BASE ON TRUE STORY.
Ilikua mida ya saa 10 alasiri baada ya kujikuta amemmiss mpenzi wake ndipo akaamua kumpigia simu ambayo iliita zaidi ya mara 3 bira ya kupokelewa. Alijaribu tena kupiga baada ya lisaa limoja lakini hali ikawa ile ile ingawa sasa iliita kwa mara 2 tu alipojaribu kupiga mara ya 3 akakutana na ujumbe wa sauti kua namba ya simu anayopiga haipatikani. Hakuhisi jambo lolote lile ingawa halikua suala la kawaida hata kidogo..............
Yalipotimia majira ya saa 2 kasoro usiku ndipo alipoamua kumpigia tena mpenzi wake wakati huu haikuchukua mda ikapokelewa kabla ya kuzungumza jambo lolote lile akaambiwa "honey nitakutafuta badae kuna kazi nafanya".........
Baada ya kuona kimya sana na muda kusogea akaamua kumpigia simu tena safari hii ilikua mida ya saa 4 usiku, alipopiga simu akakutana na ujumbe wa sauti kuwa "simu anayopiga inaongea na simu nyingine hivyo asubiri au akate ajaribu tena baadae" akakata na kujaribu tena baada ya dakika 15 ila akakutana na ujumbe ule ule. Alipojaribu kupiga tena simu kwa mara 3 baada ya dakika kama 6 hivi simu iliita na kupokelewa baada ya salamu ambazo zilidumu kwa sekunde zisizozidi 28 ndipo akaamua kumuuliza kulikoni mbona amemtafuta tangia jioni bila mafanikio? Cha kusikitisha baada ya kukumbana na swali la aina hiyo ndipo akalegeza sauti na kumuambia "swty nimechoka kweli please naomba nilale".........
Baada ya kukata simu kwa hasira huku akitafakari mtiririko wa matukio ndipo alipoamua kumpigia simu tena baada ya dakika kama 12 hivi. Jambo ambalo hakuamini baada ya simu kuita hakakutana tena na ujumbe wa sauti wa sauti kuwa simu anayopiga inatumika ndipo akaamua kukata simu ila alojaribu tena baada ya kama 2 hivi akakutana ujumbe "simu unayopiga haipatikani haipatikani hivyo ajaribu tena badae"
Msaada wako tafadhari
Ilikua mida ya saa 10 alasiri baada ya kujikuta amemmiss mpenzi wake ndipo akaamua kumpigia simu ambayo iliita zaidi ya mara 3 bira ya kupokelewa. Alijaribu tena kupiga baada ya lisaa limoja lakini hali ikawa ile ile ingawa sasa iliita kwa mara 2 tu alipojaribu kupiga mara ya 3 akakutana na ujumbe wa sauti kua namba ya simu anayopiga haipatikani. Hakuhisi jambo lolote lile ingawa halikua suala la kawaida hata kidogo..............
Yalipotimia majira ya saa 2 kasoro usiku ndipo alipoamua kumpigia tena mpenzi wake wakati huu haikuchukua mda ikapokelewa kabla ya kuzungumza jambo lolote lile akaambiwa "honey nitakutafuta badae kuna kazi nafanya".........
Baada ya kuona kimya sana na muda kusogea akaamua kumpigia simu tena safari hii ilikua mida ya saa 4 usiku, alipopiga simu akakutana na ujumbe wa sauti kuwa "simu anayopiga inaongea na simu nyingine hivyo asubiri au akate ajaribu tena baadae" akakata na kujaribu tena baada ya dakika 15 ila akakutana na ujumbe ule ule. Alipojaribu kupiga tena simu kwa mara 3 baada ya dakika kama 6 hivi simu iliita na kupokelewa baada ya salamu ambazo zilidumu kwa sekunde zisizozidi 28 ndipo akaamua kumuuliza kulikoni mbona amemtafuta tangia jioni bila mafanikio? Cha kusikitisha baada ya kukumbana na swali la aina hiyo ndipo akalegeza sauti na kumuambia "swty nimechoka kweli please naomba nilale".........
Baada ya kukata simu kwa hasira huku akitafakari mtiririko wa matukio ndipo alipoamua kumpigia simu tena baada ya dakika kama 12 hivi. Jambo ambalo hakuamini baada ya simu kuita hakakutana tena na ujumbe wa sauti wa sauti kuwa simu anayopiga inatumika ndipo akaamua kukata simu ila alojaribu tena baada ya kama 2 hivi akakutana ujumbe "simu unayopiga haipatikani haipatikani hivyo ajaribu tena badae"
Msaada wako tafadhari