Elections 2010 Mpendazoe apinga matokeo mahakamani

Elections 2010 Mpendazoe apinga matokeo mahakamani

Tunachotaka ni accredited Kichwa si accredited chuo. Kichwa kinachosoma kwenye accredited chuo na kazi yake ni kubeba makarai tu kitakusaidia nini?
Kama hujasoma chuo kinachotambulika hutakiwi kujipa sifa usiyonayo. Vinginevyo kila mtu angeanzisha chuo chake na kujipa digrii au vyeti anavyotaka. Fikiria kabla ya kuzungumza na kuanika unayoyafikiria kadamnasini.
 
Anafata nini mahakamani wakati wanasema hata Jaji Makame Amenunuliwa? Usalama wa taifa wamenunuliwa, wanajeshi wamenunuliwa

Hivi hii akili??? unaposema jeshi na usalama wamenunuliwa unataka ukiingia madarakani uajiri wanajeshi/usalama wapya au?

mambo vipi?
unajua uko wapi wewe?
taratibu basi,karibu sana jamvini
 
Wakuu habari za uhakika kutoka mahakama kuu ya Tanzania ( The High Court of Tanzania) ni kwamba aliekua mgombea wa ubunge jimbo la Segerea bwana Fredrick Mpendazoe amefungua case rasmi ikiomba mahakama kutengua ubunge wa Makongoro Mahanga (sijamwita Dr mana amegushi vyeti) kwa sababu utaratibu haukufuatwa.

Case hiyo ni No 98 ya mwaka 2010.


Sema mbunge wa watu wa Segerea Mkuu, siyo mgombea huyo ni mbunge!!!!!
 
Wakuu habari za uhakika kutoka mahakama kuu ya Tanzania ( The High Court of Tanzania) ni kwamba aliekua mgombea wa ubunge jimbo la Segerea bwana Fredrick Mpendazoe amefungua case rasmi ikiomba mahakama kutengua ubunge wa Makongoro Mahanga (sijamwita Dr mana amegushi vyeti) kwa sababu utaratibu haukufuatwa.

Case hiyo ni No 98 ya mwaka 2010.
Good timing. Nadhani hii itamfanya JK asimteue Makorongo kuwa Waziri kwa kuwa it is obvious kesi hii atashindwa na kutupwa korongoni nje ya bunge. Safi sana Mpendazoe, na JK akimpa uwaziri tutajua kuwa JK ni mgumu wa kuelewa. What a perfect timing, loh, watu wako na strategy kali and i salute them.

Mara nyingi kesi za uchaguzi hazifunguliwi kabla serekali iliyoshinda haijaundwa, so this is the record and inamuondolea chance ya kuwa kwenye serekali .
 
Back
Top Bottom