Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi na degree zetu za kuunga-unga tunakimbizana na madiwani huku HalmashauriKifupi thabo ni mafia grade 1! Na demu wake soon ataachiwa...pesa pesa plus akili tu ya maisha
Wasauzi walinichosha nilipopata taarifa kuwa kulikuwa na mwanamke amewakatia bima Ndugu zake kisha akaanza kuwaua ili apate malipo ya bima alizowakatia!!! Hawafai!! Wale wanahitaji dikteta kama Durtete wa kuwanyoosha.Kifupi thabo ni mafia grade 1! Na demu wake soon ataachiwa...pesa pesa plus akili tu ya maisha
Dikteta atokee sauz? Labda wakamtafute RwandaWasauzi walinichosha nilipopata taarifa kuwa kilikuwa na mwanamke amewakatia bima Ndugu zake kisha akaanza kuwaua ili apate malipo ya bima alizowakatia!!! Hawafai!! Wale wanahitaji dikteta kama Durtete wa kuwanyoosha.
Machalii Arusha tengenezeni movie ya Thabo kukamatwaNever ana connection za juu 💸
Ukijaribu kuiwazia ile nchi ninadhani ile nature ya uafrica ni kama ilipotea Wakati wanapigania uhuru wao na hata baada ya kupata uhuru wao kwa wao pia wakaanza kubaguanaHao jamaa wamepitisha sheria ya kuruhusu [emoji304] toka 2003 inategemea nn?vijana wamelegezwa mwanzo-mwisho.
Ndo shida ya uhuru ukizidi na pia kupata viongozi wezi na wala rushwa Namibia na South Africa walipitia the same issues mpaka Namibia anajitenga ila mpaka Leo huo ushenzi unaofanyika pale kwa mabida huwez kuukuta pale NamibiaSA Uhuru umezidi kupitiliza. Jela wanaandamana wanataka wapikiwe pizza badala ya wali-nyama
Tekela wikoloWengine hatujui kinachoendelea
Daaaaah nimecheka mpaka nimeona aibu, Asante kwa Dongo mkuu. DaaaahSisi na degree zetu za kuunga-unga tunakimbizana na madiwani huku Halmashauri
Tena diwani darasa la 7B kavaa joho anakutukana wewe mwenye mastaz yako mpk unachanganyikiwa.Sisi na degree zetu za kuunga-unga tunakimbizana na madiwani huku Halmashauri
Thabo besta ndo Nani, alikumbwa na masaibu gani?
💸Justice system ya SA ni kama haipo
Haki Yao umehiyari kuwafuga uwalisheSA Uhuru umezidi kupitiliza. Jela wanaandamana wanataka wapikiwe pizza badala ya wali-nyama