kile membe anasema.

BTW acha abweke hapo keshafika tamati uchaguzi utafanyika na fomu moja imetoka na inatosha ila kama anajiona anaweza akachukue fomu ACT agombee
 
Kudhani Membe anaweza kusababisha mpasuko ndani ya CCM ya sasa ni sawa na mtu anayesubiri usafiri wa meli sehemu ambayo hakuna Ziwa au bahari!

Kama wewe ni mtu unayejua kupambanua masuala, ukiyachanganua yale ambayo Membe ameyasema juzi utagundua kuwa ni mtu asiyejua hata mbinu za kisiasa lakini kikubwa zaidi hajui hata nafasi yake ndani ya CCM ya sasa!

Membe is no more as CCM member!
Membe aliyoyasema kwenye mkutano wake na wanakijiji pamoja na majirani zake, huko kwao - yalikuwa yamelenga kuwafurahisha hao wanakijiji tu.

Na yeye mwenyewe kujisikia bado anapendwa na wanakijiji. Si vinginevyo.
 
Back
Top Bottom