South Africa ni failed state , hii inaonyesha failure ya mtu mweusi kujiongoza , mpaka wapuuz masikini wa kutupwa kama ukoo wa akina Gupta wanatoka kwao India wanakuja kutajilikia South Africa na kuwa mabilionea Kwa kuplunder nchi wakisaidiwa na criminals kama akina zuma nk, yet South Africa bado ina kundi kubwa la uhalifu ,miundo mbinu mibovu , kundi kubwa la masikini wa kutupwa