Mpelelezi kesi Thabo Bester auawa

Mpelelezi kesi Thabo Bester auawa

Kifupi thabo ni mafia grade 1! Na demu wake soon ataachiwa...pesa pesa plus akili tu ya maisha
Wasauzi walinichosha nilipopata taarifa kuwa kulikuwa na mwanamke amewakatia bima Ndugu zake kisha akaanza kuwaua ili apate malipo ya bima alizowakatia!!! Hawafai!! Wale wanahitaji dikteta kama Durtete wa kuwanyoosha.
 
Huo ujinga waje wajaribu bongo land ndo utajua Kuna watoto wa mama a.k.a wajukuu wa Nyerere Wana sura mbaya hao, Sema south Africa rushwa sana ndo shida ya ile nchi pia ninahisi kama Kuna makosa mengi sana yalifanyika hata baada ya uhuru wa ile nchi pengine walichokuwa wanapigania sicho kilichopo kwa sasa ivi
 
SA Uhuru umezidi kupitiliza. Jela wanaandamana wanataka wapikiwe pizza badala ya wali-nyama
Ndo shida ya uhuru ukizidi na pia kupata viongozi wezi na wala rushwa Namibia na South Africa walipitia the same issues mpaka Namibia anajitenga ila mpaka Leo huo ushenzi unaofanyika pale kwa mabida huwez kuukuta pale Namibia
 
Weusi SA ni tatizo zaidi. Nawasikitikia Sana;
1. Kusafisha uchi Ni changamoto, demu mzuri Ila uchi unatoa harufu.

2. Mazungumzo ya kawaida tu anaropoka utadhani ugomvi,

3. Starehe >>> pombe, madawa ya kulevya vinaharibu familia.
 
Back
Top Bottom